Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu

Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu

Dah inasikitisha. Kama Rais Magufuli enzi zake alimteua Rais Samia kuwa makamu wa Rais huku akiwa mwanamke, muislamu, toka Zanzibar, na akamteua Kassimu Majaliwa kuwa waziri mkuu...
Humu JF wengine walisema, Kenya Wanachaguana kwa ukabila. Sasa kwetu huku ni wasiwasi wa ki dini na ki ukanda yaani ukabila. Sijui wapi kuko nafuu ya pengine.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hivyo vitalu wapewe waarabu na wasomali ndio watu wanaopewa kipaumbele
Hizi chuki za ukabila na ubaguzi hazitakufikisha popote.

Ukiweka jina la msomali mmoja aliyepewa kitalu nitakuomba radhi hadharani.

Vinginevyo wacha ugonjwa ambao tunawalalamikia wa South Africa.Xenophobia.
 
Hizi chuki za ukabila na ubaguzi hazitakufikisha popote.
Ukiweka jina la msomali mmoja aliyepewa kitalu nitakuomba radhi hadharani.
Vinginevyo wacha ugonjwa ambao tunawalalamikia wa South Africa.Xenophobia.
Amutoe tu huyo mkiristo halafu wasukuma hawatakiwi na huyu mama! Juzi katoa wakristo mikoa ya kanda ya ziwa katuletea karibia wote waislam
Mkoa wa mara- mkuu wa mkoa-mwislam
Shinyanga-mwislam
Mara-mwislam
Simiyu-mwislam
Tabora-mwislam
Yaani alikuwa na chuki sana na wakristo huyu!
 
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheri...
Hilo nalo nendeni mkalitizame
 
Amutoe tu huyo mkiristo halafu wasukuma hawatakiwi na huyu mama! Juzi katoa wakristo mikoa ya kanda ya ziwa katuletea karibia wote waislam
Mkoa wa mara- mkuu wa mkoa-mwislam
Shinyanga-mwislam
Mara-mwislam
Simiyu-mwislam
Tabora-mwislam
Yaani alikuwa na chuki sana na wakristo huyu!
Tuletee lista ya mikoa yote na mawaziri,wakuu wa wilaya,mabalozi na makatibu wakuu tulinganishe.
Ukiona mtu anazungumzia udini na ukabila karne hii jua mtu huyo ni mwenye mawazo na fikra muflis.
Na mbona hoja hizi hazikutolewa awamu iliyopita?Why now?
 
Kwa hiyo kifupi anasema Rais alikurupuka siyo?
 
Mbona kazungumza vizuri sana na kiakili. Ndio Raisi anatoa Amri lakini watendaji ni lazima wamshauri. Hapa hapana cha Udini, ukabila wala ukanda, hapa ni kazi na kuwajibika.
 
Amutoe tu huyo mkiristo halafu wasukuma hawatakiwi na huyu mama! Juzi katoa wakristo mikoa ya kanda ya ziwa katuletea karibia wote waislam
Mkoa wa mara- mkuu wa mkoa-mwislam
Shinyanga-mwislam
Mara-mwislam
Simiyu-mwislam
Tabora-mwislam
Yaani alikuwa na chuki sana na wakristo huyu!
Ni mjinga tu anaewaza mambo kwa kivuli Cha udini ...
 
Mkuu sijawahi kuwaza issues kwa misingi ya kidini...Hawa wazungu na waarabu wameharibu fikra zenu Sana ..be free from religion concept na utaishi vizuri sana
Kwani mkuu hatuoni? Mkoa wa Pwani umetoa mawaziri wanne kwa kipi? mikoa mingine hakuna watu?
 
Back
Top Bottom