Waziri Mkuu Kassim Majaliwa acha siasa za ujanja ujanja

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa acha siasa za ujanja ujanja

Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.

Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.

Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.

Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.

Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
expand...
Majaliwa ni seti tupu au tabular rasa. Anapenda kufanya kazi za show off na vyombo vya habari mbele lakini hayuko MAKINI. Ushahidi huu hapa;

1. Suala la Faru John aliingizwa choo cha kike na akaamini kuwa Faru ameuawa, uchunguzi ukagundua siyo

2. Alutuambia Magufuli bado anachapa kazi Ikulu wakati Magufuli alikuwa kisha kufa.

3. Alimvamia DC wa Kilolo na kutaka atimuliwe ila Magufuli hakumsikia

4. Alivamia Ofisi ya Mkaguzi wa Serikali akasema wanaiba Mabilioni kwa kujilipa posho, kumbe si kweli ni malipo halali

5. Aliamuru TANROADS wamtimue Regional Manager wa Morogoro pale daraja la Kiyegeya Gairo lilipoharibika, wala DG TANROADS hakumsikiliza.
 
Na ishu ya hazina, ilikuwa yaleyale, eti hazina wanagawana mamilioni ya posho hewa
 
"Rais Ni mzima na anachapa kazi"PM majaliwa ni muongo ongo Sana.
Kwa hilo mnamlaumu bure PM, boss wake alikua hapendi kupanikisha watu kwa taarifa za magonjwa, , muulize yule mtoto wa malecele na taarifa za zika, kilimpata nini?, hata covid ilikua marufuku kutishia watu, mifano mliona,
Jk alipotska kwenda kufanya surgery ya tezi dume, jpm akiwa waziri ujenzi, alimshauri jk afiche taarifa hizo, , hilo alilisema jk kipindi anaaga kwenda nje kufanya upasuaji,
Jpm alikuwa hapendi kupanikisha watu kwa taarifa za magonjwa, na yeyote aliekiuka mluona kilimpata nini, ,
So PM alukua anafuata protocol tu na wala hilo suala sio la kushikia bango kivile
 
Kwa hilo mnamlaumu bure PM, boss wake alikua hapendi kupanikisha watu kwa taarifa za magonjwa, , muulize yule mtoto wa malecele na taarifa za zika, kilimpata nini?, hata covid ilikua marufuku kutishia watu, mifano mliona,
Jk alipotska kwenda kufanya surgery ya tezi dume, jpm akiwa waziri ujenzi, alimshauri jk afiche taarifa hizo, , hilo alilisema jk kipindi anaaga kwenda nje kufanya upasuaji,
Jpm alikuwa hapendi kupanikisha watu kwa taarifa za magonjwa, na yeyote aliekiuka mluona kilimpata nini, ,
So PM alukua anafuata protocol tu na wala hilo suala sio la kushikia bango kivile
Muongo ni muongo tu mkuu
 
Hiy
Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.

Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.

Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.

Kama anamuuliza swali, arafu kabla ya kujibiwa tayari anamkatisha na kusema yake, hapo waziri mkuu hafanyi ujanja Bali anaulizia swali kinafiki... Na hii tabia alikuwa nao Makonda, mtu hajamaliza kukujibu tayari unamkatisha na kutoa maamuzi.

Kama umepanga mtu kumtumbua, tumbua moja kwa moja bila unafiki
 
Acha uzuzu ww
Kwa hilo mnamlaumu bure PM, boss wake alikua hapendi kupanikisha watu kwa taarifa za magonjwa, , muulize yule mtoto wa malecele na taarifa za zika, kilimpata nini?, hata covid ilikua marufuku kutishia watu, mifano mliona,
Jk alipotska kwenda kufanya surgery ya tezi dume, jpm akiwa waziri ujenzi, alimshauri jk afiche taarifa hizo, , hilo alilisema jk kipindi anaaga kwenda nje kufanya upasuaji,
Jpm alikuwa hapendi kupanikisha watu kwa taarifa za magonjwa, na yeyote aliekiuka mluona kilimpata nini, ,
So PM alukua anafuata protocol tu na wala hilo suala sio la kushikia bango kivile
 
Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.

Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.

Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Kile kibanda cha TANESCO alichoambiwa kimetumia 7m akaanza kujifanya kuhoji issue nonsense na media zikachukua kumbe yeye ndo kachemka vibaya mno.
 
Tangu alipotupiga kamba kuwa Magufuli yuko vyema na anaendelea na majukumu yake ya kiofisi (ikulu) kumbe mzee wetu anapigania maisha yake ..kwanzia hapo huyu Ca-phone sijawahi mkubali.
Ca.phone[emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huyu huyu kumbe na yeye alikuwa hajui boss wake kafa. Wababe Bashiru na Doto walificha maiti huku wanachukua hela za matibabu BOT.

Mnapoongea hivi, sio mnachafua majina ya watu bila kutoa ushahidi?
 
Mnapoongea hivi, sio mnachafua majina ya watu bila kutoa ushahidi?
Mpumbavu kweli wewe. Msitumie kudhalilisha watu ili mpate kiki za kisiasa. Hao watu wana haki zao na familia zao. Unamtukana mtu mbele ya makamera bila kumsikiliza hizo ni siasa za kipumbavu sana. Tupo karne 21 acheni mambo ya kishamba.
 
Mpumbavu kweli wewe. Msitumie kudhalilisha watu ili mpate kiki za kisiasa. Hao watu wana haki zao na familia zao. Unamtukana mtu mbele ya makamera bila kumsikiliza hizo ni siasa za kipumbavu sana. Tupo karne 21 acheni mambo ya kishamba.

Mpumbavu nani kati yangu na wewe? Ukiona mtu anajitutumua sana ili hoja zake zikubalike, ujue hana hoja.
 
Mpumbavu nani kati yangu na wewe? Ukiona mtu anajitutumua sana ili hoja zake zikubalike, ujue hana hoja.
Karne ya 21 mnatumia siasa za kudhalilisha watu ili mpande kisiasa!

Majaliwa alivyojifanya hajui kwanini UDART inapata hasara na magari hayakarabatiwi wakati hela zote walikuwa wanakomba wanaenda kujenga Uwanja wa ndegw Chato. Hapo Bandarini wamezuia mabasi 70 tangu 2018 anajifanya hajui.

Huyo Injinia wa jana una uhakika aliiba hela za taa? Mbona alimkatisha asiongee?!

Hizo ni siasa za kishenzi sana!

Ripoti ya kuungua kwa soko la Kariakoo mbona kaificha?

Ripoti ya moto Morogoro ipo wapi?

Ripoti ya Faru John ipo wapi?

Ripoti ya wizi wizara ya fedha ipo wapi?

Vipi yule aliyekuwa anachapa kazi ofisini aliyemtaja Majaliwa msikitini yupo wapi?

Acha kutete UJINGA. Watanzania sio wajinga.
 
Back
Top Bottom