Waziri Masauni aonya wanaodhihaki viongozi mtandaoni

Waziri Masauni aonya wanaodhihaki viongozi mtandaoni

Halafu hawataki uongee wanataka umsifie Mama Abduli. Nasema hivi over my dead body...
Dah!Ila kuna mijitu mizima ya hovyo sana.Unakuta mtu anasifia kwa sauti na amekenua mdomo umekuwa mpana hadi unafika karibu na masikio huku anatokwa povu tu.🙏😂
 
Nchi inayoenda kukopa, hii gari anatembelea mkuu wa mkoa!!! Tunakatwa kodi mishahara, kodi wafanyabiashara ili viongozi waishi kwa anasa. Inatosha sasa...

Viongozi wa kiafrika ni sifuri kabisa ,nchi yetu ni tajiri sana ,tukipata kiongozi mzuri maisha yatakua nafuu ,tukitumia rasilimali zetu vizuri tutaondoa tozo sizizo na msingi ,tutaondoa au kupunguza VAT/PAYE.

Tuna mbuga kama Zote ,Madini kama yote ,mazao ya misitu kama yote ,ardhi kubwa virgin(haijaguswa kabisa),bahari(ports/samaki) etc yaani hivyo vitu tungetumia vizuri hakika tusingekopa hata 100.

Resources zote wamewapa wazungu kwa kuhongwa nyumba USA/S.A/UK ,mabiashara makubwa yote wanahisa zao za chini chini hivyo wanapata favor.

TZ akitokea kiongozi wa kuwatetea wananchi anaundiwa Zwengwe ,Mpina kapambana na WEZI/Mafisadi lakini ameishia kufukuzwa bungeni...Viongozi wengi ni wapigaji ,waziri kwa mshahara gani amiliki nyumba ya zaidi ya 2B? Waziri gani amiliki mabasi zaidi ya 15? Kwa mshahara upi au mkopo gani?
 
Nchi inayoenda kukopa, hii gari anatembelea mkuu wa mkoa!!! Tunakatwa kodi mishahara, kodi wafanyabiashara ili viongozi waishi kwa anasa. Inatosha sasa...
Gharama ya kuhudumia hayo madude sio mchezo ndio maana siku zote kuna nakisi ya bajeti.
 
Viongozi wa kiafrika ni sifuri kabisa ,nchi yetu ni tajiri sana ,tukipata kiongozi mzuri maisha yatakua nafuu ,tukitumia rasilimali zetu vizuri tutaondoa tozo sizizo na msingi ,tutaondoa au kupunguza VAT/PAYE.

Tuna mbuga kama Zote ,Madini kama yote ,mazao ya misitu kama yote ,ardhi kubwa virgin(haijaguswa kabisa),bahari(ports/samaki) etc yaani hivyo vitu tungetumia vizuri hakika tusingekopa hata 100.

Resources zote wamewapa wazungu kwa kuhongwa nyumba USA/S.A/UK ,mabiashara makubwa yote wanahisa zao za chini chini hivyo wanapata favor.

TZ akitokea kiongozi wa kuwatetea wananchi anaundiwa Zwengwe ,Mpina kapambana na WEZI/Mafisadi lakini ameishia kufukuzwa bungeni...Viongozi wengi ni wapigaji ,waziri kwa mshahara gani amiliki nyumba ya zaidi ya 2B? Waziri gani amiliki mabasi zaidi ya 15? Kwa mshahara upi au mkopo gani?
Inaumiza sana mkuu. Najuta sana kua mwafrika mweusi. Hapa nchini ni 10% pekee wanaishi kwa standard inayotakiwa. Asilimia iliyobaki ni tia mchuzi.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, Hamad Masauni ametoa onyo kwa watu wenye tabia ya kutoa maneno ya kukejeli viongozi wakuu wa kitaifa. Mbali na hilo, amesema chaguzi zijazo usalama utakuwapo wakati wote.

Masauni amesema hayo leo Jumapili, Julai 7, 2024 visiwani Zanzibar, kwenye hafla ya kufungua mafunzo ya uongozi wa Chama Cha Mapinduzi na jumuiya zake.

Fucking idiot.

Watu wana haki ya kuwasema hao viongozi.

Acheni huu ujinga wa kuendekeza Lese Majeste.

Fanya kazi watu wataona, acha wanaodhihaki wadhihaki, halafu wananchi watahukumu.
 
