Nchi imejaa wajane wa viongozi wakubwa...toka kwa mama Karume, mama Maria hadi kwa mama Magufuli...
Inatafakarisha...
Kuna mtu aliniambia alishuhudia mwamba akimpigisha mama push up kama adhabu ya kuhamisha matofali toka sehemu moja kwenda pengine bila kum consult.Aliishi Kwa mateso mno! Mungu mwema sana
Hawajui stress zinanenepeshanyie wabongo mnaonaga unene sifa sijui unene raha ama utajiri
FactWanawake tunawaoa wadogo kuliko sisi kwa miaka.
Kwa kufata age tu Chance ya wanaume kutangulia kufa ni kubwa. Maana mume upo 60 mke yupo 50 ama chini zaidi
Ilikua ni kokotoKuna mtu aliniambia alishuhudia mwamba akimpigisha mama push up kama adhabu ya kuhamisha matofali toka sehemu moja kwenda pengine bila kum consult.
Ilikua ni kokoto
Tajiri yangu sio kila kitu humu kinakua serious, hahahahaWw nae tajiri ulishuhudia [emoji23][emoji23][emoji23]
Anatamanisha. Yule mporipori alikuwa anamfuja sanaDaaah kweli kabisa. Mama kanona
Mpori pori mboe? Anhaa kwamba alikua anamfuja mke wake mpaka akaanguka na kuvunja mguu?Anatamanisha. Yule mporipori alikuwa anamfuja sana
Nchi imejaa wajane wa viongozi wakubwa...toka kwa mama Karume, mama Maria hadi kwa mama Magufuli...
Inatafakarisha...
Kauli ya wazuri hawafi inawatesa, CCM wameanza kujipendekeza kwa kuwatembelea wajane wa wabaya waliokufaView attachment 2495808
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, mara baada ya kuwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Mama Janeth Magufuli, alipoenda kumjulia hali nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.
View attachment 2495809
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama akiwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Mama Asina Kawawa, mjane wa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Rashid Mfaume Kawawa, alipoenda kumjulia hali nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.
Yuko wapi sasa?Mpori pori na akawahenyesha vile nyie born town?
Haaaa haaaa unaweza sababisha watu wakahama jukwaa bila kuagaWeka picha ya mkeo tuione!
Na hajaiweka hadi Leo ujue! Ahahahahaha!Haaaa haaaa unaweza sababisha watu wakahama jukwaa bila kuaga