Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu

Acha chuki na fitina wewe mpumbavu.

nani anakutuma kupost post ujinga kila siku?

Unadhani Rais anaendeshwa kwa majungu,unajidhalilisha
 
THREAD ZA MAJUNGU NA UCHONGANISHI. WEWE NI NAIBU WAZIRI UNAMSAGIA KUNGUNI BOSI WAKO ATUMBULIWE ILI UPANDE CHEO
Jamaa kila siku anaanzisha thread za majungu πŸ˜†watu wanamchora tu hajui kua watu wanajua nia yake πŸ˜‚
 
Hivo vitalu vimemilikishwa kisheria nadhani , sasa waziri anaangalia namna nzuri ya kuwanyang'anya kisheria ili hao watakaonyang'anywa wasije wakaenda kushtaki mahakamani wizara yake
 
Mbona sioni shida? Au nawe ni wale wanaopenda kupenyeza vimemo vya umbea, majungu, fitna na taharuki!?
 
Kumbe mnawachukia sababu wao Ni Waislamu?! Mbwaa nyie, huo udini wenu tushaujua, na hamtokaa mpewe Tena Nchi
Hii comment yako haina afya. Ambae analeta udini anapaswa kupuuzwa tu, Ila nachoona wewe ndio kwanza unapalilia
 
Hapo kavimba nini?

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…