Waziri Mkulo na matusi kwa mtangazaji wa redio

Defence attorney kashaingia sasa, maneno yanaombwa verbatim.

Si mtetezi, na mimi nataka kuwa upande wako, nimlaani Mkullo, lakini nijue kwanza, alitamka nini ``wewe shenzi pumbavu mwandishi wewe``? Tunajadili ``matusi`` ya kiongozi, si dhambi tukiulazana, Mkullo katamka nini?
 
Kama unautaalamu wa kuangalia sura ya mtu na kujua ni wa namna gani... Hebu angalia mashavu na ndevu za Bwana huyu Mkulo, zinaashiria kuwa ni "mjinga, mjinga anekaribia upumbavu!!" nakwambia, waulize wataalam kuhusu ndevu zile na mashavu!
sa nyie mmeamua kumjibu kwa niaba ya huyo mtangazaji?
 
Si mtetezi, na mimi nataka kuwa upande wako, nimlaani Mkullo, lakini nijue kwanza, alitamka nini ``wewe shenzi pumbavu mwandishi wewe``? Tunajadili ``matusi`` ya kiongozi, si dhambi tukiulazana, Mkullo katamka nini?

Kwa hiyo unataka kumlaani Mkulo kabla ya kujua alichosema? Guilty until proven innocent style?
 

Ni mtu pleasant na mwenye kutabasamu wakati wote mahala penye vibinti vidogo..!

Mtu kama huyu dawa yake ni ndogo sana. The time of kulindana is out now..!
 
Si mtetezi, na mimi nataka kuwa upande wako, nimlaani Mkullo, lakini nijue kwanza, alitamka nini ``wewe shenzi pumbavu mwandishi wewe``? Tunajadili ``matusi`` ya kiongozi, si dhambi tukiulazana, Mkullo katamka nini?


Yeah, kama alisema, 'hili swali stupid' au 'huo ni ushenzi' sioni kosa lake. Lakini kama alimwambia mwandishi, 'ww ni mpumbavu' n.k redioni, hapo soo na asulubiwe. Mleta mada hajakamilisha topic.
 
rais kikwete na baraza lake la mawaziri wanatutukana sana wananchi kwa mtindo huu mi nadhan tuwalipizie tu mwakani hapo...
 
Tatizo la waandishi wa Bongo wanapenda sana "TIPS" ndio maana hata wakitukanwa wanaona sawa wakitegemea kesho wataalikwa katika visemina kuandika ujinga wa watawala na kupewa vibahasha.Bongo bwana waandishi bila vibahasha hawaandiki habari yako hata iwe nzuri kiasi gani,ukiwapa "TIPS" watakupamba hata ukiwa kilaza kama......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…