Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

Akili za mandazi hzo [emoji21][emoji21][emoji21]
Yale ya kwa mtogole[emoji2] [emoji2] [emoji124] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Mpaka Leo au

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
 
Kwa mliopo Dodoma huyu PM bado anatembea kwa mguu ili kuokoa mamilioni au ilikuwa ni mbwembwe tu na kiki na kutafuta media attention...
 
Atatembeaje kwa mguu kwenda ofisini Dodoma wakati muda mwingi yuko Dar? Hata VP tuliambiwa kahamia Dodoma lakini muda mwingi yupo Dar. Hapo ni miposho ya kuwa nje ya kituo cha kazi. Hapa tumebana matumizi kuwakomesha mafisadi.
Kwa mliopo Dodoma huyu PM bado anatembea kwa mguu ili kuokoa mamilioni au ilikuwa ni mbwembwe tu na kiki na kutafuta media attention...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi.

Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-Ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache.

Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita.
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?

Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?

Hii breaking news imeniacha na maswali mengi.
Niiice
 
Kwa mliopo Dodoma huyu PM bado anatembea kwa mguu ili kuokoa mamilioni au ilikuwa ni mbwembwe tu na kiki na kutafuta media attention...
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Makao ya waziri mkuu Luxembourg,nchi tajiri Europe na usafiri wake. Picha fikirishi.
E2uSZ4TX0AUwl-h.jpeg
 
Back
Top Bottom