Waziri Masauni asema anachofanya “Kiboko ya Wachawi” anathibitisha kuwa alikuwa anafanya utapeli

Waziri Masauni asema anachofanya “Kiboko ya Wachawi” anathibitisha kuwa alikuwa anafanya utapeli

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Serikali ya Tanzania imeweka wazi sababu ya kumfukuza nchini Kiongozi na Mchungaji wa Kanisa la Christian Life maarufu ‘Kanisa la Kiboko ya Wachawi’, Dominique Dibwe kwa kukiuka misingi na mafundisho ya Vitabu Vitakatifu sambamba na kutoa wito kwa wahubiri wengine kufuata mafundisho ya Vitabu Vitakatifu na Sheria mbalimbali za nchi zinazosimamia taasisi hizo za kidini huku ikikemea matukio ya mauaji na ulawiti yanayoendelea nchini.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati akifunga makambi yaliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Maranatha lililopo Mtaa wa Maji ya Chai, Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.

Amesema “Tulimuondoa Mchungaji mmoja Nchini kwa kukiuka Sheria za Usajili na mmeshuhudia huko anapokwenda amekuwa akisambaza video akithibitisha mambo aliyokuwa akiyafanya ni kinyume kabisa na Kitabu cha Dini ikiwemo kutapeli watu, kuwatoza watu fedha kinyume cha utaratibu, kuwaaminisha Watu miujiza inaweza kuwafanya wawe matajiri.”

 
Serikali ya Tanzania imeweka wazi sababu ya kumfukuza nchini Kiongozi na Mchungaji wa Kanisa la Christian Life maarufu ‘Kanisa la Kiboko ya Wachawi’, Dominique Dibwe kwa kukiuka misingi na mafundisho ya Vitabu Vitakatifu sambamba na kutoa wito kwa wahubiri wengine kufuata mafundisho ya Vitabu Vitakatifu na Sheria mbalimbali za nchi zinazosimamia taasisi hizo za kidini huku ikikemea matukio ya mauaji na ulawiti yanayoendelea nchini.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati akifunga makambi yaliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Maranatha lililopo Mtaa wa Maji ya Chai, Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.

Amesema “Tulimuondoa Mchungaji mmoja Nchini kwa kukiuka Sheria za Usajili na mmeshuhudia huko anapokwenda amekuwa akisambaza video akithibitisha mambo aliyokuwa akiyafanya ni kinyume kabisa na Kitabu cha Dini ikiwemo kutapeli watu, kuwatoza watu fedha kinyume cha utaratibu, kuwaaminisha Watu miujiza inaweza kuwafanya wawe matajiri.”

Huyu si ni kobas? Asema MK254.

Si atuachie wenye dini yetu tupambane name.
 
Serikali ya Tanzania imeweka wazi sababu ya kumfukuza nchini Kiongozi na Mchungaji wa Kanisa la Christian Life maarufu ‘Kanisa la Kiboko ya Wachawi’, Dominique Dibwe kwa kukiuka misingi na mafundisho ya Vitabu Vitakatifu sambamba na kutoa wito kwa wahubiri wengine kufuata mafundisho ya Vitabu Vitakatifu na Sheria mbalimbali za nchi zinazosimamia taasisi hizo za kidini huku ikikemea matukio ya mauaji na ulawiti yanayoendelea nchini.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati akifunga makambi yaliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Maranatha lililopo Mtaa wa Maji ya Chai, Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.

Amesema “Tulimuondoa Mchungaji mmoja Nchini kwa kukiuka Sheria za Usajili na mmeshuhudia huko anapokwenda amekuwa akisambaza video akithibitisha mambo aliyokuwa akiyafanya ni kinyume kabisa na Kitabu cha Dini ikiwemo kutapeli watu, kuwatoza watu fedha kinyume cha utaratibu, kuwaaminisha Watu miujiza inaweza kuwafanya wawe matajiri.”
HUYU KATOA HELA KWA AJILI YA SHULE SIJUI MISIBA YA MAENEO YALEE NA KUNA KIPINDI HADI DC NA BAADHI YA...WA VITUO MAENEO YALE WALIKUWA WANAFIKA

HIVI WALIKUWA HAWAJUIIII

MB WA ENEO LILE NAE WALEWALE M SITAKI

KAZIIENDELEE
 
PAMEANZA KUCHANGAMKA SASA😂😂

ENEO LILIPOKUWA KANISA LA KIBOKO YA WACHAWI LANUNULIWA NA BISHOP EDWARD, MCHUNGAJI KIONGOZI WA MAKANISA YA BETHELEHEMU REVIVAL CHURCH

BISHOP EDWARD ANASEMA👇👇👇👇

"TUMEMUONDOA MUNGU WA BAALI NA TUMEMLETA MUNGU WA KWELI"
 
TUMEPIGA MAKELELEE NA JUMUIYA ZA MAKANISA WAKA.LAANI MBELE YA VYOMBO VYA HABARI HAWAKUONA KWELI....
 
KAJA MWAMBA MWINGINE

HUYU HOPE ATAKUJA NA VIINGILIO TENA

ASK EDWARD
 
Back
Top Bottom