Waziri Mkenda: Upanuzi wa Elimu ya Juu ni mkubwa kwa sasa kuliko wakati mwingine wowote Nchini

Waziri Mkenda: Upanuzi wa Elimu ya Juu ni mkubwa kwa sasa kuliko wakati mwingine wowote Nchini

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ujenzi wa Kampasi za Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya katika Mkoa wa Rukwa ni moja ya mradi unaojengwa chini ya Mradi wa Higher Education for Economic Transformation zinazojengwa katika Mikoa isiyo na Taasisi za Elimu ya Juu kutoa Shahada za Amali.
 
1719491919799.jpg
 
Lakini haiondoi kuwa mfumo wa elimu Tanzania ni mbovu ukilinganisha na Nchi za Burundi, Uganda,Kenya na Rwanda
 
Binafsi nampongeza sana Mh Waziri kwa kazi hii nzuri mno ila kuna kitu kwenye curriculum review ya elimu ya msingi na sekondari aa kawaida ambacho bado sijamsikia akikiongelea

Mmeshawahi kujiuliza gharama zile zitakazoongezeka pamoja na resources mpya zitakazohitajika pale wanafuzni watakapoanza kusoma kuanzia la kwanza hadi la kumi na mbili; ambapo itaongezeka miaka mingine mitatu ya kuwa-accommodate wanafunzi wote wanaoanza darasa la kwanza kila mwaka?

Projected increse ya namba ya wanfunzi ikiwa ni pamoja na gharama zake?

Hapa kama nchi tutatakiwa tujipange vizuri sana kukabiliana na gharama hizi; mambo mazuri yana gharama zake
 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ujenzi wa Kampasi za Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya katika Mkoa wa Rukwa ni moja ya mradi unaojengwa chini ya Mradi wa Higher Education for Economic Transformation zinazojengwa katika Mikoa isiyo na Taasisi za Elimu ya Juu kutoa Shahada za Amali.
Profesa njaa hawa, upanuzi una maana gani kama ubora ni zero
 
Back
Top Bottom