Waziri Medard Kalemani asiondolewe Wizara ya Nishati

Waziri Medard Kalemani asiondolewe Wizara ya Nishati

Ni kweli Mkuu lakini walafi pia wakiruhusiwa hili wataweka bei za juu ili wapate profit ya 90% baada ya kuondoa gharama zao matokeo yake umeme utakuwa very expensive kwa Watanzania wengi sana.
Nakumbuka wakati tuna shirika linaitwa Tanzania Posts and Telecommunications Corporation. Hawa mabwana ndio walikuwa wana monopoly ya simu. Ilikuwa ukitaka simu lazima uhonge sana na pamoja na hayo utasubiri miezi kadhaa ndio wakufungie. Aidha, ikija bili yao mwisho wa mwezi utakoma maana utaambiwa una mtindo wa kuwapigia ndugu zako wanaoishi sayari ya Mars. Simu ilikuwa bidhaa adimu ambayo waliyoimudu walikuwa watumishi wa umma ambao simu zao za Mars zilikuwa zinalipiwa na serikali. Leo mrithi wake yuko ICU kwa sababu anashindwa kushindana na wakina Voda ambao gharama zao zilikuwa nafuu mpaka pale serikali ilipowageuza shamba la bibi kwa kuongeza kodi, masharti ambayo ni usumbufu kwa wateja wake ( mtu asiwe na lakini zaidi ya moja n.k.). Wengine ndio hao wameamua kufungasha.

Tulikuwa na kampuni moja ya kutengeneza bia. Wakati huo tulikuwa tunanunua bia kwa kibali ns na chaguo peke yake ulilokuwa nalo lilikuwa ni kati ya Safari ya moto au baridi. Mameneja wa TBL walikuwa wanakunywa bia bure bar kwa sababu mwenye bar alitaka uhakika wa kupata bia. Leo wanafanya promotion za kubembeleza wateja kwa sababu hawako peke yao.

Kuna wakati kupata tiketi ya ndege ilikuwa kwa mbinde. Na hata kuwa na tiketi hakukuwa guarantee ya kusafiri maana boarding pass zilikuwa zinatolewa kwa upendeleo na priority ya kusafiri ilikuwa watumishi wa umma na wafanya biashara wakubwa. Ilikuwa si ajabu kuambiwa ndege imejaa lakini ukiingia unakuta viti vingi viko wazi. Wakaja wakina Fast Jet na tukapata uwezo wa kuwanunulia tiketi bibi zetu ili wapande ndege kabla mwenyezi Mungu hajawachukua. Tukawafanyia figisu wakaondoka. Leo tumerudi kupanda mabasi. Ambayo nayo karibu yatatushinda kwa sababu serikali imetaka kuwaingilia jinsi wanavyokata tiketi.

Mifano iko mingi tu ya jinsi monopoly inavyotugharimu. Ushindani ukiruhusiwa Tanesco utatuletea nafuu ili mradi serikali itakuwa makini kuwasimamia kwa haki ( kuzuia makubaliano ya bei angamizi) na kutowavisha mzigo wa kodi usiobebeka.

Soko huria sio adui yetu. Mbaya wetu ni yule anaewaza kukamua tu bila kuhakikisha kuwa wanaweza kufanya biashara kwa faida yao na ya wateja wake.

Amandla...
 

Why we should pull the plug on privatising electricity​

Philip Soos, Deakin University​

November 26, 2012 6.05am AEDT

Surging power prices are having savage consequences for household discretionary incomes. Some would blame the government’s carbon tax, but the real culprit is price gouging. Judging from the pronouncements of government and industry — including mainstream economists — privatisation is the practical solution to achieve low prices. Indeed, Australian state governments have embarked upon privatisation programs to varying degrees since the 1990s.
There is only one small problem with privatisation: the long-term history of the electricity industry has shown it almost always leads to disaster. University of Wollongong professor, Sharon Beder, has provided the evidence in the book
Power Play: The Fight to Control the World’s Electricity. It supplies much needed historical context to the battle between public and private ownership played out over more than one hundred years in the United States and Britain, and the last couple of decades in Australia, Brazil and India.


