Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,343
- 7,516
Hutawaona wenye mahaba yao na majizi.
Wanatumia rasilimali za nchi kutangaza bidhaa zao.
Waliwao watakwambia, "huyo ndo amefadhili shughuli hiyo ya kitaifa kizalendo kama wale wa 7bn za roho tua", wametumia pesa zao, wewe inakuuma nini?
Huku, pesa za wafanyakazi wa hii nchi zikifadhili UZINZI wa Nandi, wastaafu wakinywa mafao yao waliochangia miaka 36.
Mama anapigwa kwingi
Wanatumia rasilimali za nchi kutangaza bidhaa zao.
Waliwao watakwambia, "huyo ndo amefadhili shughuli hiyo ya kitaifa kizalendo kama wale wa 7bn za roho tua", wametumia pesa zao, wewe inakuuma nini?
Huku, pesa za wafanyakazi wa hii nchi zikifadhili UZINZI wa Nandi, wastaafu wakinywa mafao yao waliochangia miaka 36.
Mama anapigwa kwingi