Kukosolewa viongozi ni moja ya misingi ya Kidemokrasia.
Ni aibu Kiongozi kutoa vitisho kwa wakosoaji na kukumbatia uchawa.
Dunia ya sasa imebadilika sana,badilikeni viongozi
 
Ifike hatua mawaziri wawe wanaomba kazi na kufanyiwa interview.
Isiwe cheo cha kuteuliwa na waombaji sifa ziendane na wizara wanazo omba kuziongoza.
Hii ya kuteua makada kua mawaziri inaturudisha nyuma kama taifa.
 
Mnywa urojo anachimba biti...watu wakiwa na dola upande wao huwaga wanajiona miungu watu
 
Ila CCM imejaa viongozi wengi wajinga, badala mtilie mkazo kwenye uadilifu, kukemea uchawa na wizi, rushwa na ufisadi, mnakuja kujitia aibu kwa ujinga kama huu! kwani nani hajui kukosolewa kwenu ni matusi? Kukosolewa kwenu ni uchochezi? Kukosolewa kwenu ni kuleta machafuko?

Yaani kama hamtoshei kwenye nafasi zenu mnataka wanachi tusiseme? Kama kichwani hamna kitu mnataka msiambiwe? Tuwape dhamana sisi halafu mkituibia na kwenda kinyume na katiba tusiseme?

Masauni ungekuwa unatoshea kwenye hiyo nafasi hata kwa robo tu usingeongea haya umeongea leo na kuhamasisha vijana wawe chawa, unatia aibu! Yaani manvuliwa nguo kila siku tena na CCM wenzenu halafu unakuja kulaumu wapinzani na wananchi, na mnaona mnafanya la maana kabisa kuja kutisha wanachi kama hivi?

Siku tutakayowakomboa chawa wote, ndio mtaelewa viongozi wengi CCM ukiwemo na wewe hakuna kitu!

#KataaUozo2025
#KataaMachawa
#KataaWajinga2025

===

"Kweli tumekuwa kimya kusemea mazuri ya Dk. Samia na Dk. Mwinyi, tujitathmini tu katika hilo, kwamba je nafanya hayo? Kwasababu kiukkweli Marais wetu hawa wawili wamefanya mambo mambo makubwa sana katika muda mfupi.

"Na bahati mbaya sana tunatoa nafasi kwa wapinzani kufikisha jitihada hizi, kwanini hamuoni kuna viclip vya kijinga jinga vvinasambaa vya wapinzani? Wanadhihaki viongozi wetu, wanadhihaki serikali.

"Sisemi kwamba lazima na wewe utoe clip ujibu lakini hata ukifanya kazi katika eneo ulipo, kama wewe ni balozi , nyumba zako 10 tafuta namna ya kuweza kufikisha ujumbe, kama ni tawi, tawi lako.

"Lakini niwapongeze sana viongozi wetu hawa, hawajatetereka, na sisi tuwe mfano wa kufuata nyayo zao. Wako watu walioona kwamba kwasababu hakuna ajenda, ilani imetekelezwa kwa kiwango kikubwa kabla hata ya wakati, hawa wapinzani wakaona labda pengine watafanya vitu vitasababisha kuteteresha mshikamano na umoja uliopo.

"Wakatishia wengine kutaka kujitoa sijui katika serikali ya umoja wa kitaifa lakini kwa busara za viongozi wetu hawa, wametulia, wanafanya mambo kwa vitendo, hawajatoka kwenye reli.

"Hayo wanafanya lengo lao si tu kututoa kwenye reli lakini vile vile kutaka tunapoelekea kwenda kutekeleza demokrasia ya kuchagua viongozi tunaowataka katika uchaguzi mkubwa unaotarajia kufanyika mwakani ili twende nchi yetu ikiwa haina amani. Jambo hilo haliwezekani.

"Nataka niwahakikishie, hiyo dhamana nimepewa mimi, mimi ndio Waziri wa Mambo ya Ndani, ninayesimamia mapolisi na vyombo vya usalama, watu watafanya uchaguzi katika nchi hii kwa usalama na amani, na mtu yoyote asijaribu kutaka kucheza na amani ya nchi hii, tutailinda amani na usalama wa nchi hii kwa gharama yoyote."


Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni amesema hayo leo Jumapili, Julai 7, 2024 visiwani Zanzibar, kwenye hafla ya kufungua mafunzo ya uongozi wa Chama Cha Mapinduzi na jumuiya zake.

