EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hatua zimekwishachukuliwa zimechukuliwa zimepelekwa wapi hizo hatua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U Mwalimu=MsogalizeHuyu na Ummy Mwalimu huwa sijui wanabebwa na nini yaani ni Mawaziri wa hovyo kabisa
Hawa watakuwa ni washirikina haswa, kwenye Wizara zao hakuna cha maana wanafanyaU Mwalimu=Msogalize
Kipara kimeota?Unafiki ndio kazi ya mawaziri nape,january na mwigulu wanapata wapi ujasiri wa kusema kama sio unafiki!
Yaani hapo mmeguswa mshono. Nyie ni wanafiki na wezi.
WAZIRI MHAGAMA: HATUPENDEZWI KUTUITA MAWAZIRI NI WANAFIKI
"Ninaamini kabisa hakuna Waziri yeyote ambaye amesimama hapa akajipiga kifua mbele akatetea ubadhirifu wa fedha hizo ambazo zimekuwa zikifanywa na watumishi wa Serikali. Ziko hatua zilizochukuliwa" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
"Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali inatokana na kazi nzuri iliyofanywa pia na Mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza waheshimiwa wabunge." - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
"Lugha kwamba Mawaziri ni wanafiki, hatukai hapa na hatujakaa hapa tukiwa wanafiki katika kuisaidia Serikali" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
“Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali hii yanatokana na kazi nzuri illiyofanywa pia na mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza [...] Lugha ya kwamba mawaziri ni wanafiki si kweli, hatujakaa hapa [bungeni] tukiwa wanafiki katika kuisaidia hii serikali yetu.” – Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama
Tupo kipindi kibaya mno, kila mtu anajali maslah yeke, yaan ni full upigaji.
WAZIRI MHAGAMA: HATUPENDEZWI KUTUITA MAWAZIRI NI WANAFIKI
"Ninaamini kabisa hakuna Waziri yeyote ambaye amesimama hapa akajipiga kifua mbele akatetea ubadhirifu wa fedha hizo ambazo zimekuwa zikifanywa na watumishi wa Serikali. Ziko hatua zilizochukuliwa" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
"Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali inatokana na kazi nzuri iliyofanywa pia na Mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza waheshimiwa wabunge." - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
"Lugha kwamba Mawaziri ni wanafiki, hatukai hapa na hatujakaa hapa tukiwa wanafiki katika kuisaidia Serikali" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
“Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali hii yanatokana na kazi nzuri illiyofanywa pia na mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza [...] Lugha ya kwamba mawaziri ni wanafiki si kweli, hatujakaa hapa [bungeni] tukiwa wanafiki katika kuisaidia hii serikali yetu.” – Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama
Nina mashaka kama budget za wizara nyingi zitafika December, kumekuwa na matumizi makubwa mno kwa mawaziri na watendaji haswa kwenye safar.Tupo kipindi kibaya mno, kila mtu anajali maslah yeke, yaan ni full upigaji.
Tena wakiongozwa na huyu mama anayesema wasiitwe wanafiki, ni mnafiki sana huyo.Ila wanasiasa asilimia kubwa ni wanafki
Ova
WAZIRI MHAGAMA: HATUPENDEZWI KUTUITA MAWAZIRI NI WANAFIKI
"Ninaamini kabisa hakuna Waziri yeyote ambaye amesimama hapa akajipiga kifua mbele akatetea ubadhirifu wa fedha hizo ambazo zimekuwa zikifanywa na watumishi wa Serikali. Ziko hatua zilizochukuliwa" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
"Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali inatokana na kazi nzuri iliyofanywa pia na Mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza waheshimiwa wabunge." - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
"Lugha kwamba Mawaziri ni wanafiki, hatukai hapa na hatujakaa hapa tukiwa wanafiki katika kuisaidia Serikali" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
“Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali hii yanatokana na kazi nzuri illiyofanywa pia na mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza [...] Lugha ya kwamba mawaziri ni wanafiki si kweli, hatujakaa hapa [bungeni] tukiwa wanafiki katika kuisaidia hii serikali yetu.” – Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama