Waziri Mkuu Kasim Majaliwa tayari umeshajikanyaga, fanya hima ukawaombe radhi wana NgoroNgoro

Waziri Mkuu Kasim Majaliwa tayari umeshajikanyaga, fanya hima ukawaombe radhi wana NgoroNgoro

Unajua mi nawashangaa sana Masai, pale wao walihamia tu. Lile pori ni la wanyama. Lakin wamejimilikisha. Masai lazima waondoke ngorongoro kwaajili ya urithi wa vizazi vijavyo vya watanzania wote
Kwani wanya wenyewe wanasemaje?
 
Nauliza, hapo Ngorongoro ndio kuna oxygen inayofaa wamasai sehemu nyingine hamna?

Hawa masai ni wavivu wanataka kuishi hapo kwasababu serikali inawahudumia mpaka chakula, inawasomesha mpaka vyuo vikuu, na kipao mbele cha ajira hifadhini
Nyie sio specie inayopotea mpaka tutumie nguvu kuwalinda, tokeni huko njooni nje mpambane kama raia wengine
 
Idadi ya watu imeongezeka Sana hapo Ngorongoro, hii ni tishio kwa hifadhi lazima ukubali hili.

Na mbinu mojawapo ya kuokoa hifadhi ni kupunguza shughuli za kibinadamu humo.
Na hawa wamasai wanazaliana kama kumbikumbi. Wahame tuu
 
NB :Hii itabaki kumbukumbu ya vizazi na vizazi.

Baada ya PM Majaliwa kuingilia na kuunda kamati ya jinsi gani kuwaondoa jamii ya Kimaasai katika eneo la Ngorongoro, watanzania na dunia wamesikitishwa na kulia machozi ya damu baada ya kufanyiwa fitina na siasa isiyo na chembechembe ya UTU kwa kuandaa kamati ya laigwanani wa 'mchongo' kupitisha azimio hilo la kuwatoa kwa nguvu katika ardhi ya mababu zao.

Sasa, kwa kuwa sauti, maombi na kilio cha wengi kwa Mungu husikika , jamii hii ya kimaasai imefanya maombi ya laana kwa Facilitator ambaye ni PM Majaliwa na wote wanaohusika katika uvunifu huo wa binadamu kuwahi kutokea.

Tusijelaumu na kujiuliza mwezi March una nini endapo Mungu atasikiliza kilio cha ndugu zetu hapo NCAA baada ya kushusha pigo lake.

Mungu bariki Masailand na viumbe vilivyomo.!
Zile nyumba wanajengewa kule zitawatosha na wingi huo kwenye picha?
 
hivi nyie masai wa ngolongolo mnajiona special sana kuliko nchi nzima eeh?
upumbavu mtupu

mnabahati Rais ni mpole ningekua mimi mngetoka kwa viboko,

mmepewa sehemu ya kupelekwa hamtaki kwenda nyie kama nani? mnaiingizia faida gani hii nchi?


tutoleeni ujinga wenu
Kwani wewe hifadhi inakusaidia mini?
 
Zile nyumba wanajengewa kule zitawatosha na wingi huo kwenye picha?
Tena siyo picha ,niliaatach video sijui kwanini imekuja kwenye mfumo wa picha.
Ila ni nyomi balaa nashanga kuna chawa humu walileta kapicha ka' ubavu mmoja na kuaminisha umma siku ya uzinduzi.
 
Nauliza, hapo Ngorongoro ndio kuna oxygen inayofaa wamasai sehemu nyingine hamna?

Hawa masai ni wavivu wanataka kuishi hapo kwasababu serikali inawahudumia mpaka chakula, inawasomesha mpaka vyuo vikuu, na kipao mbele cha ajira hifadhini
Nyie sio specie inayopotea mpaka tutumie nguvu kuwalinda, tokeni huko njooni nje mpambane kama raia wengine
Jambo usilolijua ni kama usiku wa totoro.
Fuatilia vitu kiundani usikurupuke tu.
 
Mtoa posti lazima atakuwa mmasai tu anetetea maslai yake tu au anayetafuta huruma toka kwa watu wengine
Wewe ni mjinga, kutetea haki ya wamasai haina uhusiano na mimi kuwa mmasai, foolish.!
 
Back
Top Bottom