Waziri Makamba, nusu ya Mwanza iko gizani

Waziri Makamba, nusu ya Mwanza iko gizani

SAA 2:02 usiku jiji la mwanza nusu yaake kama siyo robo tatu liko gizani
Wengi wanasikika sauti kwenye Giza wakimsifia kijana mchapa kazi January makamba kwa kupenda kuifanyia matengenezo mitambo hiyo haswa nyakati za usiku
Hakika jamaa ni genius sana
Kiparaa woyeeeee
 
Kiparaa woyeeeee
FB_IMG_16453822712567040.jpg
 
Ankali putini afanye kama kakosea apitishe wale wajeda wake au hata sungusungu wa russia tu, kuna wendawazimu wanacheza na maisha ya watu huku.
 
SAA 2:02 usiku jiji la mwanza nusu yaake kama siyo robo tatu liko gizani
Wengi wanasikika sauti kwenye Giza wakimsifia kijana mchapa kazi January makamba kwa kupenda kuifanyia matengenezo mitambo hiyo haswa nyakati za usiku
Hakika jamaa ni genius sana
Kesho chato:

Tutatonga kingemo 😂😂
 
Mwanza mkae mkao wa kula sawa
Mnaletewa vitu adimu
Makamba Oyeeee
Mtauza mpaka Ulaya

IMG_4518.jpg
 
Nilikaa kimya nikiwa napima maneno yao hao wawili Makamba na maharage kwanza Wana majina ya kishenzi sana waswahili.

Wametuona sisi ni wajinga sana wakaja na story za kutunga na kuliingiza shirika kununua mavifaa mapya ili wapige dili na hakuna jipya zaidi ya kuendelea kupata shida ileile tu.

Samia be watchful hao vijana wamechaguana makusudi kabisa hiyo duo usipoivunja ujue umeumia.

One if not all must go.
 
Walisema maji..wakaja ufundi..wakaja kitengo cha huduma kwa wateja hadi wakamtumbua mkuu wa kitengo kuwa ndio anasababisha kukatika umeme..sasa hii ya sikuhizi sijui shida nini?

Hakuna waziri hapo ni mpiga dili tu yule.

#MaendeleoHayanaChama
 
Haaha.. mama mjanja sana.. kamweka pale ammalize kisiasa jamaa maana hyo wizara ni jumba bovu.. so upinzan ndan ya chama umepunguzwa tayar.. hahha
Jidanganye kawekwa hapo kwa manufaa ya msoga gang wazee wa mikataba ya akina chief magungo umesahau suala la gesi ya mtwara tuliambiwa inaenda maliza tatizo la umeme na gasi nchini hadi nyumba zitaunganishwa mtandao wa gasi..kiko wapi sasa gasi yenyewe tunainunua?

So kipara yupo hapo kupiga deal si umeona juzi kati kaingia mkataba mwingine wa gasi..na mkataba wa program za umeme wa tanesko ni mwendo wa deals tu..hakuna kazi tena.

#MaendeleoHayanaChama
 
Walisema maji..wakaja ufundi..wakaja kitengo cha huduma kwa wateja hadi wakamtumbua mkuu wa kitengo kuwa ndio anasababisha kukatika umeme..sasa hii ya sikuhizi sijui shida nini?

Hakuna waziri hapo ni mpiga dili tu yule.

#MaendeleoHayanaChama
Kumlaumu Makamba au Maharage siyo sawa mnawaonea wa kulaumiwa hapa ni Samia nani walimshauri kumteua January?? Lieni na Samia na hasikii vilio vyenu yuko busy kutafuta mikopo mpate umeme wa mapangaboi ambao uko vizuri kutoharibu mazingira,,,Samia Oyeeeee
 
SAA 2:02 usiku jiji la mwanza nusu yaake kama siyo robo tatu liko gizani
Wengi wanasikika sauti kwenye Giza wakimsifia kijana mchapa kazi January makamba kwa kupenda kuifanyia matengenezo mitambo hiyo haswa nyakati za usiku
Hakika jamaa ni genius sana

Ni tatizo kwa kweli
 
SAMIA Suluhu Hassan is out of her depth

A product of Nyerere’s devastating Union experiment

Pombe Magufuli revealed that his hands were tied, he had Mwinyi and Samia to pick one. Better qualified Tanganyika’s were shut out of candidacy.
 
Back
Top Bottom