Waziri Mkenda: Kwa sasa hakuna mazao ya Wakulima na Wafanyabiashara yanayozuiwa kwenye mpaka wetu na Kenya

Waziri Mkenda: Kwa sasa hakuna mazao ya Wakulima na Wafanyabiashara yanayozuiwa kwenye mpaka wetu na Kenya

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa kilimo Prof Adolf Mkenda amesema hali ni shwari kabisa katika mpaka wetu na Kenya na kwa taarifa za leo hakuna mzigo wowote uliokwama mpakani.

Mkenda amesema watanzania wasiwe na wasiwasi kwani sasa biashara kati yetu na Kenya imeimarika sana labda kuliko wakati mwingine wowote.

Chanzo: ITV habari za saa
 
Naona Bi Mkubwa aliwapelekea dawa ya kuondoa sumu sijui? Nasema uleeeee mkataba wa Gesi una utusitusi kibao!
 
Waziri wa kilimo Prof Adolf Mkenda amesema hali ni shwari kabisa katika mpaka wetu na Kenya na kwa taarifa za leo hakuna mzigo wowote uliokwama mpakani.

Mkenda amesema watanzania wasiwe na wasiwasi kwani sasa biashara kati yetu na Kenya imeimarika sana labda kuliko wakati mwingine wowote.

Source: ITV habari za saa
Hii ni sawa kabisa.Mkulima akivuna asizuiliwe kuuza bidhaa yake ambayo ni mazao katika masoko yanayo mlipa.
Wakulima wa kahawa wauze Uganda,wale walimao mahindi wauze Zambia na sehemu yeyote yenye bei nzuri ili kunyanyua kipato na hali ya maisha ya mkulima
 
Back
Top Bottom