Waziri Makamba tunasubiri uifumue na TPDC na EWURA

Waziri Makamba tunasubiri uifumue na TPDC na EWURA

Kwako waziri wa nishati,
Hongera kwa kuanza kazi vizuri kwa kuifumua TANESCO.

Tunasubiri uifumue TPDC na EWURA ili mambo yaende vizuri.
 
We jamaa mbona Makamba Yupo smart Sana.
 
We jamaa mbona Makamba Yupo smart Sana.
 
Kwako waziri wa nishati,
Hongera kwa kuanza kazi vizuri kwa kuifumua TANESCO.

Tunasubiri uifumue TPDC na EWURA ili mambo yaende vizuri.
 
Acheni ujinga wakitumbuliwa nyinyi mnafaidika nini, waliokua wameoza ni Taanesiiko.
 
Kwako waziri wa nishati,
Hongera kwa kuanza kazi vizuri kwa kuifumua TANESCO.

Tunasubiri uifumue TPDC na EWURA ili mambo yaende vizuri.
Ili iweje sasa? I think watu wanaochelewesha mambo ndio waondolewe. Hii ya kubadili kila mtu bila sababu yoyote ni uonezi tu. Mbona tunaoenda sana kuona tumbuatumbua?
 
😄😄😄😄😄😄watu wasubiri kuhamishiwa ofisi ya Rais ili kupangiwa kazi nyingine, mkuu mbona unatetemeka kulikoni😁😁😁😁😁😁😁😁
Nacheka tu maana nchi hii tushaizoea

😂😂😂

Ova
 
Upuuzi mtupu nishati ya mafuta usitegemee ifanye vizuri kwa sababu mmoja kuu hakuna sera kakamilifu ya nishati.
Kwa hiyo kufukuza hao wakuu hakusaidii bali ni witch hunt.
Mimi nakumbuka kutokea 1976 tumegundua gesi ya Songo songo hadi leo hatujawahi kuweka gesi hiyo kwenye mtungi.
Kama mmekosa maarifa azima kwa wenye maarifa
 
Kondoo:Karibu mpka ndani mgeni mlango uko wazi
Simba:Asante ,asante Sana

To be continued......
😆😆
 
Upuuzi mtupu nishati ya mafuta usitegemee ifanye vizuri kwa sababu mmoja kuu hakuna sera kakamilifu ya nishati.
Kwa hiyo kufukuza hao wakuu hakusaidii bali ni witch hunt.
Mimi nakumbuka kutokea 1976 tumegundua gesi ya Songo songo hadi leo hatujawahi kuweka gesi hiyo kwenye mtungi.
Kama mmekosa maarifa azima kwa wenye maarifa
Hahahaaaaaaa, wahamishiwe ofisi Rais ili wapangiwe kazi nyingine tu. 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
 
Mchuuzeni tu huyo fisadi kama hajaangukia mgongo chaliiiiii!!!

Kwako waziri wa nishati,
Hongera kwa kuanza kazi vizuri kwa kuifumua TANESCO.

Tunasubiri uifumue TPDC na EWURA ili mambo yaende vizuri.
 
Back
Top Bottom