Waziri Masauni na IGP Wambura jiuzulu

Mbona akina zito na myika wanajiteka wenyewe kwa wenyewe yaani zito kamteka nondo na kumshushia kichapo hahaha. Mlishukuru jeshi la polisi
Limesaidia kumkaba zito na kumuachia nondo
 
Kujiuzulu ndio mdudu gani Bongo?

RIP mzee Mwinyi. Alijua maana ya kujiuzulu.

Ila mimi na hao wazushi uliowataja hapo juu, hatujui maana ya hilo neno.
 
Kujiuzulu ndio mdudu gani Bongo?

RIP mzee Mwinyi. Alijua maana ya kujiuzulu.

Ila mimi na hao wazushi uliowataja hapo juu, hatujui maana ya hilo neno.
Hakika mkuu
 
Hawa wanafanywa mbuzi wa KAFARA tu, sithani kama wanahusika kwa lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…