Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa afanya ziara ya kushitukiza bandarini

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa afanya ziara ya kushitukiza bandarini

Mama anapigishwa shoti nn, nchi hii bado anahitajika dictator tu,lasivyo nchi hii ni kimeo sana.
Mmeanza maneno haya tena 😃😀😁 wakati kila siku mlikuwa mnamwombea Magufuri mabaya mpaka Mungu kasikiliza maombi yenu akanchua.Sasahivi mnamtaka Rais dictetor kuliko Magufuri? Nchi hii hata aongeze malaika haiwezi.
 
Ili ufanisi wa bandari ya Dar uongezeke, sasa naona umuhimu wa kujenga bandari ya Bagamoyo ili bandari hizi mbili ziwe zinajiendesha kwa ushindani. Ile yenye ufanisi mkubwa ndiyo itakayokimbiliwa na wateja wengi zaidi.
Kwa kuanzia tuanze na bandari ya Bagamoyo yenye kuweza kuhandle TEU laki tano na tutaipanua kadiri inavyoweza kuzalisha.
 
Mmeanza maneno haya tena 😃😀😁 wakati kila siku mlikuwa mnamwombea Magufuri mabaya mpaka Mungu kasikiliza maombi yenu akanchua.Sasahivi mnamtaka Rais dictetor kuliko Magufuri? Nchi hii hata aongeze malaika haiwezi.
Hakuna mkamilifu mkuu, ila ule mpera mpera wa jeipiemu, hakuna mtu angethubutu kufanya huo ujinga......kinachofanyika ni wale team Kakoko ndiyo wanampigisha shoti aliyechaguliwa na Sa100
 
Ili ufanisi wa bandari ya Dar uongezeke, sasa naona umuhimu wa kujenga bandari ya Bagamoyo ili bandari hizi mbili ziwe zinajiendesha kwa ushindani. Ile yenye ufanisi mkubwa ndiyo itakayokimbiliwa na wateja wengi zaidi.
Kwa kuanzia tuanze na bandari ya Bagamoyo yenye kuweza kuhandle TEU laki tano na tutaipanua kadiri inavyoweza kuzalisha.
Hiyo bandari ya bagamoyo itakuwa inamilikiwa na wachina kwa miaka 99
 
Kufuatia huduma za bandari ya Dares salaam kuzorota kwa mwezi mzima sasa na wateja kuanza kulalamika kwa huduma mbovu wanayopewa ,waziri mkuu mh Kassim Majaliwa leo tarehe 12 mwezi may amefanya ziara ya kushitukiza ili kujonea tatizo ni nini.

Ikumbukwe leo mbunge Costa Chami alitoa hoja kuliomba bunge liahirishe shughuli zote ili kujadili hujuma na rushwa zinazoendelea bandarini hadi kupelekea malori kukaa kwa wiki nzima bila kupata huduma.

My take

Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.

Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .

Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.

Piga kazi Mh Majaliwa wewe ndiyo tumaini letu.
View attachment 1782258View attachment 1782259
Akili za Nyumbu bana. We Lazima utakuwa mjukuu wa aliyepewa Benz
 
Kufuatia huduma za bandari ya Dares salaam kuzorota kwa mwezi mzima sasa na wateja kuanza kulalamika kwa huduma mbovu wanayopewa ,waziri mkuu mh Kassim Majaliwa leo tarehe 12 mwezi may amefanya ziara ya kushitukiza ili kujonea tatizo ni nini.

Ikumbukwe leo mbunge Costa Chami alitoa hoja kuliomba bunge liahirishe shughuli zote ili kujadili hujuma na rushwa zinazoendelea bandarini hadi kupelekea malori kukaa kwa wiki nzima bila kupata huduma.

My take

Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.

Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .

Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.

Piga kazi Mh Majaliwa wewe ndiyo tumaini letu.
View attachment 1782258View attachment 1782259
Narudia tena mwendazake Hana legacy yoyote ya maana hapo bandarini .

Alikuwa anapiga hela na akina kakoko

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kufuatia huduma za bandari ya Dares salaam kuzorota kwa mwezi mzima sasa na wateja kuanza kulalamika kwa huduma mbovu wanayopewa ,waziri mkuu mh Kassim Majaliwa leo tarehe 12 mwezi may amefanya ziara ya kushitukiza ili kujonea tatizo ni nini.

Ikumbukwe leo mbunge Costa Chami alitoa hoja kuliomba bunge liahirishe shughuli zote ili kujadili hujuma na rushwa zinazoendelea bandarini hadi kupelekea malori kukaa kwa wiki nzima bila kupata huduma.

My take

Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.

Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .

Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.

Piga kazi Mh Majaliwa wewe ndiyo tumaini letu.
View attachment 1782258View attachment 1782259

Ww ni ma.ta.ko

sasa akina lema na lisu ndio walio leta mfumo mbovu bandarini??? ndio walio chelewesha magari na mizigo kutoka?


Kima [emoji205]
 
Waziri mkuu mh Majaliwa leo amefanya ziara bandarini kufuatia msongamano wa malori ulioripotiwa kuwepo kwa siku 5 sasa.

Waziri mkuu amewataka TRA kurekebisha haraka matatizo yaliyoko katika mfumo wao ili upakiaji na upakuaji wa mizigo urudi katika hali ya kawaida.

Majaliwa amesema Wadau wa Usafirishaji na Tasac wote wanailalamikia TRA hivyo amewataka wajirekebishe haraka.

Source: ITV habari!
 
Kwa miaka 6 hawakuwahi kushindwa ,kwa nini washindwe sasa?
Nmewah enda pale 2018 tulikaa folen wiki pale Malawi jargo na Zambia cargo ,,had ealinzi walipiga hela Yan ili uingize gar ndan ulitakiw kulipa 20000 na hko ndan kushusha ni pesa tulikaa wiki mbili kushusha na kupakia
 
Back
Top Bottom