Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kinaitwaje?Kiuatilifu kinachotumika ni photo and biodegradable; easily degrades into harmless metabolites ndani ya muda mfupi kwenye mazingira. Kwa hiyo uwezekano wa kuingia kwenye food chain haupo. Siyo aina ya organochlorides ambayo hukaa kwenye mazingira for days/months and years.
Fenitrothion. Is registered hapa nchini miaka mingi tu for locust control.Kinaitwaje?
Hii hatari sasaMateke na ndege.
Wapo vzrIndia haoooView attachment 1719849
Wapo vzr
Hivi si gwajima na mzee wa upako walituhakikishia kuwa wamewazuia nzige wasiingie tanzania?Waziri wa Kilimo Prof Mkenda amesema kesho zoezi la kumwaga sumu ya kuua nzige litaendelea baada ya rubani aliyetelekeza ndege pale Kilimanjaro kurejea.
Mkenda amesema kuna kundi la nzige wadogo wameelekea Monduli hivyo wanawafuatilia ili wawatekeze.
Pia Simanjiro zoezi halikukamilika kutokana na mazingira ya huko ambayo yana vichaka na miiba hivyo kuna nzige ambao hawakufikiwa na timu ya wataalamu imetumwa kuwateketeza kwa kutumia ndege ya fao.
Katika hatua nyingine waziri Mkenda amemlaumu CEO wa oganaizesheni ya kupambana na nzige Afrika mashariki kwa kutotoa ushirikiano na hata kutopokea simu zake huku akijua wazi sehemu ya mshahara wake inatokana na kodi za watanzania.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
uko wapi tujenimemkuta kwenye maua yanguView attachment 1715055
Haijakodiwa ni ndege ya shirika la nzige wa jangwani kila nchi inahudumiwa na izo ndege japo kwa tahadhari inatakiwa tuwe nazoNchi haina ndege ya kilimo wakati kilimo ndiyo uti wa mgongo mnaenda kukodi Kenya shem on my country