Mzee wa Chai
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 684
- 1,202
Waziri wa OR-TAMISEMI akihojiwa na Clouds Media amesema...
Haijawahi kutokea kiongozi wa juu wa nchi kupita maeneo ya vijijini kama alivyofanya Dkt. Samia Suluhu Hassan hasa kipindi ambacho si cha uchaguzi lazima tuliweke hili hewani.
Maeneo ambayo Mhe. Rais amepita siku ya jana maeneo ya Liwale, yale maeneo wananchi walikuwa wakiwaona viongozi wakati wa uchaguzi baada ya uchaguzi hawaoni kiongozi yoyote lakini leo hii Mhe. Rais amepita maeneo hayo kabla ya uchaguzi kwenda kushuhudia fedha anazozipeleka zinatumika ipasavyo kwa wananchi wake wanyonge na wananchi ambao wao ndio tegemeo lake akilala akiamka anawafikiria Watanzania hawa wakawaida wanyonge ambao wako kwenye hali duni anataka kuwanyanyua kuwaweka katika hali nzuri
----
Kwa hili Waziri Mchengerwa umesema kweli tupu, upewe binti mwingine wa mama
Vijijini wanamkubali sana mama, maendeleo ni makubwa huko kwasababu
1. Hawahitaji umeme wataufanyia nini
2. Hawahitaji maji ya visimani na kwenye vijito yanawatosha
3. Barabara washazoea kutembea na miguu na baiskeli inatosha
4. Kilimo cha jembe na kutegemea mvua ndio silaha yao kubwa watake nini tena
5. Shule sio lazima sana watoti watasomea kwenye miti chini imetosha
Asante sana kwa kuupiga mwingi [emoji119]
Haijawahi kutokea kiongozi wa juu wa nchi kupita maeneo ya vijijini kama alivyofanya Dkt. Samia Suluhu Hassan hasa kipindi ambacho si cha uchaguzi lazima tuliweke hili hewani.
Maeneo ambayo Mhe. Rais amepita siku ya jana maeneo ya Liwale, yale maeneo wananchi walikuwa wakiwaona viongozi wakati wa uchaguzi baada ya uchaguzi hawaoni kiongozi yoyote lakini leo hii Mhe. Rais amepita maeneo hayo kabla ya uchaguzi kwenda kushuhudia fedha anazozipeleka zinatumika ipasavyo kwa wananchi wake wanyonge na wananchi ambao wao ndio tegemeo lake akilala akiamka anawafikiria Watanzania hawa wakawaida wanyonge ambao wako kwenye hali duni anataka kuwanyanyua kuwaweka katika hali nzuri
----
Kwa hili Waziri Mchengerwa umesema kweli tupu, upewe binti mwingine wa mama
Vijijini wanamkubali sana mama, maendeleo ni makubwa huko kwasababu
1. Hawahitaji umeme wataufanyia nini
2. Hawahitaji maji ya visimani na kwenye vijito yanawatosha
3. Barabara washazoea kutembea na miguu na baiskeli inatosha
4. Kilimo cha jembe na kutegemea mvua ndio silaha yao kubwa watake nini tena
5. Shule sio lazima sana watoti watasomea kwenye miti chini imetosha
Asante sana kwa kuupiga mwingi [emoji119]