Mbeba mikoba katika ubora wakeShida sioni
Hata kampuni zingine zi donate mitungi agawe
Huko ni kupambana na uharibifu wa mazingira. Makampuni yote ya Gas yaige Taifa gas
Hapo sio tu ku promote taifa gas ni ku promote matumizi ya gas na kuachana na uharibifu wa mazingira
Hongera taifa gas
OkLIST OF LICENSED LPG WHOLESALERS IN TANZANIA AS OF SEPTEMBER 2020
Source: EWURA
- Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
- Camel Oil (T) Limited
- Acer Petroleum (T) Ltd
- KMJ Limited, P.O. Box 20139 Dar es Salaam
- Taifa Gas Tanzania Ltd, P.O. Box 77578 Dar es Salaam
- Hamgas Company Limited of P. O. Box 4878 Dar es Salaam
- Manjis Gas Supply Company Ltd of P.O Box 41088 Dar es salaam
- Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
- Oilcom (T) Limited of P. O. Box 20831 Dar es Salaam
- Lake Gas Limited of P.O. Box 5055 Dar es Salaam
- Oryx Gas Tanzania Limited of P.O. Box 9540 Dar es Salaam
- Orange Gas Limited of P.O. Box 12318 Arusha
Makampuni mengine yaige Taifa GasLIST OF LICENSED LPG WHOLESALERS IN TANZANIA AS OF SEPTEMBER 2020
Source: EWURA
- Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
- Camel Oil (T) Limited
- Acer Petroleum (T) Ltd
- KMJ Limited, P.O. Box 20139 Dar es Salaam
- Taifa Gas Tanzania Ltd, P.O. Box 77578 Dar es Salaam
- Hamgas Company Limited of P. O. Box 4878 Dar es Salaam
- Manjis Gas Supply Company Ltd of P.O Box 41088 Dar es salaam
- Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
- Oilcom (T) Limited of P. O. Box 20831 Dar es Salaam
- Lake Gas Limited of P.O. Box 5055 Dar es Salaam
- Oryx Gas Tanzania Limited of P.O. Box 9540 Dar es Salaam
- Orange Gas Limited of P.O. Box 12318 Arusha
Yeye ni Waziri wa NishatiSasa yeye kama Waziri haoni Kama anakiuka sheria ya ushindani?Kuna Mihan gas,Oryx,Manjis nk,sasa unapoonekana unatoa mitungi ya kampuni moja unamaanisha nini kwa competitors wa Taifa gas?
Nchi ngumu hii!!!
Yeye Makamba ashughulikiwe kushusha kodi za gesi tu, na mambo ya watu kutumia gesi itajipa ,manake bei ya gesi itakuwa nafuu na mwisho watu wengi watatumia gesi badala ya kuni au mkaa.....qed.Labda mh ni afisa masoko wa taifa gas,pia kaona huku alikoenda kuna soko kubwa.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
UongooIna rangi ya CCM ila siku hizi pesa zinachotwa tu bila kupangwa na bunge, nchi ya chama kimoja.
Kama bunge ni la chama kimoja utakuwaje uongo, weka hapa ukweli ambao hauujui.Uongoo
Mazingira hayatakua salama kama hakutokua na kipimo Cha chini.Ok
Makampuni mengine yaige Taifa Gas
Kelele za kupambana na uharibifu wa mazingira mafanikio yake hayategemei media tu kampuni za gesi ya kupikia zinatakiwa kuwa active frontline.
Taifa gesi naipongeza
Sababu huwezi kusema Tunzeni mazingira msikate miti ya kuni au mkaa .Je mbadala ni nini? Taifa gas wako vizuri wamekuja na mbadala wa usikate miti au kutumia mkaa tumia jiko la gesi kama hulijui jiko la gas ni kama hili la taifa gas chukua bure uone lifanyavyo kazi
Gas ikiisha kanunue na waambie wengine wanunue
Akili yako inakisononoMwendazake alikuwa na hisa kwenye haya makampuni/viwanda/taasisi.
Voda.
Tigo
Taifa Gas.
Bagamoyo Sugar.
Vitambulisho vya machinga.
Etc.
Hizo hisa familia inazijua!?
Vipi kuhusu yale mabilioni yaliofishwa kwa wafanyabiashara kama kampuni zile tatu za ukandarasi!!???
Amepata uwaziri wa wizara hiyo kimkakati, bad thing ni kwamba Mama hakujua hilo.. atajua ikiwa too late maana the whole deal would be done! Pole kwa Tanzania, pole kwa Rais Rais Samia!!Katika ziara yake amekuwa akigawa mitungi ya Taifa gas inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz.
Kama bunge ni la chama kimoja utakuwaje uongo, weka hapa ukweli ambao hauujui.
ThibitishaMwendazake alikuwa na hisa kwenye haya makampuni/viwanda/taasisi.
Voda.
Tigo
Taifa Gas.
Bagamoyo Sugar.
Vitambulisho vya machinga.
Etc.
Hizo hisa familia inazijua!?
Vipi kuhusu yale mabilioni yaliofishwa kwa wafanyabiashara kama kampuni zile tatu za ukandarasi!!???
Ooh kumbe! Na mimi babangu angekuwa na cheo CCM ningekuwa balozi Shelisheli.Kugawa mitungi bure sio kuhamasisha watu kutumia gesi Kama nishati.
Ndiyo maana huyu dogo aliiba pepa Galanos.
Mamlaka husika zimethibitishiwa,wewe endelea kulia eda.Thibitisha