Waziri Mkuu apokea taarifa ya nyongeza ya mishahara, kuiwasilisha kwa Rais ambaye ataitangaza hivi karibuni

Hii...ni taarifa mbichi kwa wafanyakazi,taarfa ambayo imekaa kisiasa.

Taarfa iliyoiva haiwezi kuwa ya namna hii.hii taarfa haina Tofauti na ile ya utatuzi wa ongezeko la bei ya mafuta.

Hapa ni Siasa, siasa! siasa!!
Lengo ni kuzima mvumo wa mikutano ya Chadema unaondelea. MaCCM yanawaza UBAYA tu.
 
Mwana wanatuonyesha Pasi za Kiman U utafikili kuna kombe tunagombania kumbe mshahara ni haki yetu na madaraja ni haki yetu, na Elimu ilikua gharama ya wazazi wetu..hawa jamaa pasua kichwaa sana.!!
 
wananchi wenzangu tulieni mbona siku zitafika tuu kama ukweli utajulikana acheni kupiga ramli
 
wananchi wenzangu tulieni mbona siku zitafika tuu kama ukweli utajulikana acheni kupiga ramli
Hii sio ramli jana usiku waziri kapokea taarifa
 
WAZIRI MKUU APOKEA TAARIFA YA NYONGEZA YA MISHAHARA

*Aahidi kuikabidhi kwa Mheshimiwa Rais Samia wakati wowote
Samahani naomba kuuliza,. Waziri Mkuu anatakiwa kisheria kukabidhi hiyo ripoti kwa rais au mpaka waziri mkuu apende
 
Samahani naomba kuuliza,. Waziri Mkuu anatakiwa kisheria kukabidhi hiyo ripoti kwa rais au mpaka waziri mkuu apende
Tangu awamu ya tano ya utawala sheria kuhusu mishahara/maslahi ya mtumishi zilipigwa teke. We elewa kwamba waziri ameahidi kuikabidhi
 
Kazi kweli kweli!
Kumbe hakuna kilichokuwa kimefanyika? Tulitegemea kuwa tayari iko kwenye bajeti ya 2022/2023 kumbe ndiyo kwanza mapendekezo yanapelekwa kwa Rais?
Wabongo kwa kupenda kujifanya mnajua.sasa bajeti ya 22/23 si inaanza Julai 1 sasa mpaka hapa serikali ilichochelewesha ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…