Waziri Mchengelwa aangukia pua zoezi la upandishaji madaraja watumishi wa umma, vilio vyatanda kila kona

Waziri Mchengelwa aangukia pua zoezi la upandishaji madaraja watumishi wa umma, vilio vyatanda kila kona

Bila kuwa na connection hupandi daraja,enzi za Connection zimerudi,kujuana
Mkuu Tuache kuichafua serikali,Mimi na mke wangu ni watu wa chini Sana huku shuleni kwetu mpigamiti-Liwale lakini tumepanda madaraja bila ya konekisheni unayoisema ,Kama Kuna watu hawjapanda madaraja Basi ni wachache Sana na ni makosa madogo madogo,

Hapa shuleni kwangu tuko walimu wanne ambao tulipaswa kupanda na wote tumepanda.
 
Utapandishe madaraja bila budget

Hivi wabongo akili zetu uwa tunaziweka wapi?

Yaani hii budget ya Magufuli ndio inaishia tarehe30 mwezi huu halafu hii hii wapachike billion 300 zitakuwa zimetoka wapi?

Tena bila bunge kuzipitisha yaani mnataka turudi kulekule kwenye kufanya kazi bila kufuata sheria?
Tatizo sio wabongo mkuu waziri ndiyo alitoa tamko hilo bwana mchengelwa lakini mambo yamekuw tofauti asee
 
Mkuu Tuache kuichafua serikali,Mimi na mke wangu ni watu wa chini Sana huku shuleni kwetu mpigamiti-Liwale lakini tumepanda madaraja bila ya konekisheni unayoisema ,Kama Kuna watu hawjapanda madaraja Basi ni wachache Sana na ni makosa madogo madogo,

Hapa shuleni kwangu tuko walimu wanne ambao tulipaswa kupanda na wote tumepanda.
Si wachache mkuu idadi ya vilio ni kubwa mno wengi sana wamekutana na hewa
 
Mkuu Tuache kuichafua serikali,Mimi na mke wangu ni watu wa chini Sana huku shuleni kwetu mpigamiti-Liwale lakini tumepanda madaraja bila ya konekisheni unayoisema ,Kama Kuna watu hawjapanda madaraja Basi ni wachache Sana na ni makosa madogo madogo,

Hapa shuleni kwangu tuko walimu wanne ambao tulipaswa kupanda na wote tumepanda.
kuna taasisi iko chini ya wizara ya viwanda na biashara hakuna hata myumishi mmoja aliyepanda daraja na taasisi kama hizo ziko nyingi tu.
 
Waziri mchengelwa una yapi ya kuwaambia watumishi baada ya kuwaaminisha kuwa wote wanaostahili kupanda madaraja watapandishwa na watalipwa kuanzia mwezi huu na umewaacha hewani huku idadi kubwa awaoni badiliko lolote. Walio karibu na waziri nisaidieni kumfikishia hii
Na nyie WATUMISHI TULIENI mbona mna HARAKA KIASI HICHO? Wapeni Muda Wajipange Tunaposema KATIBA MPYA Ndio Kila KITU hamwelewi KATIBA iliyopo Kupanda Daraja ni Ombi kwa Mwajiri Wakati KATIBA MPYA ni Takwa la SHERIA
 
Leta video alichokisema kama aligusia kuhusu budget basi sisi ndio tumechemka
Mkuu katafute utazipata pia nilichoandika nina ushahidi nacho asee watu wanaumia halafu unaandika hivi kweli mkuu
 
Na nyie WATUMISHI TULIENI mbona mna HARAKA KIASI HICHO? Wapeni Muda Wajipange Tunaposema KATIBA MPYA Ndio Kila KITU hamwelewi KATIBA iliyopo Kupanda Daraja ni Ombi kwa Mwajiri Wakati KATIBA MPYA ni Takwa la SHERIA
Wanataka wote shida zao ziishe ndani ya mwezi mmoja.
 
Utumishi sasa inaonekana ni kundi la wajinga walioenda shule, Waziri alisema elfu 70 wataona mabadiliko June na waliobaki mpk July, mnaanza kulialia tena, mbona enzi ya dikteta mlikuwa kimya? acheni Waziri afanye kazi yake vizuri.
 
Na nyie WATUMISHI TULIENI mbona mna HARAKA KIASI HICHO? Wapeni Muda Wajipange Tunaposema KATIBA MPYA Ndio Kila KITU hamwelewi KATIBA iliyopo Kupanda Daraja ni Ombi kwa Mwajiri Wakati KATIBA MPYA ni Takwa la SHERIA
Kumbe KATIBA iliyopo ndo imesababisha watumishi wengi awajapandishwa na wachache io io katiba imewapandisha daaaah mchengelwa nisamehe
 
Utumishi sasa inaonekana ni kundi la wajinga walioenda shule, Waziri alisema elfu 70 wataona mabadiliko June na waliobaki mpk July, mnaanza kulialia tena, mbona enzi ya dikteta mlikuwa kimya? acheni Waziri afanye kazi yake vizuri.
Una uhakika na ulichoandika mkuu au umejibu tu
 
Mkuu katafute utazipata pia nilichoandika nina ushahidi nacho asee watu wanaumia halafu unaandika hivi kweli mkuu
Kuumia nini mbona kwa Magufuli miaka 5 hamkufa ?

Jaman tusipende kazi zifanyike kwa matamko tuache sheria zifanye kazi.

Wife wangu pia ajapanda ila nimemwambia ni michakato tu asubiri.
 
Watumishi wa umma mnaifilisi nchi,mnataka kupanda cheo,au ishu ni kuongezewa malipo,mshahara,na stahiki?
 
Una uhakika na ulichoandika mkuu au umejibu tu
Na hakika sn mkuu, nimefanya field utumishi mkuu, kuna wale ambao majina yao yaliingia kabla ya tarehe 10 kwenye lawson wote wamepata, mishahara huwa inapelekwa hazina kabla ya tarehe 15 ya mwezi husika mkuu, mtu jina limeingizwa kwenye lawson tarehe 20 unapataje mshahara mpya tarehe 24? tuwe na akili basi na sisi siyo kulialia, siipendi CCM lakini kwa hili hapana.
 
Kuumia nini mbona kwa Magufuli miaka 5 hamkufa ?

Jaman tusipende kazi zifanyike kwa matamko tuache sheria zifanye kazi.

Wife wangu pia ajapanda ila nimemwambia ni michakato tu asubiri.
Wewe una akili sn kwenye kusema ukweli tuseme, utumishi inaonekana ni kundi la wajinga sn, kila saa kulia lia, Huyu Waziri anawatetea sn watumishi kuliko Waziri yoyote yule wa CCM lakini bado wanapiga kelele, mbona enzi ya dikteta walikaa kimya na TUCTA yao? wajinga sn hawa.
 
Hadi mapunjo yaliyolipwa nayo pia yamepunjwa licha ya kukatwa kodi
aise poleni sana,
lkn kwa nn wapunje Haki ya mtu ?!
kwa nini hawa binaadamu wanakuwa na roho mbaya kiasi hicho?!
Tafadhali katibu mkuu fuatilia haya malalamiko yanayo daiwa na baadhi kupunjwa stahiki zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom