Waziri Masauni afanya Ziara ya Kikazi Wilayani Kilosa

Waziri Masauni afanya Ziara ya Kikazi Wilayani Kilosa

Mm nilidhani Simbachawene ni waziri wa mambo ya ndani. Kumbe ni huyu? Sasa Simbachawene ni waziri wa nn?

Maana hivi sasa mawaziri wamekuwa wakigeuzwa geuzwa kama chapatihadi hatuelewi?
Pole manka
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mheshimiwa Hamad Y. MASAUNI (Mb) amefanya ziara ya siku mbili kikazi Wilayani Kilosa, ambapo alipata nafasi ya kutembelea ujenzi wa Gereza la Wilaya hiyo, kuzungumza na kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na Wilaya pamoja na kuzungumza na kusikiliza kero za wananchi katika Mji mdogo wa Mikumi.

Katika ziara hiyo aliambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mheshimiwa Shaka Hamdu Shaka akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Mkurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa Idara, Mbunge wa Jimbo la Mikumi Mheshimiwa Denis Lazaro Londo pamoja na viongozi wa CCM wilaya hiyo.

Fuatilia matukio katika Picha.

#Kilosaye2Fursaze2
#Uongoziwapamoja
#MaendeleoEndelevuView attachment 2525065View attachment 2525064View attachment 2525066View attachment 2525067View attachment 2525068View attachment 2525070View attachment 2525069View attachment 2525071
IMG-20230221-WA0035.jpg
IMG-20230221-WA0044.jpg
IMG-20230221-WA0043.jpg
IMG-20230221-WA0041.jpg
IMG-20230221-WA0042.jpg
IMG-20230221-WA0040.jpg
IMG-20230221-WA0038.jpg
IMG-20230221-WA0039.jpg
IMG-20230221-WA0036.jpg
 
Back
Top Bottom