Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
🤣🤣🤣Jumong ndiyo au mother Theresa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Jumong ndiyo au mother Theresa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sijamanisha hivo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].....wanasheria wana akili sana eee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu PM huwa sina imani nae kabisa amejaa usanii mtupu,tangu kipindi kile anatuambia JPM yupo anachapa kazi kumbe,ameishakufa,nilichoka,Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutoa taarifa haraka sana kwa Watanzania juu ya tarehe ya kuchezwa kwa mchezo huo na pia ieleze utaratibu kuhusu hatima ya waliolipa viingilio ili kushuhudia mchezo huo.
Pia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewasihi Watanzania kuwa wavumulivu ili kuipa muda Wizara kwa kushirikiana na taasisi zinazosimamia mpira wa miguu ikiwemo TFF kuja na taarifa juu ya hatima ya mchezo huo.
Mashabiki wastarabu , wasingeuzulia uwanjani mpaka Ela warudishiwe na mmoja ajiuzuluyan mpaka hapa mashabiki ni wavumilivu sana na wastarabu, wanachotaka sanaa sanaaa ni tarehe ya mechi itakapo chezwa
Kumbe! Ndiyo maana! Tulifeli wapi hadi kuwakabidhi wageni madaraka hayo makubwa?Wengi wao ni wasomali!
Kama aliagizwa na PM ambae ni bi Hindu SC lialia?Bashungwa anaweza kupigwa chini, anatanguliza uyanga wake mpaka anashindwa kupima madhara ya maamuzi yake.
Bashungwa, Kitila, Nchemba, Mambe hao ni yanga wakereketwa. Kocha Nabi aliongea kuwa Yanga bado haipo vizuri na anahitaji muda.Kama aliagizwa na PM ambae ni bi Hindu SC lialia?