Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

Akili za mandazi hzo [emoji21][emoji21][emoji21]
Yale ya kwa mtogole[emoji2] [emoji2] [emoji124] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Mpaka Leo au

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
 
Kwa mliopo Dodoma huyu PM bado anatembea kwa mguu ili kuokoa mamilioni au ilikuwa ni mbwembwe tu na kiki na kutafuta media attention...
 
Atatembeaje kwa mguu kwenda ofisini Dodoma wakati muda mwingi yuko Dar? Hata VP tuliambiwa kahamia Dodoma lakini muda mwingi yupo Dar. Hapo ni miposho ya kuwa nje ya kituo cha kazi. Hapa tumebana matumizi kuwakomesha mafisadi.
Kwa mliopo Dodoma huyu PM bado anatembea kwa mguu ili kuokoa mamilioni au ilikuwa ni mbwembwe tu na kiki na kutafuta media attention...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niiice
 
Kwa mliopo Dodoma huyu PM bado anatembea kwa mguu ili kuokoa mamilioni au ilikuwa ni mbwembwe tu na kiki na kutafuta media attention...
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…