Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mkuu, huyu ni mwanasoka haswa. Kwa taarifa yako ni mwamuzi wa soka.Waziri mkuu taaluma yake ni ualimu ,hii nchi inahtaji kupata viongozi wanasheria ,sisi tunahtaji kupata sababu zilizopelekea mechi kuahirishwa,sio ratiba yakurudiwa
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Naiona FIFA ikikaribia.Wasitufanye kuwa Watanzania wote ni mambumbumbu.Tatizo hapa siyo ratiba ya mechi kurudiwa wala siyo mambo ya viingilio vilivyokwisha kuchukuliwa.
Tatizo hapa ni serikali kukiuka kanuni za FIFA kwa kuingilia mambo ya michezo kitu ambacho kitatugharimu kama Taifa.Hivi kama Taifa tumetenda dambi gani hadi tunakuwa tunapata viongozi wapumbavu mfulilizo namna hii?!This is annoying![emoji35][emoji35][emoji35]
Kichekesho. Wapangaji wa ratiba ni TFF kupitia bodi ya ligi na si wizara.Tumemuelewa PM , hakuna shaka tutakuwa wavumilivu. tunasubiri wizara ya habari itutangazie utaratibu mpya.
ahsante
sawa TFF wapange ratiba kisha watutangazie tukaangalie mechi, tena ikiwezekana mwishoni mwa mwezi huu trh 28/5/2021 au trh 29/5/2021, lengo tunataka tuwatie adabu YangaKichekesho. Wapangaji wa ratiba ni TFF kupitia bodi ya ligi na si wizara.
Bora limalizwe hapa hapa kibongo bongo, likipelekwa FIFA Yanga anashushwa madaraja mawiliUshauri hili tatizo ni bora tulipeleke FIFA watoe maamuzi hapa nchini hatuwezi wote tuna mahaba na hizi timu
Kwakuzngatia sheria gani?Bora limalizwe hapa hapa kibongo bongo, likipelekwa FIFA Yanga anashushwa madaraja mawili
sawa msaidizi wake,mkumbushe atwambie sababu zakuharishe mzigo ninn ?Mkuu, huyu ni mwanasoka haswa. Kwa taarifa yako ni mwamuzi wa soka.
Kwa misingi ipi anashushwa darajaBora limalizwe hapa hapa kibongo bongo, likipelekwa FIFA Yanga anashushwa madaraja mawili
Wanaofunga Simba katika kikosi cha kwanza ni Aishi Manila, Mohamed Hussein na Shomari Kapombe tu. Wanaofunga Yanga Katika kikosi cha kwanza ni Farouk Shikalo, Kibwana Shomari,Adeyun, Mwamnyeto, Lamine Moro, Ninja, Feisal na Saido. Hapo utapata picha na hoja yako.Simba ndio waliosababisha.Wachezaji wao wengi wamefunga Ramadhani wakawaambia TFF kuwa watakuwa hawana nguvu sababu ya swaaumu hhivyo wakaomba mchezo uchezwe saa moja usiku baada ya wao kufuturu saa 12 jioni.
Ndipo sisi yanga tukagoma sababu kanuni ya kubadilishwa imekiukwa.
Yanga wanakomaa wapewe pointi zao 3. Ishatoka, hakuna mechi iliyoahirishwa hapo.Wapenzi wa mpira kama kweli wako serious lazima kampeni ifanywe hakuna mtu kwenda mpirani mechi hiyo na pesa zao wadai warudishiwe.
🤣🤣🤣.....wanasheria wana akili sana eee?Waziri mkuu taaluma yake ni ualimu ,hii nchi inahtaji kupata viongozi wanasheria ,sisi tunahtaji kupata sababu zilizopelekea mechi kuahirishwa,sio ratiba yakurudiwa
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Jumong ndiyo au mother Theresa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliepo juu nani huyo?Jumong?[emoji1][emoji1][emoji1]