MkuuAlisharipoti police oysterbay marakadhaa ila nani wa kumsaidia,police wenyewe walikuwa wanamuogopa jiwe tangu akiwa naibu waziri.
Jiwe ni gaidi
Nuru Imeanza KuonekanaTufanye namna Mpwa
Haa Kumbe Ndiyo Chuki Kwa Kamanda MzilankendeHivi vyeti feki si mmelipwa lakini?chuki za nini sasa?
Tunamkemea shetaniHivi vyeti feki si mmelipwa lakini?chuki za nini sasa?
Hujui ndoa zilivyo.Ila Tanzania Acha
Kama Alikuwa Mfano Mzilankende Anamtesa Kwanini Hakwenda Police Ama Kwa Wansharakati
Watu wazuri hawafiSaa hizi anang'aa aisee. Mungu amemfanyia kicheko.
likonyagiRais mzima bila aibu anaiba rambirambi
Ulikuwa mke mwenza?Mama Janeth kanenepa na kunenepa. Daah! Dikteta alikuwa hatari Sana.
Na wewe ulikuwa mke mwenza?Aliishi Kwa mateso mno! Mungu mwema sana
Naona wake wenza mmejitokeza sasaSaa hizi anang'aa aisee. Mungu amemfanyia kicheko.
Yeye ana mme hana mkeWeka picha ya mkeo tuione!
Naona wake wenza mmejitokeza sasa
Amekuwa kijana...NYIE!Uso umejaa nuru
nyie wabongo mnaonaga unene sifa sijui unene raha ama utajiriMama Janeth kanenepa na kunenepa. Daah! Dikteta alikuwa hatari Sana.
Pozi la mama Kawawaa kama anashangaa shangaa tu mnamsumbua tuView attachment 2495808
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, mara baada ya kuwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Mama Janeth Magufuli, alipoenda kumjulia hali nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.
View attachment 2495809
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama akiwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Mama Asina Kawawa, mjane wa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Rashid Mfaume Kawawa, alipoenda kumjulia hali nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.
Yule jamaa alikuwa subiani kabisaMama Janeth kanenepa na kunenepa. Daah! Dikteta alikuwa hatari Sana.
Kama vipi mfuate sasa huko kuzimu umsaidie kukusanya kuni mbanikwe pamoja.Naona wake wenza mmejitokeza sasa