Waziri Mkuu afurahishwa maendeleo ya ujenzi wa mradi wa umeme mto Rufiji

Waziri Mkuu afurahishwa maendeleo ya ujenzi wa mradi wa umeme mto Rufiji

mkiluvya

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2019
Posts
809
Reaction score
729
WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA UMEME MTO RUFIJI:

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa kazi ya Ujenzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) wa megawatts 2115 inayofanyika katika eneo la Bonde la Mto Rufiji ni kazi ya uhakika na inakwenda kwa kasi kama ilivyopangwa.

Majaliwa ameyasema hayo leo, Alhamisi, Mei 14, alipokuwa kwenye ziara ya kukagua hatua za utekelezaji wa mradi huo.
“Nimetembelea eneo la mradi na kujionea shughuli zote zinazoendelea, Kazi inayofanyika ni ya uhakika huku matumaini ni makubwa ya kukamilisha mradi mapema kabla ya muda uliopangwa” Waziri mkuu Kassim Majaliwa.

Aidha, ameeleza kuridhishwa na hatua za utekelezaji ambazo mradi umefikiwa na kueleza kuwa mradi huo wa Julius Nyerere ni mradi mkubwa na wa kimkakati na kutoa pongezi kwa TANESCO na usimamizi wa Wakandarasi kwa kazi nzuri.

1589457176084.png
 
Tuliposema nchi isifungwe, tulimaanisha, hakuna kazi itakayosemama, Raia apige kazi na serikali ipige kazi.

Mwenye wivu ajinyonge, ama ahame nchi akatafute mahali nchi hiyo imefungia watu wake naye akafungiwe huko.

Kwetu hapa ni kazi na kuzingatia maelekezo yote ya namna ya kujikinga na Corona

Au ujitangazie lockdown kama walivyofanya wale wenzetu na ingawa zilikuwa swaga za kisiasa, mbali na pesa na kila kitu, Wapo Tu kitaa wakiendelea kujichanganya.

Hivi lockdown si mchezo eeeh!
 
Hamna kitu hapo!!!wanajitekenya tu!!
SGR na ujenzi wa madaraja na miradi mingine tunaona updates za picha.Lakini ni mara chache kuona updates za ujenzi wa Bwawa hilo.Je ujenzi wa Bwawa hili ni top secret?Mwenye update photos au video niwekee hapa.
Kumbuka tuna akina Thomas wengi tu.
 
Ila ulinzi wa pm umelegea na uko loose mno had raha yaan ukipangwa kwake no kuchukua pesa tu wala huna presha
 
N
View attachment 1449996

WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA UMEME MTO RUFIJI:

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa kazi ya Ujenzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) wa megawatts 2115 inayofanyika katika eneo la Bonde la Mto Rufiji ni kazi ya uhakika na inakwenda kwa kasi kama ilivyopangwa.

Majaliwa ameyasema hayo leo, Alhamisi, Mei 14, alipokuwa kwenye ziara ya kukagua hatua za utekelezaji wa mradi huo.
“Nimetembelea eneo la mradi na kujionea shughuli zote zinazoendelea, Kazi inayofanyika ni ya uhakika huku matumaini ni makubwa ya kukamilisha mradi mapema kabla ya muda uliopangwa” Waziri mkuu Kassim Majaliwa.

Aidha, ameeleza kuridhishwa na hatua za utekelezaji ambazo mradi umefikiwa na kueleza kuwa mradi huo wa Julius Nyerere ni mradi mkubwa na wa kimkakati na kutoa pongezi kwa TANESCO na usimamizi wa Wakandarasi kwa kazi nzuri.
Huyu ndio wa mpito sio? Ataleta manufaa makubwa kwa CHADEMA acha jiwe aendelee kulala huko aliko.
 
View attachment 1449996

WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA UMEME MTO RUFIJI:

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa kazi ya Ujenzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) wa megawatts 2115 inayofanyika katika eneo la Bonde la Mto Rufiji ni kazi ya uhakika na inakwenda kwa kasi kama ilivyopangwa.

Majaliwa ameyasema hayo leo, Alhamisi, Mei 14, alipokuwa kwenye ziara ya kukagua hatua za utekelezaji wa mradi huo.
“Nimetembelea eneo la mradi na kujionea shughuli zote zinazoendelea, Kazi inayofanyika ni ya uhakika huku matumaini ni makubwa ya kukamilisha mradi mapema kabla ya muda uliopangwa” Waziri mkuu Kassim Majaliwa.

Aidha, ameeleza kuridhishwa na hatua za utekelezaji ambazo mradi umefikiwa na kueleza kuwa mradi huo wa Julius Nyerere ni mradi mkubwa na wa kimkakati na kutoa pongezi kwa TANESCO na usimamizi wa Wakandarasi kwa kazi nzuri.

Nyie mataga, huo mradi ungekuwa umesogea hata kwa hatua moja tu social media zote zingekuwa zimefurika makala za kuonyesha "hayo mafanikio" na "kishindo cha awamu ya tano". Uzi huu peke yake ungekuwa na picha kadhaa zinazoonyesha sehemu zinazojengwa.

Endeleeni kujidanganya.
 
Back
Top Bottom