imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kwa nini mkuuHivi wewe huwa una akili kweli, au shule mgogoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mkuuHivi wewe huwa una akili kweli, au shule mgogoro
Mkuu makampuni binafsi yalishaalikwa miaka ya nyuma, ilishindikana kutokana na makampuni hayo kutaka kuzalisha tu umeme kisha yaiuzie TANESCO ndio isambaze.Muarobaini wa Umeme ni kuruhusu Makampuni Binafsi kama kwenye Simu
Yaani huyo ndiye kirusi mwenyewe,huyo ndiyo wale wenye kinyongo na Mama wanamtengenezea shoti kumchonganisha na WatanzaniaPamoja na mapungufu yake Waziri Kalemani bado ana vision sahihi ya umeme nafuu Kwa Watanzania.
Kampeni ya kumchafua na kumshambulia ikemewe kwa nguvu zote.
Kuna madadali wa kununua umeme wa gesi wameanza kampeni ya kumchafua na kumchomekea Mama wale matapeli wa zamani
Kama Professa Muhongo na Ngeleja ili ili waanze upigaji tena.
Nimeona baadhi ya Nchi unakuta kuna makampuni zaidi ya mawili na yote yanatumia waya zilezile tofauti ni Software tu unaungiza kadi ya kampuni umeme unawakaMkuu makampuni binafsi yalishaalikwa miaka ya nyuma, ilishindikana kutokana na makampuni hayo kutaka kuzalisha tu umeme kisha yaiuzie TANESCO ndio isambaze.
Kwa kifupi hayataki gharama na hasara zinazotokana na kusambaza Kwa wateja
tanesco itakufa. itabaki kama ttclMuarobaini wa Umeme ni kuruhusu Makampuni Binafsi kama kwenye Simu
Kakuongopea nani?Muarobaini wa Umeme ni kuruhusu Makampuni Binafsi kama kwenye Simu
Sukuma Gang wanamhujumu Mama.Ndani ya mwezi mmoja mifumo ya tra,tpa na tannesco imekua down kwa kipindi flan.hili swala ni nadhani ni hujuma kwa mama au kulikua na hujuma sasa wanaweka mambo sawa.
Mbona kuna Nchi za wenzetu wameweza bila bila kubifsisha Jeshi hoja yako haina mashikoKakuongopea nani?
Kama tutaacha kila kitu kuhusu nishati ya umeme kwa sekta binafsi kuna uwezakano na hata jeshi mbele ya safari tutaliacha kwa sekta binafsi, waza na fikiri kitatokea nini?
Shida kubwa ya shirika la umeme TANESCO iko hapa 0689877735.Mawaziri wengi wanasahau kuwa ni wanasiasa na sio watendaji. Wao wanasimamia policy issues na sio management issues. Sasa waziri anajiona yeye ni Katibu Mkuu, Chairman of the Board na Managing Director kwa pamoja. Waziri angewaita Katibu Mkuu, Mwenyekiti wa Bodi na Mtendaji Mkuu wa Tanesco na kuwataka wamueleze nini kimesababisha tatizo. Baada ya hapo ndio angetoa tamko linaloeleweka.
Waziri kuwashughulikia hivyo vidagaa ni kujidhalilisha. Yeye saizi yake ni MD ambae kama angegundua ni kimeo angemshauri aliyemteua ampe adhabu anayostahili. Na kama makosa ni ya waliokuwa chini yake angemuagiza achukue hatua zinazostahili. Tatizo ni kuwa utendaji wa namna hii hauwezi kuufanya mbele ya kamera. Wao wanataka waonekane wanafanya kazi hata kama hamna kitu wanachofanya. Hayuko peke yake mwenye hulka hii.
Amandla...
Pamoja na mapungufu yake Waziri Kalemani bado ana vision sahihi ya umeme nafuu Kwa Watanzania.
Kampeni ya kumchafua na kumshambulia ikemewe kwa nguvu zote.
Kuna madadali wa kununua umeme wa gesi wameanza kampeni ya kumchafua na kumchomekea Mama wale matapeli wa zamani
Kama Professa Muhongo na Ngeleja ili ili waanze upigaji tena.
Mkuu hakuna anayemchafua bali amejichafua mwenyewe, kachukua muda mrefu sana kutatua tatizo la mfumo wa umeme, kabaki kufoka tu kwenye runinga ili aonekana anafanya kazi, umeme umekuwa ni kero kwanza unakatika mara kwa mara na yeye akiwa mwenye dhamana hatujui anafanya nini, kazi yake sio kusimamisha tu mameneja kwa siku 10 naye asimamishwa wizara imemshinda, tumepata hasara sana vifaranga vyetu sisi wanyonge vimekufa vyote sababu ya kukosa huduma ya umeme. Kiongozi unatakiwa uwe mbunifu, kawa waziri wa nishati kwa muda mrefu ilitakiwa aelekeze nguvu zake kwenye shirika muhimu ambalo ni roho ya uchumi, leo anauliza plan B baada ya kutokea tatizo ina maana siku zote alikuwa wapi kuwataka Tanesco wawe na plan B pia anashangaza anauliza eti huu mfumo unathibitiwa nje na kutoa maamuzi kuwa kuanzia mwakani kila kitu kifanyike hapahapa, je ina maana siku zote alikuwa anafanya nini,je alikuwa hajui matatizo/madhara ya mfumo wa shirika muhimu kama umeme kudhibitiwa kutoka nje? Kalamani kajichafua mwenyewe na kibarua kimemshinda.Pamoja na mapungufu yake Waziri Kalemani bado ana vision sahihi ya umeme nafuu Kwa Watanzania.
Kampeni ya kumchafua na kumshambulia ikemewe kwa nguvu zote.
Kuna madadali wa kununua umeme wa gesi wameanza kampeni ya kumchafua na kumchomekea Mama wale matapeli wa zamani
Kama Professa Muhongo na Ngeleja ili ili waanze upigaji tena.