Nakumbuka wakati tuna shirika linaitwa Tanzania Posts and Telecommunications Corporation. Hawa mabwana ndio walikuwa wana monopoly ya simu. Ilikuwa ukitaka simu lazima uhonge sana na pamoja na hayo utasubiri miezi kadhaa ndio wakufungie. Aidha, ikija bili yao mwisho wa mwezi utakoma maana utaambiwa una mtindo wa kuwapigia ndugu zako wanaoishi safari ya Mars. Simu ilikuwa bidhaa adimu ambayo waliyoimudu walikuwa watumishi wa umma ambao simu zao za Mars zilikuwa zinalipiwa na serikali. Leo mrithi wake yuko ICU kwa sababu anashindwa kushindana na wakina Voda ambao gharama zao zilikuwa nafuu mpaka pale serikali ilipowageuza shamba la bibi kwa kuongeza kodi, masharti ambayo ni usumbufu kwa wateja wake ( mtu asiwe na lakini zaidi ya moja n.k.). Wengine ndio hao wameamua kufungasha.


Tulikuwa na kampuni moja ya kutengeneza bia. Wakati huo tulikuwa tunanunua bia kwa kibali ns na chaguo peke yake ulilokuwa nalo lilikuwa ni kati ya Safari ya moto au baridi. Mameneja wa TBL walikuwa wanakunywa bia bure bar kwa sababu mwenye bar alitaka uhakika wa kupata bia. Leo wanafanya promotion za kubembeleza wateja kwa sababu hawako peke yao.

Kuna wakati kupata tiketi ya ndege ilikuwa kwa mbinde. Na hata kuwa na tiketi hakukuwa guarantee ya kusafiri maana boarding pass zilikuwa zinatolewa kwa upendeleo na priority ya kusafiri ilikuwa watumishi wa umma na wafanya biashara wakubwa. Ilikuwa si ajabu kuambiwa ndege imejaa lakini ukiingia unakuta viti vingi viko wazi. Wakaja wakina Fast Jet na tukapata uwezo wa kuwanunulia tiketi bibi zetu ili wapande ndege kabla mwenyezi Mungu hajawachukua. Tukawafanyia figisu wakaondoka. Leo tumerudi kupanda mabasi. Ambayo nayo karibu yatatushinda kwa sababu serikali imetaka kuwaingilia jinsi wanavyokata tiketi.

Mifano iko mingi tu ya jinsi monopoly inavyotugharimu. Ushindani ukiruhusiwa Tanesco utatuletea nafuu ili mradi serikali itakuwa makini kuwasimamia kwa haki ( kuzuia makubaliano ya bei angamizi) na kutowavisha mzigo wa kodi usiobebeka.

Soko huria sio adui yetu. Mbaya wetu ni yule anaewaza kukamua tu bila kuhakikisha kuwa wanaweza kufanya biashara kwa faida yao na ya wateja wake.

Amandla...
 
Madalali wakubwa wamerudi tena kazini hivyo ushauri wa mleta mada ni wa haki kabisa.

Mwananchi anataka umeme wa bei ndogo na hao wazee wa asilimia zao za pembeni hawawezi kuupenda umeme wa maji.
Kawaida ya binadamu anataka mshahara mkubwa na wakati huo anataka matumizi yawe ya bei ndogo lkn sidhani kama kuna watz waliwahi kusimama mahala flan na kusema tunataka umeme wa bei ndogo tu au tunataka mshahara mkubwa tu. Mwanachi anataka umeme wa bei ndogo ni lugha tu za kisiasa.
 
Nakumbuka wakati tuna shirika linaitwa Tanzania Posts and Telecommunications Corporation. Hawa mabwana ndio walikuwa wana monopoly ya simu. Ilikuwa ukitaka simu lazima uhonge sana na pamoja na hayo utasubiri miezi kadhaa ndio wakufungie. Aidha, ikija bili yao mwisho wa mwezi utakoma maana utaambiwa una mtindo wa kuwapigia ndugu zako wanaoishi safari ya Mars. Simu ilikuwa bidhaa adimu ambayo waliyoimudu walikuwa watumishi wa umma ambao simu zao za Mars zilikuwa zinalipiwa na serikali. Leo mrithi wake yuko ICU kwa sababu anashindwa kushindana na wakina Voda ambao gharama zao zilikuwa nafuu mpaka pale serikali ilipowageuza shamba la bibi kwa kuongeza kodi, masharti ambayo ni usumbufu kwa wateja wake ( mtu asiwe na lakini zaidi ya moja n.k.). Wengine ndio hao wameamua kufungasha.

