shebination
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 392
- 719
Waziri Mchengelwa una yapi ya kuwaambia watumishi baada ya kuwaaminisha kuwa wote wanaostahili kupanda madaraja watapandishwa na watalipwa kuanzia mwezi huu na umewaacha hewani huku idadi kubwa awaoni badiliko lolote.
Walio karibu na waziri nisaidieni kumfikishia hii
Walio karibu na waziri nisaidieni kumfikishia hii