Waziri Makamba, Uteuzi wako wa Mama Maajar kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO una mgongano wa maslahi

Waziri Makamba, Uteuzi wako wa Mama Maajar kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO una mgongano wa maslahi

Pia katika teuzi hizohizo za wajumbe wa Bodi, Makamba kamteua mtoto wa Bakhresa ndani ya bodi ya TANESCO.
Huyu jamaa anajipanga kwa ajili ya urais ndiyo maana anawakumbatia watu wenye maslahi na mabeberu na pia Matajiri. ANATENGENEZA MTANDAO WAKE WA URAIS
Atatuuza huyu!
 
Ninaanza kuona kitu fulani hovyo kwa kuondolewa Kaleman na kuwekwa Makamba pale. Hii bodi aliyoiunda kisha ndani yake akaweka watu wenye maslahi na watu wanaotushitaki kuna kitu hakijakaa sawa somewhere.

Inawezekana Kalemani alikuwa kikwazo dhidi ya mafisi wanaotaka kula nyama ya Shirika
Pengine kalemani alipaswa kuondolewa. Lakini haikupaswa kuwekwa mtu kama makamba pale
 
Mjumbe wa bodi hana influence yoyote hata kama anauza majenereta, yaani nchi hii na wataalam wooote waliopo wakamsikilize maajar awaingize chaka kisa ana majenereta?

Muacheni mama wa watu ameteuliwa kwa weledi wake na pengine misimamo yake nadhani wawaache wafanye kazi maana ndio kwanza hata wiki hawana na umeme unaendelea kukatika vile vile kama feni
Mkuu ni labda hujui kazi ya bodi.
Lakini pia inaweza kuwa umesahau kuwa kipindi kile Cha dowans, huyu mama Maajar ndio aliishauri Tanesco kuvunja mkataba na Dowans.
Hadi hapo hakupaswa kuteuliwa kwenye bodi,
Ila watanzania ni wasahaulifu sana
 
Nilidhani unasema Huduma zimeanza kuzorota, nilidhani unasema hela stigglers haitoki tena, nilidhani Kuna mikataba ya Tanesco wameingia kuzalisha umeme kwa mafuta!

Kumbe unapiga ramli tu!

Yaaani bodi ivinjwe kwa ramli zako?
Hayo yanaweza kuja, waswahili wanasema ngoma huanza na lele
 
Kwani hiyo bodi ambayo haikuwa na maslahi ilifanya nini cha ajabu? Nakumbuka wakati flan bodi iliiongozwa na mkuu mstaafu wa majeshi lkn ndio wakati tulikuwa na magenereta kila pahala. Mzalendo na asie na mgongano wa maslahi Ni nani Tz? Tuwape muda
Unamaanisha ikiwa huko zamani tuliwahi kuwa na watu wa hovyo kwenye bodi basi yapaswa tuendelee kuwa hivyohivyo?
 
Angekuwa mwadilifu asingeshiriki madudu yafutayo
1. Bao la mkono dhidi ya Lowasa mwaka 2015.
2. Kushiriki kututengenezea sheria hovyo za mitandao wakati wa Jakaya
3. Kuunda bodi ya TANESCO yenye mgongano wa maslahi, tena kwa faida za nabeberu wa Dowans
ukawa era.jpg
 
Ninaanza kuona kitu fulani hovyo kwa kuondolewa Kaleman na kuwekwa Makamba pale. Hii bodi aliyoiunda kisha ndani yake akaweka watu wenye maslahi na watu wanaotushitaki kuna kitu hakijakaa sawa somewhere.

Inawezekana Kalemani alikuwa kikwazo dhidi ya mafisi wanaotaka kula nyama ya Shirika
Tulieni!..

Mliyaombea sana haya!

Mkalia sana, kwamba mnaonewa sana!..

Mkaomba sana mama awakomeshe sukuma gang..

Na mkafurahia sana kwamba sasa mnapumua..

Tulieni tuliiii.. Mambo ndio kwanza yanaanza
 
Huyu mama Maajar ni miongoni mwa Waanzilishi/Wamiliki wa kampuni ya REX ATTORNEYS na hiyo kampuni ya uwakili ndiyo inayoiwakilisha Symbion na Dowans katika kesi zao dhidi ya TANESCO.

Halafu unatoka hapo unamteua huyo mtu kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO, huoni kuna mgongano wa Maslahi hapo?