Tulikuwa na kampuni moja ya kutengeneza bia. Wakati huo tulikuwa tunanunua bia kwa kibali ns na chaguo peke yake ulilokuwa nalo lilikuwa ni kati ya Safari ya moto au baridi. Mameneja wa TBL walikuwa wanakunywa bia bure bar kwa sababu mwenye bar alitaka uhakika wa kupata bia. Leo wanafanya promotion za kubembeleza wateja kwa sababu hawako peke yao.

Kuna wakati kupata tiketi ya ndege ilikuwa kwa mbinde. Na hata kuwa na tiketi hakukuwa guarantee ya kusafiri maana boarding pass zilikuwa zinatolewa kwa upendeleo na priority ya kusafiri ilikuwa watumishi wa umma na wafanya biashara wakubwa. Ilikuwa si ajabu kuambiwa ndege imejaa lakini ukiingia unakuta viti vingi viko wazi. Wakaja wakina Fast Jet na tukapata uwezo wa kuwanunulia tiketi bibi zetu ili wapande ndege kabla mwenyezi Mungu hajawachukua. Tukawafanyia figisu wakaondoka. Leo tumerudi kupanda mabasi. Ambayo nayo karibu yatatushinda kwa sababu serikali imetaka kuwaingilia jinsi wanavyokata tiketi.

Mifano iko mingi tu ya jinsi monopoly inavyotugharimu. Ushindani ukiruhusiwa Tanesco utatuletea nafuu ili mradi serikali itakuwa makini kuwasimamia kwa haki ( kuzuia makubaliano ya bei angamizi) na kutowavisha mzigo wa kodi usiobebeka.

Soko huria sio adui yetu. Mbaya wetu ni yule anaewaza kukamua tu bila kuhakikisha kuwa wanaweza kufanya biashara kwa faida yao na ya wateja wake.

Amandla...
Naomba mfano kwa nchi za Afrika ambako kuna mashirika ya umeme tofauti katka nchi 1 na vyanzo vya huo umeme wamiliki ni nani.
 
Hivi wewe huwa una akili kweli, au shule mgogoro
Jamaa wala siyo issue ya shule, ana kitabu kizuri tu; tatizo ni kwamba kuna nati zimelegea mahali kwa hiyo zimejikoroga! Ukimjua personally ndo utaamini ninayoyasema!
 

Why we should pull the plug on privatising electricity​

Philip Soos, Deakin University​

November 26, 2012 6.05am AEDT

Surging power prices are having savage consequences for household discretionary incomes. Some would blame the government’s carbon tax, but the real culprit is price gouging. Judging from the pronouncements of government and industry — including mainstream economists — privatisation is the practical solution to achieve low prices. Indeed, Australian state governments have embarked upon privatisation programs to varying degrees since the 1990s.
There is only one small problem with privatisation: the long-term history of the electricity industry has shown it almost always leads to disaster. University of Wollongong professor, Sharon Beder, has provided the evidence in the book
Power Play: The Fight to Control the World’s Electricity. It supplies much needed historical context to the battle between public and private ownership played out over more than one hundred years in the United States and Britain, and the last couple of decades in Australia, Brazil and India.

Asante sana kwa haya madini. Gives food for thought. Pengine kwetu sisi ingesaidia kama wangerahisisha watu ku generate wenyewe umeme na kuwauzia Tanesco surplus. Kwa mfano, wakipunguza kodi kwenye sola watu wanaweza kuzifunga na kuwauzia Tanesco umeme wa ziada. Ujerumani wanafanya hivyo. Au viwanda vya sukari wanaweza kiurahisi kabisa kuzalisha umeme wa kutosha kutokana na bagasse na kuwauzia Tanesco wa ziada. Au kwenye maporomoko mafupi. Au upepo ingawa nasikia waliojaribu walifanyiwa figisu figisu za kutosha tu.

