Waziri Makamba na mitungi ya Taifa Gas

Waziri Makamba na mitungi ya Taifa Gas

Hutawaona wenye mahaba yao na majizi.

Wanatumia rasilimali za nchi kutangaza bidhaa zao.

Waliwao watakwambia, "huyo ndo amefadhili shughuli hiyo ya kitaifa kizalendo kama wale wa 7bn za roho tua", wametumia pesa zao, wewe inakuuma nini?

Huku, pesa za wafanyakazi wa hii nchi zikifadhili UZINZI wa Nandi, wastaafu wakinywa mafao yao waliochangia miaka 36.

Mama anapigwa kwingi
 
Shida sioni
Hata kampuni zingine zi donate mitungi agawe

Huko ni kupambana na uharibifu wa mazingira. Makampuni yote ya Gas yaige Taifa gas

Hapo sio tu ku promote taifa gas ni ku promote matumizi ya gas na kuachana na uharibifu wa mazingira

Hongera taifa gas
Mbeba mikoba katika ubora wake
 
Sasa yeye kama Waziri haoni Kama anakiuka sheria ya ushindani? Kuna Mihan gas, Oryx, Manjis nk. Sasa unapoonekana unatoa mitungi ya kampuni moja unamaanisha nini kwa competitors wa Taifa gas?
Nchi ngumu hii!!!
 
LIST OF LICENSED LPG WHOLESALERS IN TANZANIA AS OF SEPTEMBER 2020
  • Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
  • Camel Oil (T) Limited
  • Acer Petroleum (T) Ltd
  • KMJ Limited, P.O. Box 20139 Dar es Salaam
  • Taifa Gas Tanzania Ltd, P.O. Box 77578 Dar es Salaam
  • Hamgas Company Limited of P. O. Box 4878 Dar es Salaam
  • Manjis Gas Supply Company Ltd of P.O Box 41088 Dar es salaam
  • Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
  • Oilcom (T) Limited of P. O. Box 20831 Dar es Salaam
  • Lake Gas Limited of P.O. Box 5055 Dar es Salaam
  • Oryx Gas Tanzania Limited of P.O. Box 9540 Dar es Salaam
  • Orange Gas Limited of P.O. Box 12318 Arusha
Source: EWURA
Ok
LIST OF LICENSED LPG WHOLESALERS IN TANZANIA AS OF SEPTEMBER 2020
  • Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
  • Camel Oil (T) Limited
  • Acer Petroleum (T) Ltd
  • KMJ Limited, P.O. Box 20139 Dar es Salaam
  • Taifa Gas Tanzania Ltd, P.O. Box 77578 Dar es Salaam
  • Hamgas Company Limited of P. O. Box 4878 Dar es Salaam
  • Manjis Gas Supply Company Ltd of P.O Box 41088 Dar es salaam
  • Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
  • Oilcom (T) Limited of P. O. Box 20831 Dar es Salaam
  • Lake Gas Limited of P.O. Box 5055 Dar es Salaam
  • Oryx Gas Tanzania Limited of P.O. Box 9540 Dar es Salaam
  • Orange Gas Limited of P.O. Box 12318 Arusha
Source: EWURA
Makampuni mengine yaige Taifa Gas
Kelele za kupambana na uharibifu wa mazingira mafanikio yake hayategemei media tu kampuni za gesi ya kupikia zinatakiwa kuwa active frontline.

Taifa gesi naipongeza

Sababu huwezi kusema Tunzeni mazingira msikate miti ya kuni au mkaa .Je mbadala ni nini? Taifa gas wako vizuri wamekuja na mbadala wa usikate miti au kutumia mkaa tumia jiko la gesi kama hulijui jiko la gas ni kama hili la taifa gas chukua bure uone lifanyavyo kazi

Gas ikiisha kanunue na waambie wengine wanunue
 
Sasa yeye kama Waziri haoni Kama anakiuka sheria ya ushindani?Kuna Mihan gas,Oryx,Manjis nk,sasa unapoonekana unatoa mitungi ya kampuni moja unamaanisha nini kwa competitors wa Taifa gas?
Nchi ngumu hii!!!
Yeye ni Waziri wa Nishati
Iwe umeme,gas,mafuta,no

Kama kuna kampuni inajitolea kugharimia ku.promote nishati yake inayozalisha iwe gesi ya kupikia or whatever ambayo itapunguza uharibifu wa mazingira. Ruksa

Ili.mradi ni kwa gharama zao kama Taifa gas inavyofanya sababu bajeti ya Serikali Haina bajeti ya kugawa gesi na mirungi bure
 
Rostam Noma Sana huyo muhindi Ntu ya dili..tayari Waziri kashalamba chake kupiga promo ya bure.
 
Ok

Makampuni mengine yaige Taifa Gas
Kelele za kupambana na uharibifu wa mazingira mafanikio yake hayategemei media tu kampuni za gesi ya kupikia zinatakiwa kuwa active frontline.

Taifa gesi naipongeza

Sababu huwezi kusema Tunzeni mazingira msikate miti ya kuni au mkaa .Je mbadala ni nini? Taifa gas wako vizuri wamekuja na mbadala wa usikate miti au kutumia mkaa tumia jiko la gesi kama hulijui jiko la gas ni kama hili la taifa gas chukua bure uone lifanyavyo kazi

Gas ikiisha kanunue na waambie wengine wanunue
Mazingira hayatakua salama kama hakutokua na kipimo Cha chini.

Mkaa unatumika sana ,sio kwa sababu ni Bei nafuu.

Mkaa ni ghali Kuriko Gas, sema nafuu yake Kuna kipimo hadi Cha 1000.
 
Mwendazake alikuwa na hisa kwenye haya makampuni/viwanda/taasisi.
Voda.
Tigo
Taifa Gas.
Bagamoyo Sugar.
Vitambulisho vya machinga.
Etc.
Hizo hisa familia inazijua!?
Vipi kuhusu yale mabilioni yaliofishwa kwa wafanyabiashara kama kampuni zile tatu za ukandarasi!!???
Akili yako inakisonono
 
Katika ziara yake amekuwa akigawa mitungi ya Taifa gas inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz.
Amepata uwaziri wa wizara hiyo kimkakati, bad thing ni kwamba Mama hakujua hilo.. atajua ikiwa too late maana the whole deal would be done! Pole kwa Tanzania, pole kwa Rais Rais Samia!!
 
Mwendazake alikuwa na hisa kwenye haya makampuni/viwanda/taasisi.
Voda.
Tigo
Taifa Gas.
Bagamoyo Sugar.
Vitambulisho vya machinga.
Etc.
Hizo hisa familia inazijua!?
Vipi kuhusu yale mabilioni yaliofishwa kwa wafanyabiashara kama kampuni zile tatu za ukandarasi!!???
Thibitisha
 
Screenshot_20220716-165922_WhatsApp.jpg
 
Kugawa mitungi bure sio kuhamasisha watu kutumia gesi Kama nishati.
Ndiyo maana huyu dogo aliiba pepa Galanos.
 
Angekutumia mitungi ya kampuni nyingine bado mngeongea...
 
Back
Top Bottom