Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza rasmi tarehe ya ukomo wa viongozi wa mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa. Hatua hii inakuja kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mchengerwa amesisitiza kuwa viongozi wote wa ngazi hizo wanapaswa kujiandaa kwa mabadiliko yatakayofanyika kikanuni kuelekea uchaguzi huo. ambapo madaraka yao yatakoma ifikapo tarehe 19 Oktoba na nafasi zao zitajazwa kufuatia kufanyika kwa uchaguzi Novemba 27.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza rasmi tarehe ya ukomo wa viongozi wa mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa. Hatua hii inakuja kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mchengerwa amesisitiza kuwa viongozi wote wa ngazi hizo wanapaswa kujiandaa kwa mabadiliko yatakayofanyika kikanuni kuelekea uchaguzi huo. ambapo madaraka yao yatakoma ifikapo tarehe 19 Oktoba na nafasi zao zitajazwa kufuatia kufanyika kwa uchaguzi Novemba 27.
Hatimaye tunamrudisha mwenyekiti wetu kutokea chama cha Chadema ..huku mtaani kwetu mwenyekiti wa CCM tulishamkataa toka alivyoteuliwa na magufuli..hakua chaguo letu!! Kweli muda ni dawaa toshaa.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza rasmi tarehe ya ukomo wa viongozi wa mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa. Hatua hii inakuja kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mchengerwa amesisitiza kuwa viongozi wote wa ngazi hizo wanapaswa kujiandaa kwa mabadiliko yatakayofanyika kikanuni kuelekea uchaguzi huo. ambapo madaraka yao yatakoma ifikapo tarehe 19 Oktoba na nafasi zao zitajazwa kufuatia kufanyika kwa uchaguzi Novemba 27.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza rasmi tarehe ya ukomo wa viongozi wa mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa. Hatua hii inakuja kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mchengerwa amesisitiza kuwa viongozi wote wa ngazi hizo wanapaswa kujiandaa kwa mabadiliko yatakayofanyika kikanuni kuelekea uchaguzi huo. ambapo madaraka yao yatakoma ifikapo tarehe 19 Oktoba na nafasi zao zitajazwa kufuatia kufanyika kwa uchaguzi Novemba 27.