Dilunga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2009
- 679
- 52
Defence attorney kashaingia sasa, maneno yanaombwa verbatim.
Si mtetezi, na mimi nataka kuwa upande wako, nimlaani Mkullo, lakini nijue kwanza, alitamka nini ``wewe shenzi pumbavu mwandishi wewe``? Tunajadili ``matusi`` ya kiongozi, si dhambi tukiulazana, Mkullo katamka nini?