Waziri Masauni asema anachofanya “Kiboko ya Wachawi” anathibitisha kuwa alikuwa anafanya utapeli

Wengi ni matapeli huyo kutokana na mmemnyang‘anya tonge kaona afunue ukweli ili nyumbu ziamke wenzake wasiendelee kupiga.

Masauni mimi naomba kama kuna uwezekano mruhusuni Kiboko arudi bado nyumbu Tanzania hazijaisha na hazitaisha mkiendelea kuwakuza wanaowatia adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…