Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Analijua hili?Pamoja na mapungufu yake Waziri Kalemani bado ana vision sahihi ya umeme nafuu Kwa Watanzania.
Kampeni ya kumchafua na kumshambulia ikemewe kwa nguvu zote.
Kuna madadali wa kununua umeme wa gesi wameanza kampeni ya kumchafua na kumchomekea Mama wale matapeli wa zamani
Kama Professa Muhongo na Ngeleja ili ili waanze upigaji tena.
TANESCO mtusaidie kijiji hiki wasimamizi mradi wa REA wanatuibia sana
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Nikiwa kama muwakilishi wa wanakijiji wenzangu wenye uchungu,majonzi na masikitiko.Moja kwa moja nafikisha malalamiko kwenu shirika letu la umeme Tanzania TANESCO juu ya RUSHWA kubwa iliyotawala katika usimamizi wa mradi wa umeme wa rea...