Waziri Mhagama awajulia hali Mama Janeth Magufuli na Mama Asina Kawawa

“Watu wazuri hawafi”

Jenista ameenda kuwaomba hawa wajane wasisusie mialiko ya serikali baada ya kushambuliwa kwa maneno na kina Mzee Makamba kwenye mkutano wa Kamati Kuu ya CCM.
 
Pozi la mama Kawawaa kama anashangaa shangaa tu mnamsumbua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…