Waziri Mkuu Kasim Majaliwa tayari umeshajikanyaga, fanya hima ukawaombe radhi wana NgoroNgoro

Waziri Mkuu Kasim Majaliwa tayari umeshajikanyaga, fanya hima ukawaombe radhi wana NgoroNgoro

Ettore Bugatti

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
4,123
Reaction score
8,242
NB :Hii itabaki kumbukumbu ya vizazi na vizazi.

Baada ya PM Majaliwa kuingilia na kuunda kamati ya jinsi gani kuwaondoa jamii ya Kimaasai katika eneo la Ngorongoro, watanzania na dunia wamesikitishwa na kulia machozi ya damu baada ya kufanyiwa fitina na siasa isiyo na chembechembe ya UTU kwa kuandaa kamati ya laigwanani wa 'mchongo' kupitisha azimio hilo la kuwatoa kwa nguvu katika ardhi ya mababu zao.

Sasa, kwa kuwa sauti, maombi na kilio cha wengi kwa Mungu husikika , jamii hii ya kimaasai imefanya maombi ya laana kwa Facilitator ambaye ni PM Majaliwa na wote wanaohusika katika uvunifu huo wa binadamu kuwahi kutokea.

Tusijelaumu na kujiuliza mwezi March una nini endapo Mungu atasikiliza kilio cha ndugu zetu hapo NCAA baada ya kushusha pigo lake.

Mungu bariki Masailand na viumbe vilivyomo.!
 
Tusitafute mchawi nani, ni hawa hawa top wenye tamaa na dirham za Muarabu.
 
Hata waarabu wakikumbatiwa wauziwe loliondo na masai kudhulumiwa haki zao ni swala la muda tu waarabu wataiacha ngororongoro na loliondo
Acha wajidai hii miaka saba
 
Unajua mi nawashangaa sana Masai, pale wao walihamia tu. Lile pori ni la wanyama. Lakin wamejimilikisha. Masai lazima waondoke ngorongoro kwaajili ya urithi wa vizazi vijavyo vya watanzania wote
 
hivi nyie masai wa ngolongolo mnajiona special sana kuliko nchi nzima eeh?
upumbavu mtupu

mnabahati Rais ni mpole ningekua mimi mngetoka kwa viboko,

mmepewa sehemu ya kupelekwa hamtaki kwenda nyie kama nani? mnaiingizia faida gani hii nchi?


tutoleeni ujinga wenu
 
Unajua mi nawashangaa sana Masai, pale wao walihamia tu. Lile pori ni la wanyama. Lakin wamejimilikisha. Masai lazima waondoke ngorongoro kwaajili ya urithi wa vizazi vijavyo vya watanzania wote
Walihamia mwaka gani
 
Unajua mi nawashangaa sana Masai, pale wao walihamia tu. Lile pori ni la wanyama. Lakin wamejimilikisha. Masai lazima waondoke ngorongoro kwaajili ya urithi wa vizazi vijavyo vya watanzania wote

Waliamia kutoka? Walitoka serengeti kwa makubaliano na serikali ya ukoloni
 
wangapi wamebomolewa nyumba zao na serikali hapo awali tena maeneo yao stahiki na bila malipo kwa maana wamevamia hifadhi za.........

kiuhalisia hapo serikali haijaamua na sijui kwann wanaendekeza wamasai.....
 
Unajua mi nawashangaa sana Masai, pale wao walihamia tu. Lile pori ni la wanyama. Lakin wamejimilikisha. Masai lazima waondoke ngorongoro kwaajili ya urithi wa vizazi vijavyo vya watanzania wote
Tanzania yote ilikuwa pori la wanyama na Sasa watu wanaishi.
 
Walihamia mwaka gani
Una umri gani kijana?.

Unaoneka hausomi mabandiko humu, kila siku yanawekwa, sometimes fanya searching itakusaidia kabla ujauliza kwa panic.

Inshort; Pale ngorongoro masai waliamishiwa kutokea Serengeti ambapo hii nca ilikuwa moja na Serengeti, so walipoigawa ndiposa walitwaliwa na kuletwa hapo walipo na kulifanya eneo la uhifadhi la ecologia ya maisha mchanganyiko.

NK...
 
hivi nyie masai wa ngolongolo mnajiona special sana kuliko nchi nzima eeh?
upumbavu mtupu

mnabahati Rais ni mpole ningekua mimi mngetoka kwa viboko,

mmepewa sehemu ya kupelekwa hamtaki kwenda nyie kama nani? mnaingizia faida gani hii nchi?


tutoleeni ujinga wenu
Mkuki kwa Nguruwe
 
NB :Hii itabaki kumbukumbu ya vizazi na vizazi.

Baada ya PM Majaliwa kuingilia na kuunda kamati ya jinsi gani kuwaondoa jamii ya Kimaasai katika eneo la Ngorongoro, watanzania na dunia wamesikitishwa na kulia machozi ya damu baada ya kufanyiwa fitina na siasa isiyo na chembechembe ya UTU kwa kuandaa kamati ya laigwanani wa 'mchongo' kupitisha azimio hilo la kuwatoa kwa nguvu katika ardhi ya mababu zao.

Sasa, kwa kuwa sauti, maombi na kilio cha wengi kwa Mungu husikika , jamii hii ya kimaasai imefanya maombi ya laana kwa Facilitator ambaye ni PM Majaliwa na wote wanaohusika katika uvunifu huo wa binadamu kuwahi kutokea.

Tusijelaumu na kujiuliza mwezi March una nini endapo Mungu atasikiliza kilio cha ndugu zetu hapo NCAA baada ya kushusha pigo lake.

Mungu bariki Masailand na viumbe vilivyomo.!
Idadi ya watu imeongezeka Sana hapo Ngorongoro, hii ni tishio kwa hifadhi lazima ukubali hili.

Na mbinu mojawapo ya kuokoa hifadhi ni kupunguza shughuli za kibinadamu humo.
 
Unajua mi nawashangaa sana Masai, pale wao walihamia tu. Lile pori ni la wanyama. Lakin wamejimilikisha. Masai lazima waondoke ngorongoro kwaajili ya urithi wa vizazi vijavyo vya watanzania wote
Hawakuhamia tu....ila walihamishiwa hapo na serikali ya kikoloni mwaka 1959 kutoka hifadhi ya Serengeti kama njia ya kuilinda Serengeti.
 
Unajua mi nawashangaa sana Masai, pale wao walihamia tu. Lile pori ni la wanyama. Lakin wamejimilikisha. Masai lazima waondoke ngorongoro kwaajili ya urithi wa vizazi vijavyo vya watanzania wote
PM amekuwa muungwana sana, ameshawishi na kushauri, pili amewajengea na nyumba...waondoke tu
 
Mje kwa mbinu zenu zote ila lazima mtoke ngorongoro

Lazma

Tatizo la Maasai wanafikiri Ngorongoro ni mali yao binafsi.

Ebu fikiri wachagga wanafikiri Kilimanjaro ni mali yao.
Wahehe Ruaha ni mali yao.
WaIraq Manyara ni mali yao
Wapare Mkomazi mali yao.
Wazigua &Wafigo Saadani ni yao
Mikumi Wapogoro ni yao

Taifa kama taifa hakuna.
 
Back
Top Bottom