Kataa uozo
Kataa matapeli
Kataa majizi
Kataa mafisadi ya CCM
 
Ila CCM imejaa viongozi wengi wajinga, badala mtilie mkazo kwenye uadilifu, kukemea uchawa na wizi, rushwa na ufisadi, mnakuja kujitia aibu kwa ujinga kama huu! kwani nani hajui kukosolewa kwenu ni matusi? Kukosolewa kwenu ni uchochezi? Kukosolewa kwenu ni kuleta machafuko?

Yaani kama hamtoshei kwenye nafasi zenu mnataka wanachi tusiseme? Kama kichwani hamna kitu mnataka msiambiwe? Tuwape dhamana sisi halafu mkituibia na kwenda kinyume na katiba tusiseme?

Masauni ungekuwa unatoshea kwenye hiyo nafasi hata kwa robo tu usingeongea haya umeongea leo na kuhamasisha vijana wawe chawa, unatia aibu! Yaani manvuliwa nguo kila siku tena na CCM wenzenu halafu unakuja kulaumu wapinzani na wananchi, na mnaona mnafanya la maana kabisa kuja kutisha wanachi kama hivi?

Siku tutakayowakomboa chawa wote, ndio mtaelewa viongozi wengi CCM ukiwemo na wewe hakuna kitu!

#KataaUozo2025
#KataaMachawa
#KataaWajinga2025

===

"Kweli tumekuwa kimya kusemea mazuri ya Dk. Samia na Dk. Mwinyi, tujitathmini tu katika hilo, kwamba je nafanya hayo? Kwasababu kiukkweli Marais wetu hawa wawili wamefanya mambo mambo makubwa sana katika muda mfupi.

"Na bahati mbaya sana tunatoa nafasi kwa wapinzani kufikisha jitihada hizi, kwanini hamuoni kuna viclip vya kijinga jinga vvinasambaa vya wapinzani? Wanadhihaki viongozi wetu, wanadhihaki serikali.

"Sisemi kwamba lazima na wewe utoe clip ujibu lakini hata ukifanya kazi katika eneo ulipo, kama wewe ni balozi , nyumba zako 10 tafuta namna ya kuweza kufikisha ujumbe, kama ni tawi, tawi lako.

"Lakini niwapongeze sana viongozi wetu hawa, hawajatetereka, na sisi tuwe mfano wa kufuata nyayo zao. Wako watu walioona kwamba kwasababu hakuna ajenda, ilani imetekelezwa kwa kiwango kikubwa kabla hata ya wakati, hawa wapinzani wakaona labda pengine watafanya vitu vitasababisha kuteteresha mshikamano na umoja uliopo.

"Wakatishia wengine kutaka kujitoa sijui katika serikali ya umoja wa kitaifa lakini kwa busara za viongozi wetu hawa, wametulia, wanafanya mambo kwa vitendo, hawajatoka kwenye reli.

"Hayo wanafanya lengo lao si tu kututoa kwenye reli lakini vile vile kutaka tunapoelekea kwenda kutekeleza demokrasia ya kuchagua viongozi tunaowataka katika uchaguzi mkubwa unaotarajia kufanyika mwakani ili twende nchi yetu ikiwa haina amani. Jambo hilo haliwezekani.

"Nataka niwahakikishie, hiyo dhamana nimepewa mimi, mimi ndio Waziri wa Mambo ya Ndani, ninayesimamia mapolisi na vyombo vya usalama, watu watafanya uchaguzi katika nchi hii kwa usalama na amani, na mtu yoyote asijaribu kutaka kucheza na amani ya nchi hii, tutailinda amani na usalama wa nchi hii kwa gharama yoyote."


Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni amesema hayo leo Jumapili, Julai 7, 2024 visiwani Zanzibar, kwenye hafla ya kufungua mafunzo ya uongozi wa Chama Cha Mapinduzi na jumuiya zake.

Wakati Kikwete akiwa Mwenyekiti wa CCM, huyu jamaa akiwa Mwenyekiti wa UVCCM alikumbwa na kashfa mbaya sana ya kufoji umri, alijifanya kijana na kuweza kushika nafasi hiyo.

Ingawa aliondolewa kabla ya miaka mitano kwa 'pressure' ya vijana wa CCM na maneno makali ya Kikwete.

Aliposhtukiziwa, Kikwete alitoa amri kuwa maisha asipewe uongozi ndani ya CCM, labda huko serikalini kwa kuwa huko kuna uhuni mwingi.

Kikwete muda wote akiwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania, huyu jamaa hakufanyakazi ya serikali na CCM.

