Waziri Mkuu huna credibility yoyote ya kukanusha taarifa yoyote na watu wakakuamini, hata hili la Ngorongoro

Waziri Mkuu huna credibility yoyote ya kukanusha taarifa yoyote na watu wakakuamini, hata hili la Ngorongoro

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Huyu waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Bungeni nimemsikia akisema kuwa habari zinazoenezwa mtandaoni kuhusu Loliondo hazina ukweli

na hakuna askari yoyopte aliyeenda mbugani na silaha kutishia wananchi, pengine ningemuamini kwa kiasi fulani lakini hili la kusema hakuna askari aliyeenda mbugani na silaha ndio limenifanya nikampa 0%

Picha zipo za wazi kabisa askari wakiwa wameshika bunduki, waziri mkuu anapata wapi ujasiri wa kusema kuwa hakuna askari aliyeenda na silaha? ndipo nikakumbuka ule uongo wake wa karne kuwa Magufuli ni mzima na anachapa kazi, kisha baada ya siku 3 tukatangaziwa amekufa, huyu mtu hapaswi kuaminika kwa lolote

FU3moTcXoAAlZpQ.jpg
 
Wamasai wa ngorongoro ni kipi spesho walichonacho mpaka wanajiona bora? hawajui ardhi yote ni mali ya serikali na inauwezo wa kuibadilishia matumizi mda wowote?

inafaa walalamike kuhamishwa bila fidia lakini sio walalamike na kutolewa ngorongoro

upumbavu mtupu, wakikataa kwa hiyari watatoka kwa lazima

waache waendelee kudanganywa na wanasiasa wapumbavu
 
Nashauri seikali ipeleke vikosi vya Askari wakawapige hao wahuni hata kwa live bulkets. Wakifa Kama 20 hivi wataondoka wenyewe.

Mikoa mingine watu wanafurushwa why not them?
 
Huyu waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Bungeni nimemsikia akisema kuwa habari zinazoenezwa mtandaoni kuhusu Loliondo hazina ukweli

na hakuna askari yoyopte aliyeenda mbugani na silaha kutishia wananchi, pengine ningemuamini kwa kiasi fulani lakini hili la kusema hakuna askari aliyeenda mbugani na silaha ndio limenifanya nikampa 0%

Picha zipo za wazi kabisa askari wakiwa wameshika bunduki, waziri mkuu anapata wapi ujasiri wa kusema kuwa hakuna askari aliyeenda na silaha? ndipo nikakumbuka ule uongo wake wa karne kuwa Magufuli ni mzima na anachapa kazi, kisha baada ya siku 3 tukatangaziwa amekufa, huyu mtu hapaswi kuaminika kwa lolote

View attachment 2256119

Mtu akisimamaga na bunduki katuna na kujimwambafiy mbele ya mtu asiye na silaha namwonaga fala tu na coward
 
Wamasai wa ngorongoro ni kipi spesho walichonacho mpaka wanajiona bora? hawajui ardhi yote ni mali ya serikali na inauwezo wa kuibadilishia matumizi mda wowote?

inafaa walalamike kuhamishwa bila fidia lakini sio walalamike na kutolewa ngorongoro

upumbavu mtupu, wakikataa kwa hiyari watatoka kwa lazima

waache waendelee kudanganywa na wanasiasa wapumbavu
Kule Chaltle hata makaburi yang,olewe kuongeza mbuga ya wanyama ya chato/burigi
 
Mods nawakumbusha tena, hizi nyuzi ni nyingi na zote zinahusu jambo moja. So ni busara mziunganishe kama mnavyounganishaga zingine, bila kujali waandikaji wana hatimiliki ya JF au not.
 
Huyu waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Bungeni nimemsikia akisema kuwa habari zinazoenezwa mtandaoni kuhusu Loliondo hazina ukweli

na hakuna askari yoyopte aliyeenda mbugani na silaha kutishia wananchi, pengine ningemuamini kwa kiasi fulani lakini hili la kusema hakuna askari aliyeenda mbugani na silaha ndio limenifanya nikampa 0%

Picha zipo za wazi kabisa askari wakiwa wameshika bunduki, waziri mkuu anapata wapi ujasiri wa kusema kuwa hakuna askari aliyeenda na silaha? ndipo nikakumbuka ule uongo wake wa karne kuwa Magufuli ni mzima na anachapa kazi, kisha baada ya siku 3 tukatangaziwa amekufa, huyu mtu hapaswi kuaminika kwa lolote

View attachment 2256119
Sema na wewe post yako imekosa credibility kwasababu umetuwekea picha ambayo haihusiani na tukio la mapigano. Ile mishale na upinde viko wapi! Kweli kwenye mapigano mzee wa kimasai anaweza kukaa hapo chini comfortably! Hiyo kwangu Mimi ni picha ya kikao cha majadiliano yaliyoongozwa na kiongozi ambaye protokali inaruhusu silaha kuwepo.
 
Back
Top Bottom