Tanesco wanatakiwa kuwa wabunifu na kuacha kuwaona wazalishaji binafsi kama maadui badala ya partners katika maendeleo. Kuna msemo wa kichina unaosema " haijalishi rangi ya paka mradi anakamata panya". Tunachotaka sisi ni umeme wa hakika na wa bei ambayo wengi tunaweza kuimudu. Kwangu mimi binafsi ningeongeza, na usio sababisha athari katika mazingira yetu.

Amandla...
 
Jamaa wala siyo issue ya shule, ana kitabu kizuri tu; tatizo ni kwamba kuna nati zimelegea mahali kwa hiyo zimejikoroga! Ukimjua personally ndo utaamini ninayoyasema!
Argument zake zinaonesha bado kinda au ni wale shule haipo ila wanajifanya much know kwenye vijiwe. Akija hapa anapwaya. Hapa chukua desa Gidbang
 
Najaribu kufikiri hii inaweza kufanyikaje...

Je, inawezekana kampuni hizi za umeme zikatumia njia moja ya kusafirishia umeme huo kwa ajili ya wateja wote au kila kampuni ikawa na sources zake umeme pamoja na njia ya kusafirishia...?
Kama hizo kampuni zitajiweza kiuchumi wanaweza kufanya yote japo nahofia kama watapewa hiyo ruhusa na serikali, wanaweza hata kuja na njia nyingine za kuzalisha umeme kama upepo ili mradi Tanesco apate mshindani serious.
 
Tatizo ni mfumo wa kiurasimu wa utoaji umeme. Tanesco apewe kazi moja tu ya production na distribution wafanye wengine. Vinginevyo Waziri yuko vizuri sana mbali na njama za kumchafua sababu za siasa za umeme na mafuta we know it.
Hii nayo ni good alternative, kwa kuwa Tanesco wako vizuri kwenye uzalishaji, basi usambazaji wawaachie wengine wenye uwezo hizo kero zinazojitokeza kila wakati zitapungua kwa kiasi kikubwa.
 
Nakumbuka wakati tuna shirika linaitwa Tanzania Posts and Telecommunications Corporation. Hawa mabwana ndio walikuwa wana monopoly ya simu. Ilikuwa ukitaka simu lazima uhonge sana na pamoja na hayo utasubiri miezi kadhaa ndio wakufungie. Aidha, ikija bili yao mwisho wa mwezi utakoma maana utaambiwa una mtindo wa kuwapigia ndugu zako wanaoishi safari ya Mars. Simu ilikuwa bidhaa adimu ambayo waliyoimudu walikuwa watumishi wa umma ambao simu zao za Mars zilikuwa zinalipiwa na serikali. Leo mrithi wake yuko ICU kwa sababu anashindwa kushindana na wakina Voda ambao gharama zao zilikuwa nafuu mpaka pale serikali ilipowageuza shamba la bibi kwa kuongeza kodi, masharti ambayo ni usumbufu kwa wateja wake ( mtu asiwe na lakini zaidi ya moja n.k.). Wengine ndio hao wameamua kufungasha.

Tulikuwa na kampuni moja ya kutengeneza bia. Wakati huo tulikuwa tunanunua bia kwa kibali ns na chaguo peke yake ulilokuwa nalo lilikuwa ni kati ya Safari ya moto au baridi. Mameneja wa TBL walikuwa wanakunywa bia bure bar kwa sababu mwenye bar alitaka uhakika wa kupata bia. Leo wanafanya promotion za kubembeleza wateja kwa sababu hawako peke yao.

