Unapata faida gani kutetea ujinga?Nmewah enda pale 2018 tulikaa folen wiki pale Malawi jargo na Zambia cargo ,,had ealinzi walipiga hela Yan ili uingize gar ndan ulitakiw kulipa 20000 na hko ndan kushusha ni pesa tulikaa wiki mbili kushusha na kupakia
Wameolewa UlayaWw ni ma.ta.ko
sasa akina lema na lisu ndio walio leta mfumo mbovu bandarini??? ndio walio chelewesha magari na mizigo kutoka?
Kima [emoji205]
Na hawataongea na kuambia makusanyo ndani na miez 6 watasema tulikuwa tuna omboleza msiba na tulikuwa ziaran kuimarisha ujirani mwemaWatu wanajipigia tu mabilioni hapo TRA na hata huko TPA.
na ukumbuke wenzetu wa chadema wanasubiri hela zimwagike mtaani waanze kuokota.
Rais Samia asicheke na nyani kabisa, hivi siku 5 kuna hela kiasi gani zimepotea hapo?
Tuko hapa makusanyo yanaweza kurudi bilion 4
Hahahaaaa....... Bwashee bilioni 4?!Watu wanajipigia tu mabilioni hapo TRA na hata huko TPA.
na ukumbuke wenzetu wa chadema wanasubiri hela zimwagike mtaani waanze kuokota.
Rais Samia asicheke na nyani kabisa, hivi siku 5 kuna hela kiasi gani zimepotea hapo?
Tuko hapa makusanyo yanaweza kurudi bilion 4
Wameolewa Ulaya
Sitetei, pamoja na kuwa na typing errors nyingi nmejarbu kuonesha jinsi gan rushwa bandarin haiwez kuisha uskute hta hyo folen ni mchezo watu wanapga hela, Kama inamaana yako fungua kifungo Cha what jipige konde af sema "I'm a fool"Unapata faida gani kutetea ujinga?
Yani we unaamini zile fix za jiwe za kukusanya trilioni moja..Na hawataongea na kuambia makusanyo ndani na miez 6 watasema tulikuwa tuna omboleza msiba na tulikuwa ziaran kuimarisha ujirani mwema
Hapo kariakoo hakuna chochote kinachofanyika kila mtu risiti katupa kapuni maana rais alishasema kodi za dhuruma hataki.Hahahaaaa....... Bwashee bilioni 4?!
Samia anafikiri watz wanapenda sana kulipa kodi?Na hawataongea na kuambia makusanyo ndani na miez 6 watasema tulikuwa tuna omboleza msiba na tulikuwa ziaran kuimarisha ujirani mwema
Halafu konda nae ana maindi kinyamaSamia anafikiri watz wanapenda sana kulipa kodi?
Kama mtu anafurahia kuondoka na sh 500 ya konda kisa hajamdai ije kuwa kulipa kodi?
Subiri miezi 6 hii utajionea
Watu wanajipigia tu mabilioni hapo TRA na hata huko TPA.
na ukumbuke wenzetu wa chadema wanasubiri hela zimwagike mtaani waanze kuokota.
Rais Samia asicheke na nyani kabisa, hivi siku 5 kuna hela kiasi gani zimepotea hapo?
Tuko hapa makusanyo yanaweza kurudi bilion 4
Atakaposhindwa kulipa mishahara ndio atajua kama kodi kwa tz inalipwa kwa hiari au kutumia nguvuMajaliwa kwenye swala la kodi asimamie mama anaonekana mlegevu sana kwenye kudai kodi analeta mambo ya dini kwenye kodi
Wakati Qur'an na biblia zimesema kuhusu ushuru
Mazee bila ushuru hatutoboi.
Dada nilishakuonya tabia yako hii ya kutongoza wanaume indirect uacheWewe hutaki kuokota hizo hela biashara ya kuuza chiu imekuvutia mazima?
Mpeni Kaisari yaliyo yake kaisari!Majaliwa kwenye swala la kodi asimamie mama anaonekana mlegevu sana kwenye kudai kodi analeta mambo ya dini kwenye kodi
Wakati Qur'an na biblia zimesema kuhusu ushuru
Mazee bila ushuru hatutoboi.