Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anasingiziwa sana mengi, yeye na kigogo wa twitter hawaelewani. Kigogo anambambika uongo tu..Hayo mambo kama yanamuhusu yeye mwenyewe atayashughulikia vipi?
“Kama kuna mtu yeyote ana maneno yoyote ya mambo yasiyofaa yamefanyika kwenye wizara yetu [Wizara ya Nishati], aje ayaseme, alete ushahidi, tuzungumze.” - January Makamba, Waziri wa Nishati.
---
Nina ushahidi huu hapa niambie kama Kesho upo wizarani nije?“Kama kuna mtu yeyote ana maneno yoyote ya mambo yasiyofaa yamefanyika kwenye wizara yetu [Wizara ya Nishati], aje ayaseme, alete ushahidi, tuzungumze.” - January Makamba, Waziri wa Nishati.
---
mpaka leo wameshindwa“Kama kuna mtu yeyote ana maneno yoyote ya mambo yasiyofaa yamefanyika kwenye wizara yetu [Wizara ya Nishati], aje ayaseme, alete ushahidi, tuzungumze.” - January Makamba, Waziri wa Nishati.
---
Yaani uende ofisini kwa mhalifu kuzungumza naye nini kama sio kwenda kuhongwa na kuzibwa mdomo?Unampelekea Mtuhumiwa Kesi ya Kumtuhumu ?!!!!