Huoni huyo mama atakuwa anapata sensitive information ndani ya TANESCO ili kuwapa advantage wateja wake wanaomlipa mamilioni katika kesi dhidi ya hilo shirika?

Waziri Makamba, tengua haraka sana bodi uliyoiunda yenye mgongano wa masilahi.

1. Hatutaki kuona tena huduma za umeme zikizorota ili watu wauze majenereta yao

2. Hatutaki kuona hujuma kwenye mabwawa yetu ya umeme ili umeme uwe shida halafu nchi iingie kwenye mikafaba ya kifisadi kama IPTL

3. Hatutaki kuona time table ya kukamilika kwa Stieglers inachelewa ili wapiga dili wapate kisingizio cha kuingia mikataba ya kifisadi ya umeme

Waziri Makamba tunataka uchukue hatua, hili chaguo la Balozi Maajar hatulielewi!
Huyu muheshimiwa amepewa wizara iliyo sensitive sana,ajuwe kuwa uzembe wowote atakaoufanya ita reflect kutolewa kwake kwenye uongozi kwenye awamu iliopita,sifikirii kuwa atakubali hili limtokee,ngoja tumpe muda inawezekana akafanya maajabu,na ndio maana mama kamuamini...
 
Kwani hiyo bodi ambayo haikuwa na maslahi ilifanya nini cha ajabu? Nakumbuka wakati flan bodi iliiongozwa na mkuu mstaafu wa majeshi lkn ndio wakati tulikuwa na magenereta kila pahala. Mzalendo na asie na mgongano wa maslahi Ni nani Tz? Tuwape muda
Hicho kipindi cha majenereta kilikuwa cha hao waliorudi kwenye bodi.

Wait and see
 
Mkuu ni labda hujui kazi ya bodi.
Lakini pia inaweza kuwa umesahau kuwa kipindi kile Cha dowans, huyu mama Maajar ndio aliishauri Tanesco kuvunja mkataba na Dowans.
Hadi hapo hakupaswa kuteuliwa kwenye bodi,
Ila watanzania ni wasahaulifu sana
Siku zote mimi huwa nasema shida ya tz na afrika haijawahi kuwa viongozi wao, bali upumbavu wa wananchi
 
Hii ni moja ya kazi ya TISS, wareport kwa hili swala kwa Samia, then SAMIA atoe Amri kwa January, halafu kwa nini waziri anapewa mamlaka makubwa hivi ya kuteua wajumbe katika bodi? kwa nini asipendekeze akapeleka bungeni wakajadiliwa na kama kuna mjumbe anakidhi vigezo apitishwe na bunge ambaye hakidhi vigezo aondolewe na bunge.

Unaweza kukuta Kikwete ndiye kamtumia January baadhi ya majina kwa Whatsap!
 
Huyu mama Maajar ni miongoni mwa Waanzilishi/Wamiliki wa kampuni ya REX ATTORNEYS na hiyo kampuni ya uwakili ndiyo inayoiwakilisha Symbion na Dowans katika kesi zao dhidi ya TANESCO.

Halafu unatoka hapo unamteua huyo mtu kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO, huoni kuna mgongano wa Maslahi hapo?

Huoni huyo mama atakuwa anapata sensitive information ndani ya TANESCO ili kuwapa advantage wateja wake wanaomlipa mamilioni katika kesi dhidi ya hilo shirika?

Waziri Makamba, tengua haraka sana bodi uliyoiunda yenye mgongano wa masilahi.

1. Hatutaki kuona tena huduma za umeme zikizorota ili watu wauze majenereta yao

2. Hatutaki kuona hujuma kwenye mabwawa yetu ya umeme ili umeme uwe shida halafu nchi iingie kwenye mikafaba ya kifisadi kama IPTL

3. Hatutaki kuona time table ya kukamilika kwa Stieglers inachelewa ili wapiga dili wapate kisingizio cha kuingia mikataba ya kifisadi ya umeme

Waziri Makamba tunataka uchukue hatua, hili chaguo la Balozi Maajar hatulielewi!
Watanzania mna vituko!!!...Tuache siasa kwenye Mambo ya Msingi!!..Mama Maajar ni Mtu makini sana kwenye Kazi na atatupeleka mbali kwenye sekta hii ya Umeme!!
 
