Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu

Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa.

"Mh Rais aliagiza vitalu vilivyoko kwenye ranchi zetu za Narco ikiwezekana vifutwe, sasa jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa serikali" amesema Mashimba

CHANZO WASAFI MEDIA:
 
Namkumbuka Sana Mzilankende Alipomwambia Mwijage Mtumbue DG Wa Brela, Akasema Siwezi Mheshimiwa Rais.

Akaambiwa Ikifika Saa 10 Hujamtumbua, Ujue Huna Kazi.

Mwijage Chap Chap Akamtumbua.

Ndiyo Ikawa Pona Yake...
 
Screenshot_20220813-095540.png
Sawa mwisho wa siku tutaona nani atavimbishwa..hata Siro alikuwaga anasema hivyo hivyo,amekatiwa mirija yuko Zimbabwe anazurula tuu..

Mwisho kwa maelezo ya Waziri Amesema kuna mambo ya kisheria yanatekelezwa na ndio kinachotakiwa👇
 
Dah inasikitisha. Kama Rais Magufuli enzi zake alimteua Rais Samia kuwa makamu wa Rais huku akiwa mwanamke, muislamu, toka Zanzibar, na akamteua Kassimu Majaliwa kuwa waziri mkuu, muislam toka Lindi, na akamteua Diwani Athumani kuwa DG TISS, muislamu sijui kabila lake, yaani hizo nafasi muhimu alikuwa na waislamu.

Je, inawezekana Rais Samia akaongozwa na ukabila na udini? Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa kwenye teuzi kuna udini na ukabila.

Hizi dhana potofu ni muhimu kuona namna ya kuzikomesha, either nafasi zitangazwe na watu washindane na Rais acheze na KPIs za kila kiongozi na awe na mamlaka ya kumuondoa ila kumuweka asiwe na mamlaka.
 
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa.

"Mh Rais aliagiza vitalu vilivyoko kwenye ranchi zetu za Narco ikiwezekana vifutwe, sasa jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa serikali" amesema Mashimba

CHANZO WASAFI MEDIA:
Hajamvimbia bwana kila jambo lina utaratibu
 
Namkumbuka Sana Mzilankende Alipomwambia Mwijage Mtumbue DG Wa Brela, Akasema Siwezi Mheshimiwa Rais
Akaambiwa Ikifika Saa 10 Hujamtumbua, Ujue Huna Kazi
Mwijage Chap Chap Akamtumbua
Ndiyo Ikawa Pona Yake...
Ha ha 😂😂 muzilankende muyango
 
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa.

"Mh Rais aliagiza vitalu vilivyoko kwenye ranchi zetu za Narco ikiwezekana vifutwe, sasa jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa serikali" amesema Mashimba

CHANZO WASAFI MEDIA:
Waziri anajua kuwa mwisho wa siku, yeye waziri atashitakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka. Tukumbuke yaliyomkuta Basil Mramba na wenzake.
 
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa...
Sasa hapo kavimba wapi ?

Issue ilikuwa ni swali ikiwezekene vifutwe..., Akapima akaona inahitaji umakini anaunda timu..., Kwahio Technically ni kwamba anaunda timu (gharama) ambayo huenda mwisho wa siku vikafutwa na gharama juu....,

Hii nchi hii tunakoenda ni hatari sana na hawa walamba asali wapunguze tamaa sababu mwisho wa siku watu watachoka na wao watakosa sehemu ya kufaidi asali yao
 
Back
Top Bottom