shebination
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 392
- 719
Mnaongea sana na nyie watuWaziri mchengelwa una yapi ya kuwaambia watumishi baada ya kuwaaminisha kuwa wote wanaostahili kupanda madaraja watapandishwa na watalipwa kuanzia mwezi huu na umewaacha hewani huku idadi kubwa awaoni badiliko lolote.
Mimi sijui aliongea nini lakini kama hapo nilipo-highlight ndicho alisema basi ndio mtego wenyewe huo, kwa sababu hakusema watumishi watapandishwa madaraja bali watumishi WANAOSTAHILI KUPANDA MADARAJA, watapandishwa madaraja!! Sasa kama unasema "idadi kubwa" hawaoni, wanasiasa watakuambia hiyo idadi ndogo unayoona ndio walistahili!Waziri mchengelwa una yapi ya kuwaambia watumishi baada ya kuwaaminisha kuwa wote wanaostahili kupanda madaraja watapandishwa na watalipwa kuanzia mwezi huu na umewaacha hewani huku idadi kubwa awaoni badiliko lolote.
so painful nimeumia sanaWaziri mchengelwa una yapi ya kuwaambia watumishi baada ya kuwaaminisha kuwa wote wanaostahili kupanda madaraja watapandishwa na watalipwa kuanzia mwezi huu na umewaacha hewani huku idadi kubwa awaoni badiliko lolote. Walio karibu na waziri nisaidieni kumfikishia hii
Unaweza kumlaumu mchengerwa kumbe ni afisa utumishi wako hajapeleka taarifa utumishi au kachelewa kupeleka au kapeleka lakini Ina makosa mengi sasa ni vema kabla ya kumlaumu mchengerwa anza na afisa utumishi wako ili ujirishishe kama yup safiMimi sijui aliongea nini lakini kama hapo nilipo-highlight ndicho alisema basi ndio mtego wenyewe huo, kwa sababu hakusema watumishi watapandishwa madaraja bali watumishi WANAOSTAHILI KUPANDA MADARAJA, watapandishwa madaraja!! Sasa kama unasema "idadi kubwa" hawaoni, wanasiasa watakuambia hiyo idadi ndogo unayoona ndio walistahili!
Je, una swali la ziada ndugu mjumbe?!
hii nchi ni ya wahuni tu hamna kitu nimesikia pia watumishi wa shirika la kuhudumia viwanda vidogo ambao wana miaka zaidi ya 15 hawajapanda madaraja hata arrears za mwaka jana bado hawajalipwa mpaka leo na hawajui watalipwa lini.mameneja wa utumishi wa maafisa wao wamekuwa ni mzigo kwa shirika lenye mtandao mkubwa vile.Waziri mchengelwa una yapi ya kuwaambia watumishi baada ya kuwaaminisha kuwa wote wanaostahili kupanda madaraja watapandishwa na watalipwa kuanzia mwezi huu na umewaacha hewani huku idadi kubwa awaoni badiliko lolote.
Kipi ujaelewa mkuu kaa usome vizuri idadi kubwa ya wanaostahili kupanda wamekuta mambo tofauti sasa hapo ujaelewa kipi au we ndo mchengelwa nini unajibu thread kiainaMimi sijui aliongea nini lakini kama hapo nilipo-highlight ndicho alisema basi ndio mtego wenyewe huo, kwa sababu hakusema watumishi watapandishwa madaraja bali watumishi WANAOSTAHILI KUPANDA MADARAJA, watapandishwa madaraja!! Sasa kama unasema "idadi kubwa" hawaoni, wanasiasa watakuambia hiyo idadi ndogo unayoona ndio walistahili!
Je, una swali la ziada ndugu mjumbe?!
hii nchi ni ya wahuni tu hamna kitu nimesikia pia watumishi wa shirika la kuhudumia viwanda vidogo ambao wana miaka zaidi ya 15 hawajapanda madaraja hata arrears za mwaka jana bado hawajalipwa mpaka leo na hawajui watalipwa lini.mameneja wa utumishi wa maafisa wao wamekuwa ni mzigo kwa shirika lenye mtandao mkubwa vile.
Pole mdogo wangu, hayo maumivu tuliyapata kule Iringa siku ya May misi ahahahaha...Kazi iendeleeso painful nimeumia sana
Vilio vyatanda kila kona mkuu karibu nchi zima watumishi wanalia yaaniUnaweza kumlaumu mchengerwa kumbe ni afisa utumishi wako hajapeleka taarifa utumishi au kachelewa kupeleka au kapeleka lakini Ina makosa mengi sasa ni vema kabla ya kumlaumu mchengerwa anza na afisa utumishi wako ili ujirishishe kama yup safi
Bora sasa hivi kuna wengi wamepandishwa. Miaka 6 kuko kimya utafikiri serikali imeajiri watumishi wapya wote.?Bila kuwa na connection hupandi daraja,enzi za Connection zimerudi,kujuana
hii nchi ni ya wahuni tu hamna kitu nimesikia pia watumishi wa shirika la kuhudumia viwanda vidogo ambao wana miaka zaidi ya 15 hawajapanda madaraja hata arrears za mwaka jana bado hawajalipwa mpaka leo na hawajui watalipwa lini.mameneja wa utumishi wa maafisa wao wamekuwa ni mzigo kwa shirika lenye mtandao mkubwa vile.Waziri mchengelwa una yapi ya kuwaambia watumishi baada ya kuwaaminisha kuwa wote wanaostahili kupanda madaraja watapandishwa na watalipwa kuanzia mwezi huu na umewaacha hewani huku idadi kubwa awaoni badiliko lolote.
taasisi zote jamani hapana na kama ndivyo awafukuze kazi hao maafisa utumishi maana watakuwa hawafai kabisaUnaweza kumlaumu mchengerwa kumbe ni afisa utumishi wako hajapeleka taarifa utumishi au kachelewa kupeleka au kapeleka lakini Ina makosa mengi sasa ni vema kabla ya kumlaumu mchengerwa anza na afisa utumishi wako ili ujirishishe kama yup safi