Huyu mama Maajar ni miongoni mwa Waanzilishi/Wamiliki wa kampuni ya REX ATTORNEYS na hiyo kampuni ya uwakili ndiyo inayoiwakilisha Symbion na Dowans katika kesi zao dhidi ya TANESCO.

Halafu unatoka hapo unamteua huyo mtu kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO, huoni kuna mgongano wa Maslahi hapo?

Huoni huyo mama atakuwa anapata sensitive information ndani ya TANESCO ili kuwapa advantage wateja wake wanaomlipa mamilioni katika kesi dhidi ya hilo shirika?

Waziri Makamba, tengua haraka sana bodi uliyoiunda yenye mgongano wa masilahi.

1. Hatutaki kuona tena huduma za umeme zikizorota ili watu wauze majenereta yao

2. Hatutaki kuona hujuma kwenye mabwawa yetu ya umeme ili umeme uwe shida halafu nchi iingie kwenye mikafaba ya kifisadi kama IPTL

3. Hatutaki kuona time table ya kukamilika kwa Stieglers inachelewa ili wapiga dili wapate kisingizio cha kuingia mikataba ya kifisadi ya umeme

Waziri Makamba tunataka uchukue hatua, hili chaguo la Balozi Maajar hatulielewi!
Makamba ni kiongozi anajua kupanga safu za ushindi na hapa kwenye bodi ya Tanesco ndio kaanza vyema!!..Bodi hii ina watu wenye mafanikio kwenye sekta zote walizowahi kupita!!..Sasa tunategema Neema kwenye Umeme!!.. Shirika lifanye Kazi Kwa ufanisi na kuleta Faida
 
Makamba ni kiongozi anajua kupanga safu za ushindi na hapa kwenye bodi ya Tanesco ndio kaanza vyema!!..Bodi hii ina watu wenye mafanikio kwenye sekta zote walizowahi kupita!!..Sasa tunategema Neema kwenye Umeme!!.. Shirika lifanye Kazi Kwa ufanisi na kuleta Faida
kuna mgongano wa maslahi. Mmoja wa wamiliki wa firm ya kisheria inayowakilisha kampuni inayoishtaki Tanesco amepewa ujumbe wa bodi wa hiyohiyo Tanesco, hii haina afya. kwa shirika, ni mgongano wa maslahi mtupu
 
kuna mgongano wa maslahi. Mmoja wa wamiliki wa firm ya kisheria inayowakilisha kampuni inayoishtaki Tanesco amepewa ujumbe wa bodi wa hiyohiyo Tanesco, hii haina afya. kwa shirika, ni mgongano wa maslahi mtupu
Kwenye mgongano wa kimaslahi!!!...Kila mtu ana maslahi kwenye shirika hili!!....Mama Maajar kuwa na law firm hii!!...Bado haimaanishi atakua na personal interest kwenye shirika hili!!.. Utumishi wa Umma Una miiko yake ndio maana amekubali kuteuliwa!!
 
Spot on....

Kitendo cha kumuweka January kwenye hii wizara tayari harufu ya uchafu ilianza kuhisiwa,mengineyo ni muendelezo na tutarajie zaidi.
Nani sasa anafaa?

Maana kuna waliokuwa wanasema Medard Kalemani alipwaya....

Haya, kaja Makamba, naye anaonekana ana kasoro tayari....

Je, ni nani sasa anafaa kuiongoza wizara hii?

Maana, kwa hali ilivyo, basi mimi naona kabisa kuwa hata wewe ukipata bahati ya kuiongoza wizara hii, watasema mapungufu na kasoro zako kibao tu na inaweza kuwa afadhali hata January Makamba au Medard Kalemani....!

Je, nani sasa anafaa?????
 
Nani sasa anafaa?

Maana kuna waliokuwa wanasema Medard Kalemani alipwaya....

Haya, kaja Makamba, naye anaonekana ana kasoro tayari....

Je, ni nani sasa anafaa kuiongoza wizara hii?

Maana, kwa hali ilivyo, basi mimi naona kabisa kuwa hata wewe ukipata bahati ya kuiongoza wizara hii, watasema mapungufu na kasoro zako kibao tu na inaweza kuwa afadhali hata January Makamba au Medard Kalemani....!

Je, nani sasa anafaa?????
Kasoro iko kwenye matendo siyo sura yake
Huwezi kuteua mtu mwenye mgongano wa maslahi kuwa mjumbe wa bodi kisha hiyo ikawa na afya kwa shirika
 
Back
Top Bottom