Waziri Mkenda: Tunaendelea na zoezi la kumwaga sumu kuua nzige ambao sasa wameelekea Monduli pia Simanjiro!

Kinaitwaje?
 
Nchi haina ndege ya kilimo wakati kilimo ndiyo uti wa mgongo mnaenda kukodi Kenya shem on my country
 
Kundi jipya la Nzige limeingia Mkomazi Hilo lisipodhibitiwa litasambaa milima ya usambara yote na kuathiri mazao mengi
 
Hivi si gwajima na mzee wa upako walituhakikishia kuwa wamewazuia nzige wasiingie tanzania?
 
Nchi haina ndege ya kilimo wakati kilimo ndiyo uti wa mgongo mnaenda kukodi Kenya shem on my country
Haijakodiwa ni ndege ya shirika la nzige wa jangwani kila nchi inahudumiwa na izo ndege japo kwa tahadhari inatakiwa tuwe nazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…