Waziri Medard Kalemani asiondolewe Wizara ya Nishati

Waziri Medard Kalemani asiondolewe Wizara ya Nishati

Huwa mkurupukaji na anatoa amri zisotekelezeka na bila sababu ya msingi! Aliwahi sema zile nyumba zote zipo karibu na nyaya za umeme na hawafugi umeme, mkuu wa wilaya awakamate! Juzi tu anasema meneja wa IT wa tanesco asimamishwe siku 10 loo !
Inanikumbusha yule Mkurugenzi aliyesimamishwa kwa sababu amenunua Vieiti. Jafo akawasimamisha wengine, akaagiza uchunguzi ufanyike kuhusu ubadhirifu huo! Kumbe wao ndio waliotoa kibali cha ununuzi wa gari hiyo. Au yule Meneja wa Tanroad aliyesimamishwa kwa sababu barabara mbaya, kumbe wao hawajampelekea fedha za matengenezo. Au yule wa Tanesco aliyesimamishwa kwa sababu umeme unakatikakatika. Kumbe hakupelekewa fedha za maintenance ingawa amekuwa akiwaomba sana na kila wakati.
Unaweza kukuta huyo Meneja wa IT amekuwa akiomba fedha za kushughulikia system ( kununua software mpya za kuzuia hacking n.k.) lakini anatolewa nje. Pengine hata installation ya backup system alikataliwa. Sasa hivi dunia nzima kuna wimbi la hackers ambao huwa wanadai ransom. Labda wanafanyia mazoezi system zetu.

Wamewaonea sana hawa jamaa. Mbaya zaidi hawatutangazii wakiwakuta hawana hatia. Sana sana watajifanya wamewasamehe kwa kosa ambalo hawajafanya.

Amandla...
 
Pamoja na mapungufu yake Waziri Kalemani bado ana vision sahihi ya umeme nafuu Kwa Watanzania.

Kampeni ya kumchafua na kumshambulia ikemewe kwa nguvu zote.

Kuna madadali wa kununua umeme wa gesi wameanza kampeni ya kumchafua na kumchomekea Mama wale matapeli wa zamani

Kama Professa Muhongo na Ngeleja ili ili waanze upigaji tena.
Okay
 
aondolewe kwa sababu gani?! kwa ajili ya wahujumu? wataondoka wao sio Dr. Kalemani.

Dr. Kalemani Kazi yake imetukuka na jitihada zake za kizalendo zinajieleza zenyewe kamwe hakuna wa kumchafua na akachafuka.

Rekodi yake inamfuata popote pale alipo, wasijaribu kupima kina cha maji
Kaondoka na rekodi zake
 
nguzo tumeambiwa ni 27000 na tanesco wanatuuzia kwa 300,000/- alafu yeye kakaa kimya, okay mama kagutuka anaanza kuondoa SUKUMA GANG.
Nguzo haiuzwi ndugu. Unanunua nguzo ili ukaifanyie kazi gani. Ile ni huduma ya umeme kulingana na umbali uliopo.
Kuuziwa nguzo unatakiwa upate nguzo pekee bila umeme kitu ambacho sio biashara ya tanesco
 
nguzo tumeambiwa ni 27000 na tanesco wanatuuzia kwa 300,000/- alafu yeye kakaa kimya, okay mama kagutuka anaanza kuondoa SUKUMA GANG.
Jana nilikuwa nawaza! Kwa Miongo 10 hii iliyopita ukiniambia kidunia Rais gani bora kwangu namuona Xi-Jiping wa [emoji630] China.

Lakini nikajiuliza kifikra Rais Xi-Jiping awe Rais wa Tanzania kwa miaka 5 tu watanzania watakuwaje?
 
Ukisema makampuni mangapi unamaanisha nini?

Ninavyojua wana shirika linaitwa KPLC ambalo ni shirika linamilikiwa na serikali ya Kenya kama hapa kwetu TANESCO linamikiwa na serikali ya JMT
He is asking in terms of the number
 
Back
Top Bottom