Wengi ni matapeli huyo kutokana na mmemnyang‘anya tonge kaona afunue ukweli ili nyumbu ziamke wenzake wasiendelee kupiga.
Masauni mimi naomba kama kuna uwezekano mruhusuni Kiboko arudi bado nyumbu Tanzania hazijaisha na hazitaisha mkiendelea kuwakuza wanaowatia adabu.