LGE2024 Waziri Mchengerwa atangaza tarehe ya Ukomo kwa Viongozi wa Serikali za Mitaa, watakiwa kukabidhi nyaraka za ofisi

LGE2024 Waziri Mchengerwa atangaza tarehe ya Ukomo kwa Viongozi wa Serikali za Mitaa, watakiwa kukabidhi nyaraka za ofisi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza rasmi tarehe ya ukomo wa viongozi wa mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa. Hatua hii inakuja kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mchengerwa amesisitiza kuwa viongozi wote wa ngazi hizo wanapaswa kujiandaa kwa mabadiliko yatakayofanyika kikanuni kuelekea uchaguzi huo. ambapo madaraka yao yatakoma ifikapo tarehe 19 Oktoba na nafasi zao zitajazwa kufuatia kufanyika kwa uchaguzi Novemba 27.
Soma, Pia:
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza rasmi tarehe ya ukomo wa viongozi wa mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa. Hatua hii inakuja kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mchengerwa amesisitiza kuwa viongozi wote wa ngazi hizo wanapaswa kujiandaa kwa mabadiliko yatakayofanyika kikanuni kuelekea uchaguzi huo. ambapo madaraka yao yatakoma ifikapo tarehe 19 Oktoba na nafasi zao zitajazwa kufuatia kufanyika kwa uchaguzi Novemba 27.
Soma, Pia:

Huyu mbona macho malegevu kama anakula kungu?
 
Hatimaye tunamrudisha mwenyekiti wetu kutokea chama cha Chadema ..huku mtaani kwetu mwenyekiti wa CCM tulishamkataa toka alivyoteuliwa na magufuli..hakua chaguo letu!! Kweli muda ni dawaa toshaa.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza rasmi tarehe ya ukomo wa viongozi wa mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa. Hatua hii inakuja kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mchengerwa amesisitiza kuwa viongozi wote wa ngazi hizo wanapaswa kujiandaa kwa mabadiliko yatakayofanyika kikanuni kuelekea uchaguzi huo. ambapo madaraka yao yatakoma ifikapo tarehe 19 Oktoba na nafasi zao zitajazwa kufuatia kufanyika kwa uchaguzi Novemba 27.
Soma, Pia:

Kwa waliomuona wanasema eti ana kifua kipana.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza rasmi tarehe ya ukomo wa viongozi wa mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa. Hatua hii inakuja kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mchengerwa amesisitiza kuwa viongozi wote wa ngazi hizo wanapaswa kujiandaa kwa mabadiliko yatakayofanyika kikanuni kuelekea uchaguzi huo. ambapo madaraka yao yatakoma ifikapo tarehe 19 Oktoba na nafasi zao zitajazwa kufuatia kufanyika kwa uchaguzi Novemba 27.
Soma, Pia:

Sheria za ajabu ajabu sana hizi!

Wanatengeneza ombwe la uongozi bila sababu za muhimu!

Tokea Tarehe Oct19-Nov27 kutokuwepo na wenyeviti ni muda mrefu sana wananchi kukosa huduma za kiuongozi!

Watu watakaokuwa na shida ya kupitisha shida zao zinazotaka baraka za viongozi hao inakuwaje.

Raia wa Tz tumekuwa ni kondoo tuliokosa mchungaji.
 
Back
Top Bottom