Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameongoza ujumbe wa Tanzania kutembelea Idara ya Polisi, Zimamoto na Uhamiaji ya nchini Saudi Arabia.
Hiyo ni sehemu ya ziara ya kujifunza na kubadilishana uzoefu katika utendaji kazi wa idara hizo katika masuala ya Usalama ikiwemo Kudhibiti uhalifu wa makosa mbalimbali ikiwemo makosa ya Kiuhamiaji,mtandao na masuala ya kupambana na majanga.
Hiyo ni sehemu ya ziara ya kujifunza na kubadilishana uzoefu katika utendaji kazi wa idara hizo katika masuala ya Usalama ikiwemo Kudhibiti uhalifu wa makosa mbalimbali ikiwemo makosa ya Kiuhamiaji,mtandao na masuala ya kupambana na majanga.