Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mwenyewe niliajiriwa baada ya miezi 8 nikaacha maana niliona ni ujinga mtupu hakuna mwelekeo na utapelitapeli umejaaHili eneo la ajira za Serikali linachangia Wizi wa fedha na Mali za nchi Kwa asilimia 80.
Kwanza ajira zimegubikwa na ujanja ujanja,udugu,urafiki,rushwa na a kila Aina ya upendeleo dhambi hiyo inaendelea mpaka kwenye post na kupandisha vyeo...