Waziri Mchengerwa: Tirioni moja kutumika kuboresha Miundombunu Dar

Waziri Mchengerwa: Tirioni moja kutumika kuboresha Miundombunu Dar

Hapo sawa, kwaiyo sasa ni contractors👍🏽
Ndio.

Pale walikuwa wanasiani kukopa hela ndio maana kina Waziri wa Fedha ,Katibu Mkuu na Tamisemi.(Mkopeshaji na beneficiary).

Leo walikuwa wana engage contractors site (client na contractor)
 
Barabara za mbezi musumi, mbezi msakuzi, na kimara bonyokwa zimo?
 
Yaani km 250 trilioni 1 na bilioni miambili?tumeigwa na kitu kizito.Hapa nimemkumbuka mwamba mzalendo.Nchi imekosa mwelekeo kabisa
 
Serikali imesaini kuanza Ujenzi wa Barabara za Mitaa ya Jiji la Dar Zenye urefu wa km 250 Kwa zaidi ya Shilingi Trilioni 1.2.

Pamoja na kwamba Jiji la Dar ndio kitovu Cha Uchumi wa Nchi ila upendeleo umezidi.

Kwa jini la Dar peke yake Kuna miradi yenye zaidi ya km 600 kama Ifuatavyo.

1.DMDP-II km 250
2.TanRoads km 120
3.TARURA km 30
4.Manispaa za Jiji km 12


View: https://www.instagram.com/p/DBgwGoSN1FB/?igsh=MTJnYW8xbzBiMmMzaw==

My Take
Jiji Moja km 612? Wakati Kuna Mikoa haijaunganishwa na Lami achilia mbali Barabara za Mitaa.

Hii sio sawa na Wala sio Afya ila Hongereni watu wa Dar.

View: https://www.instagram.com/p/DBg2CmpKM_r/?igsh=d3BxYW4wZ253bHFq

Hoja nzr ila mm naona serikal itazame ilikufkia mikoa mngne kwa mfano labda Tabora lind mtwara inapaswa pawekwe miradi ya kiuchumi wawekeze kweny kilimo, mifugo na uvuvi hii itasaidia kuleta ushndan wamapatao na kuinua uchumi wetu kwa haraka sana lakn syo hizii mirad ming kukmbizwa dar uku tumezka mirad endelevu na enye tija na afya kwa ustawi wa uchumi wetu
 
Serikali imesaini kuanza Ujenzi wa Barabara za Mitaa ya Jiji la Dar Zenye urefu wa km 250 Kwa zaidi ya Shilingi Trilioni 1.2.

Pamoja na kwamba Jiji la Dar ndio kitovu Cha Uchumi wa Nchi ila upendeleo umezidi.

Kwa jini la Dar peke yake Kuna miradi yenye zaidi ya km 600 kama Ifuatavyo. Pia soma Miaka Zaidi ya 60 Baada ya Uhuru,Tanzania Imeshindwa Kuondoa Mizizi ya Ukoloni Kwa Nchi kuwa tegemezi wa Uchumi na Mapato Kwa Jiji Moja tuu la Dar

1.DMDP-II km 250
2.TanRoads km 120
3.TARURA km 30
4.Manispaa za Jiji km 12


View: https://www.instagram.com/p/DBgwGoSN1FB/?igsh=MTJnYW8xbzBiMmMzaw==

My Take
Jiji Moja km 612? Wakati Kuna Mikoa haijaunganishwa na Lami achilia mbali Barabara za Mitaa.

Hii sio sawa na Wala sio Afya ila Hongereni watu wa Dar. Pia soma Shilingi Trilioni 1 kutoka World Bank kuigeuza Dar kuwa kama Dubai. Ni mkopo wa mradi wa DMDP-II

View: https://www.instagram.com/p/DBg2CmpKM_r/?igsh=d3BxYW4wZ253bHFq

Kabla ya kulalamikia
Angalia idadi ya watu wanaopatikana Dat
 
Hoja nzr ila mm naona serikal itazame ilikufkia mikoa mngne kwa mfano labda Tabora lind mtwara inapaswa pawekwe miradi ya kiuchumi wawekeze kweny kilimo, mifugo na uvuvi hii itasaidia kuleta ushndan wamapatao na kuinua uchumi wetu kwa haraka sana lakn syo hizii mirad ming kukmbizwa dar uku tumezka mirad endelevu na enye tija na afya kwa ustawi wa uchumi wetu
Kuna Mikoa zaidi ya 17 haijaunganishwa na Lami Mkuu na kote huko Kuna watu na Uchumi
 
Wewe ni mjinga sana ,Sasa kwenye saini Waziri wa Fedha na Katibu Mkuu wa Fedha wanafanya nini hapo kwenye kusaini?

Uwe unaelewa,nimekwambia hapo walisaini kuoatiwa mikopo na WB na sio kusainiana kazi na wakandarasi.

Leo ndio wamesainiana kazi na wakandarasi
Kabla ya mkopo walishasaini na hao unaosema wakandarasi na ulikua unaanza April
Soma taarifa hii ya tamisemi imeeleza wamesaini na wakandarasi
 
Hata zitengwe Tril. 25 za kujenga barabara bila usimamizi kuzuia Malori makubwa na Ujenzi hohela wa Yards, kuruhusu Semi mpaka Vichochoroni, FAW za Mchina za kubeba Mchanga mpaka vichochoroni hakuna mtakachofanya.
Haya magari ni UNAJISI WA BARABARA. Anzeni kwanza kuzuia unajisi ndipo mjenge barabara mpya. Ushahidi upo kwenye hizi barabara za World Bank zilizojengwa kwa ubora mkubwa sana lkn sasa hivi zimechakazwa Vibaya sana.

Angalia Barabara ya kuanzia Mchicha Via Tazara kutokea VETENARY TMK kwishaaa malori makubwa yametafuna yote na deni tunalipa!

Angalia barabara ya External kwenda Majichumvi, kwishaaaa malori yamepewa Eneo la Jeshi pale Majichumvi ni shidaaaa.

Waafrika tunaUnyani akilini, akili zetu ni tope sana. Haiwezekani ujenge barabara kwa Billions of money harafu unaziharibu haribu tuuu.
Tujitathmini kama Nchi, Uholela umezidi sana!
 
Back
Top Bottom