Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo vijana wamepiga, hiyo issue mki report kwa Tanesco, ikiwezekana na Consultant mtapata mbivu na mbichiREA, Kuna Kijiji Cha Mahorosha wilaya ya Rombo, tarafa ya mashati, wananchi masikini wamechanga pesa ili kununua nguzo. Waliochanga wamepata, walioshindwa wapo kwenye Giza, ni haki?
Hiki swali nauliza sana, kabla ya makamba kuwa waziri yulikua na tatizo la umeme?Kiparangoso umeme umeuutuliza asaiv kero umeimaliza Ila sababu wanachuki binafsi wameanza kutunga scandal ili uchafuke, chapa kazi tunakujua wewe sio mtu wa kujitetea kazi zako tunaziona bana
Kuna mitambo ilikuwa imeoza mpaka inatoa funza lkn kalemani alilazimisha wataalam waiwashe hivyo hivyo so lilikuwa ni suala la muda kengenuka. Kiparangoso alijua atatukanwa lkn alijitosa ivo Ivo asaivi miozo yote kaondoa itachukua miongo umeme kuanza kusumbuaHiki swali nauliza sana, kabla ya makamba kuwa waziri yulikua na tatizo la umeme?
chawaKuna mitambo ilikuwa imeoza mpaka inatoa funza lkn kalemani alilazimisha wataalam waiwashe hivyo hivyo so lilikuwa ni suala la muda kengenuka. Kiparangoso alijua atatukanwa lkn alijitosa ivo Ivo asaivi miozo yote kaondoa itachukua miongo umeme kuanza kusumbua
Napendekeza wadau muanze kuimwaga humu kabla ya kusogeza unapohitajika🤔Hospitali ya Mirembe isogeze huduma Bungeni!
Hiyo mitambo kwa muda wote huo ilikuwa inavumilia tu?Kuna mitambo ilikuwa imeoza mpaka inatoa funza lkn kalemani alilazimisha wataalam waiwashe hivyo hivyo so lilikuwa ni suala la muda kengenuka. Kiparangoso alijua atatukanwa lkn alijitosa ivo Ivo asaivi miozo yote kaondoa itachukua miongo umeme kuanza kusumbua
Sawa kunguni!chawa