Mpaka leo sehemu akiwapo Kikwete, jamaa huinamisha uso wake chini kwa muwadhra na aibu alioipata.

Alianza kuonekana kwenye vyeo vya serikali baada ya Kikwete kustaafu na John Magufuli kuwa Rais.

Huyu jamaa, ana tabia za kikatili sana ndio sababu kila kitu anatumia nguvu na mabavu ya askari polisi.

Jamaa ni mpuuzi sana. Ana hulka za kishenzi dhidi ya binadamu.

Ana tabia ya kuchukia upinzani, vyama vya upinzani na viongozi wake, kama vile havipo kisheria na kikatiba.
 
Ila CCM imejaa viongozi wengi wajinga, badala mtilie mkazo kwenye uadilifu, kukemea uchawa na wizi, rushwa na ufisadi, mnakuja kujitia aibu kwa ujinga kama huu! kwani nani hajui kukosolewa kwenu ni matusi? Kukosolewa kwenu ni uchochezi? Kukosolewa kwenu ni kuleta machafuko?

Yaani kama hamtoshei kwenye nafasi zenu mnataka wanachi tusiseme? Kama kichwani hamna kitu mnataka msiambiwe? Tuwape dhamana sisi halafu mkituibia na kwenda kinyume na katiba tusiseme?

Masauni ungekuwa unatoshea kwenye hiyo nafasi hata kwa robo tu usingeongea haya umeongea leo na kuhamasisha vijana wawe chawa, unatia aibu! Yaani manvuliwa nguo kila siku tena na CCM wenzenu halafu unakuja kulaumu wapinzani na wananchi, na mnaona mnafanya la maana kabisa kuja kutisha wanachi kama hivi?

Siku tutakayowakomboa chawa wote, ndio mtaelewa viongozi wengi CCM ukiwemo na wewe hakuna kitu!

#KataaUozo2025
#KataaMachawa
#KataaWajinga2025

===

"Kweli tumekuwa kimya kusemea mazuri ya Dk. Samia na Dk. Mwinyi, tujitathmini tu katika hilo, kwamba je nafanya hayo? Kwasababu kiukkweli Marais wetu hawa wawili wamefanya mambo mambo makubwa sana katika muda mfupi.

"Na bahati mbaya sana tunatoa nafasi kwa wapinzani kufikisha jitihada hizi, kwanini hamuoni kuna viclip vya kijinga jinga vvinasambaa vya wapinzani? Wanadhihaki viongozi wetu, wanadhihaki serikali.

"Sisemi kwamba lazima na wewe utoe clip ujibu lakini hata ukifanya kazi katika eneo ulipo, kama wewe ni balozi , nyumba zako 10 tafuta namna ya kuweza kufikisha ujumbe, kama ni tawi, tawi lako.

"Lakini niwapongeze sana viongozi wetu hawa, hawajatetereka, na sisi tuwe mfano wa kufuata nyayo zao. Wako watu walioona kwamba kwasababu hakuna ajenda, ilani imetekelezwa kwa kiwango kikubwa kabla hata ya wakati, hawa wapinzani wakaona labda pengine watafanya vitu vitasababisha kuteteresha mshikamano na umoja uliopo.

"Wakatishia wengine kutaka kujitoa sijui katika serikali ya umoja wa kitaifa lakini kwa busara za viongozi wetu hawa, wametulia, wanafanya mambo kwa vitendo, hawajatoka kwenye reli.

"Hayo wanafanya lengo lao si tu kututoa kwenye reli lakini vile vile kutaka tunapoelekea kwenda kutekeleza demokrasia ya kuchagua viongozi tunaowataka katika uchaguzi mkubwa unaotarajia kufanyika mwakani ili twende nchi yetu ikiwa haina amani. Jambo hilo haliwezekani.

"Nataka niwahakikishie, hiyo dhamana nimepewa mimi, mimi ndio Waziri wa Mambo ya Ndani, ninayesimamia mapolisi na vyombo vya usalama, watu watafanya uchaguzi katika nchi hii kwa usalama na amani, na mtu yoyote asijaribu kutaka kucheza na amani ya nchi hii, tutailinda amani na usalama wa nchi hii kwa gharama yoyote."


Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni amesema hayo leo Jumapili, Julai 7, 2024 visiwani Zanzibar, kwenye hafla ya kufungua mafunzo ya uongozi wa Chama Cha Mapinduzi na jumuiya zake.

Anataka tusiwakemee viongozi majizi
 
Back
Top Bottom