Waziri Mkuu apokea taarifa ya nyongeza ya mishahara, kuiwasilisha kwa Rais ambaye ataitangaza hivi karibuni

Tangu awamu ya tano ya utawala sheria kuhusu mishahara/maslahi ya mtumishi zilipigwa teke. We elewa kwamba waziri ameahidi kuikabidhi
Maana yake ni kuwa anaweza asiikabidhi kama walivyopiga kimya ile ya mauaji yawafanyabiashara wa mtwara?
 
Utopolo mtupu thubutu asilimia 10 hafikishi huyo watumishi mjiandae kujinyea tu
 
kA TRITEL FIX kama kawaida yake unakumbuka alivyosema kule Njombe msikitini MAREHEMU YUPO ANACHAPA KAZI(,,,,,,,MAREHEMU,,,,,, ) anasema uwongo kwa kusisitiza hasa, Huyu Katritel fix sasa àfanyiwe sawa na TFF vs manara , TUCTA IMFUNGIE ka Tritel MIAKÀ MITATU MPAKA 2026 asizungumzie jambo lolote la watumishi wa umma
 
Huyu Waziri Mkuu huwa muongo sana
 
Noma sana !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…