Waziri Mhagama: Hatupendezwi kutuita Mawaziri ni wanafiki

Waziri Mhagama: Hatupendezwi kutuita Mawaziri ni wanafiki

Hatua zimekwishachukuliwa zimechukuliwa zimepelekwa wapi hizo hatua
 
Unafiki ndio kazi ya mawaziri nape,january na mwigulu wanapata wapi ujasiri wa kusema kama sio unafiki!
 

WAZIRI MHAGAMA: HATUPENDEZWI KUTUITA MAWAZIRI NI WANAFIKI

"Ninaamini kabisa hakuna Waziri yeyote ambaye amesimama hapa akajipiga kifua mbele akatetea ubadhirifu wa fedha hizo ambazo zimekuwa zikifanywa na watumishi wa Serikali. Ziko hatua zilizochukuliwa" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

"Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali inatokana na kazi nzuri iliyofanywa pia na Mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza waheshimiwa wabunge." - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

"Lugha kwamba Mawaziri ni wanafiki, hatukai hapa na hatujakaa hapa tukiwa wanafiki katika kuisaidia Serikali" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

“Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali hii yanatokana na kazi nzuri illiyofanywa pia na mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza [...] Lugha ya kwamba mawaziri ni wanafiki si kweli, hatujakaa hapa [bungeni] tukiwa wanafiki katika kuisaidia hii serikali yetu.” – Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama
Yaani hapo mmeguswa mshono. Nyie ni wanafiki na wezi.
 
Huyu mama kazi yake ilikuwa kumtetea Mwendazake bungeni, kwa sasa yupo yupo kama mzigo [emoji23][emoji23][emoji23]
 

WAZIRI MHAGAMA: HATUPENDEZWI KUTUITA MAWAZIRI NI WANAFIKI

"Ninaamini kabisa hakuna Waziri yeyote ambaye amesimama hapa akajipiga kifua mbele akatetea ubadhirifu wa fedha hizo ambazo zimekuwa zikifanywa na watumishi wa Serikali. Ziko hatua zilizochukuliwa" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

"Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali inatokana na kazi nzuri iliyofanywa pia na Mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza waheshimiwa wabunge." - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

"Lugha kwamba Mawaziri ni wanafiki, hatukai hapa na hatujakaa hapa tukiwa wanafiki katika kuisaidia Serikali" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

“Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali hii yanatokana na kazi nzuri illiyofanywa pia na mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza [...] Lugha ya kwamba mawaziri ni wanafiki si kweli, hatujakaa hapa [bungeni] tukiwa wanafiki katika kuisaidia hii serikali yetu.” – Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama
Tupo kipindi kibaya mno, kila mtu anajali maslah yeke, yaan ni full upigaji.
 
Tupo kipindi kibaya mno, kila mtu anajali maslah yeke, yaan ni full upigaji.
Nina mashaka kama budget za wizara nyingi zitafika December, kumekuwa na matumizi makubwa mno kwa mawaziri na watendaji haswa kwenye safar.
 
Kweli unajua ulicho andika hapa?
Kazi ni kipimo Cha utu
 

WAZIRI MHAGAMA: HATUPENDEZWI KUTUITA MAWAZIRI NI WANAFIKI

"Ninaamini kabisa hakuna Waziri yeyote ambaye amesimama hapa akajipiga kifua mbele akatetea ubadhirifu wa fedha hizo ambazo zimekuwa zikifanywa na watumishi wa Serikali. Ziko hatua zilizochukuliwa" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

"Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali inatokana na kazi nzuri iliyofanywa pia na Mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza waheshimiwa wabunge." - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

"Lugha kwamba Mawaziri ni wanafiki, hatukai hapa na hatujakaa hapa tukiwa wanafiki katika kuisaidia Serikali" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

“Mafanikio ya kazi nzuri ya Serikali hii yanatokana na kazi nzuri illiyofanywa pia na mawaziri katika udhibiti kama mnavyotuagiza [...] Lugha ya kwamba mawaziri ni wanafiki si kweli, hatujakaa hapa [bungeni] tukiwa wanafiki katika kuisaidia hii serikali yetu.” – Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama

Ukisikia puu ujuwe limempata.
 
Back
Top Bottom