Kuna wakati kupata tiketi ya ndege ilikuwa kwa mbinde. Na hata kuwa na tiketi hakukuwa guarantee ya kusafiri maana boarding pass zilikuwa zinatolewa kwa upendeleo na priority ya kusafiri ilikuwa watumishi wa umma na wafanya biashara wakubwa. Ilikuwa si ajabu kuambiwa ndege imejaa lakini ukiingia unakuta viti vingi viko wazi. Wakaja wakina Fast Jet na tukapata uwezo wa kuwanunulia tiketi bibi zetu ili wapande ndege kabla mwenyezi Mungu hajawachukua. Tukawafanyia figisu wakaondoka. Leo tumerudi kupanda mabasi. Ambayo nayo karibu yatatushinda kwa sababu serikali imetaka kuwaingilia jinsi wanavyokata tiketi.

Mifano iko mingi tu ya jinsi monopoly inavyotugharimu. Ushindani ukiruhusiwa Tanesco utatuletea nafuu ili mradi serikali itakuwa makini kuwasimamia kwa haki ( kuzuia makubaliano ya bei angamizi) na kutowavisha mzigo wa kodi usiobebeka.

Soko huria sio adui yetu. Mbaya wetu ni yule anaewaza kukamua tu bila kuhakikisha kuwa wanaweza kufanya biashara kwa faida yao na ya wateja wake.

Amandla...
Hiki ndicho nnachohofia kama makampuni binafsi yatapewa hiyo kazi, hii serikali iliyojaa wapiga dili hawata waacha salama hasa ukizingatia kuna wakubwa wanavuna huko Tanesco.
 
Likiamua kupata faida,tutaiweza bei ya umeme?.
Swali dogo sana, unaogopa ubora wa bidhaa kwa kuogopa bei? hiyo bei itakuwa kubwa ya aina gani mamlaka zinazohusika zishindwe kui regulate? sasa mnalalamikia nini kuhusu huduma mbovu kama mnazipenda sababu ya bei ya chini!
 
Hebu fafanua zaidi hoja yako tuwekee Source za habari hiyo
Tuwekee Source ya Habari yako maana yangu yalikuwa ni maoni binafsi

 
Chato Gang bhana. Hamjajifunza tu madhara ya kutegemea mtu mmoja? Sera zikiwa bora mtu yoyote anaweza kuongoza.
Kwa hiyo Kalemani akifa na TANESCO imekwisha?
 
aondolewe kwa sababu gani?! kwa ajili ya wahujumu? wataondoka wao sio Dr. Kalemani.

Dr. Kalemani Kazi yake imetukuka na jitihada zake za kizalendo zinajieleza zenyewe kamwe hakuna wa kumchafua na akachafuka.

Rekodi yake inamfuata popote pale alipo, wasijaribu kupima kina cha maji
Aondoke kashindwa kugawa umeme kwa bei nafuu ,nguzo zinauzwa kuanzia shilingi 300,000 mpaka 600,000 na atakuwa na uwezo wa kujiunganishia umeme? Wimbo wa nguzo bure uko midomoni tu kashindwa kusimamia wananchi waweze kuunganisha umeme.
Mtu anaweza kujitolea kumnunua nguzo lakini mtu mwingine anaunganinishiwa kwa bei ndogo badala ya mtu huyo kurudishiwa gharama ya nguzo
Tanesco imeshindwa hata kuja na mpango wa kukopesha uuungaishaji kwa kwa wateja ili wawe wanalia kila mwezi mpaka deni la nguzo liaise,wanashindwa na kampuni za mobisol ambao wanaruhusu mteja kulipa kidogo kidogo mpaka wanamiliki solar.waziri hawezi kusimamia hata hilo tu. Watu wanateseka hawezi kuunganisha umeme sababu ya nguzo wakati nguzo ni mali ya TANESCO siyo ya mteja.huyu hawezi kutufikisha Tanzania ya umeme.
Hajui kuwa mteja wa akiunganisha umeme atalipa mpaka na vitukuu.aondoke aje mtu mwenye kurahisisha uunganishaji wa umeme kwa watu kwa njia ya kulipa kidogo kidogo
 
Mawaziri wengi wanasahau kuwa ni wanasiasa na sio watendaji. Wao wanasimamia policy issues na sio management issues. Sasa waziri anajiona yeye ni Katibu Mkuu, Chairman of the Board na Managing Director kwa pamoja. Waziri angewaita Katibu Mkuu, Mwenyekiti wa Bodi na Mtendaji Mkuu wa Tanesco na kuwataka wamueleze nini kimesababisha tatizo. Baada ya hapo ndio angetoa tamko linaloeleweka.

Waziri kuwashughulikia hivyo vidagaa ni kujidhalilisha. Yeye saizi yake ni MD ambae kama angegundua ni kimeo angemshauri aliyemteua ampe adhabu anayostahili. Na kama makosa ni ya waliokuwa chini yake angemuagiza achukue hatua zinazostahili. Tatizo ni kuwa utendaji wa namna hii hauwezi kuufanya mbele ya kamera. Wao wanataka waonekane wanafanya kazi hata kama hamna kitu wanachofanya. Hayuko peke yake mwenye hulka hii.

Amandla...

Hii kitu ilikuwa promoted na Mwendazake tangu akiwa waziri; huenda alijifunza kwa waNigeria. Na alifanikiwa sana. Amefahamika na wengi kama waziri na baadaye Rais mchapa kazi makini kwa kuonekana akifoka kwenye prime time Tv mara kwa mara.

Nilikuwa nashangaa nikiwauliza watu wasomi kuwa umejuaje kuwa huyu mtu ni mchapa kazi sana? Wanakujibu: “we vipi, mbona tunamshuhudia anavyojituma kikazi?”. Kama vile hawajui kuwa ndani ya kazi za kitaaluma kuna mikanganyiko isiyotanzuka kwa makelele ya hadharani. Waingereza wanasema: the devil is in the details”.

Bado wajinga tupo wengi na media itaendelea kuwa njia bora ya viongozi/wanasiasa kujipigia promo kwenye matatizo yetu. Kama tulivyozoea kuona/kusikia wahubiri wakijinasibu nguvu zao za kipekee kwenye Tv/radio, ndio hivyo hivyo tunataka kuona/kusikia viongozi wakijinasibu kutatua matatizo yetu na kutuletea maendeleo. Wengi hatuna interest wala muda wa kujua ukweli ulio ndani ya “details”.
 
Hii kitu ilikuwa promoted na Mwendazake tangu akiwa waziri; huenda alijifunza kwa waNigeria. Na alifanikiwa sana. Amefahamika na wengi kama waziri na baadaye Rais mchapa kazi makini kwa kuonekana akifoka kwenye prime time Tv mara kwa mara.

Nilikuwa nashangaa nikiwauliza watu wasomi kuwa umejuaje kuwa huyu mtu ni mchapa kazi sana? Wanakujibu: “we vipi, mbona tunamshuhudia anavyojituma kikazi?”. Kama vile hawajui kuwa ndani ya kazi za kitaaluma kuna mikanganyiko isiyotanzuka kwa makelele ya hadharani. Waingereza wanasema: the devil is in the details”.

Bado wajinga tupo wengi na media itaendelea kuwa njia bora ya viongozi/wanasiasa kujipigia promo kwenye matatizo yetu. Kama tulivyozoea kuona/kusikia wahubiri wakijinasibu nguvu zao za kipekee kwenye Tv/radio, ndio hivyo hivyo tunataka kuona/kusikia viongozi wakijinasibu kutatua matatizo yetu na kutuletea maendeleo. Wengi hatuna interest wala muda wa kujua ukweli ulio ndani ya “details”.
Uko sahihi kabisa. Kuna Mheshimiwa nimewahi kumsikia akisema Environmental and Social impact assessment ni kupotezeana wakati. Mwingine" msituletee mambo yenu ya feasibility studies" n.k. Na tunashangilia.

Amandla...
 
Uko sahihi kabisa. Kuna Mheshimiwa nimewahi kumsikia akisema Environmental and Social impact assessment ni kupotezeana wakati. Mwingine" msituletee mambo yenu ya feasibility studies" n.k. Na tunashangilia.

Amandla...
Huwa mkurupukaji na anatoa amri zisotekelezeka na bila sababu ya msingi! Aliwahi sema zile nyumba zote zipo karibu na nyaya za umeme na hawafugi umeme, mkuu wa wilaya awakamate! Juzi tu anasema meneja wa IT wa tanesco asimamishwe siku 10 loo !
 
Back
Top Bottom