4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Wanafaidika vp kwa kumkubali Mbowe au ndio yaleyale ya ushabiki wa vyama tu kama tunavyoshabikia simba na yanga? Au ndio kuwakomoa CCM?Mkuu, Mbowe huko anaitwa ni Kaka, kwa taarifa yako huyu ni mwanafamilia ktk kila kaya na anakubalika ktk kila familia. Nakuhakikishia wale wahuni wa UVCCM waje tena na fujo zao tena ktk kipindi hiki cha kampeni chini uratibu wa mkora Sabaya ndiyo CCM watatambua ukweli wa mambo.
Mbona walizomea kwenye mkutano wake mpaka polisi wakamsaidia kutoka mkutanoni? Au alikuwa Mbowe mwingine??Mkuu, Mbowe huko anaitwa ni Kaka, kwa taarifa yako huyu ni mwanafamilia ktk kila kaya na anakubalika ktk kila familia. Nakuhakikishia wale wahuni wa UVCCM waje tena na fujo zao tena ktk kipindi hiki cha kampeni chini uratibu wa mkora Sabaya ndiyo CCM watatambua ukweli wa mambo.
Hiyo ilikuwa fake news iliyotengenezwa na chadema.Hivi Bashiru si alizuia hawa wazururaji kutoka nje ya mikoa yao?
Namwamini Mbowe katika kuendesha kampeni za Ubunge wa Hai, Lakini nitamuamini zaidi kama atashinda uchaguzi wa 2020. Ni mgumu sana hapa Hai mwaka huu.Mkuu, Mbowe huko anaitwa ni Kaka, kwa taarifa yako huyu ni mwanafamilia ktk kila kaya na anakubalika ktk kila familia. Nakuhakikishia wale wahuni wa UVCCM waje tena na fujo zao tena ktk kipindi hiki cha kampeni chini uratibu wa mkora Sabaya ndiyo CCM watatambua ukweli wa mambo.
Ccm imefanya maendeleo gani kwa miaka karibia 60 ??Wanafaidika vp kwa kumkubali Mbowe au ndio yaleyale ya ushabiki wa vyama tu kama tunavyoshabikia simba na yanga? Au ndio kuwakomoa ccm?
Yani siasa za bongo Mtu unaweza ukawa na uhakika wa kuchaguliwa kila uchaguzi hata kama hufanyi maendeleo yeyote kwenye jimbo lako.
Wale ni vibaka wa uvccm, siyo wananchiMbona walizomea kwenye mkutano wake mpaka polisi wakamsaidia kutoka mkutanoni? Au alikuwa Mbowe mwingine??
Sizungumzii vyama,hata ccm wapo watu ambao kila uchaguzi wanapita ila hakuna ambacho wananchi wanafaidika katika maendeleo,ndio maana nikahoji pia kwa Mbowe hao watu wanaomkubali ni kipi wananchofaidika?Ccm imefanya maendeleo gani kwa miaka karibia 60 ??
Weeeeee! Wee kweli Libya.Hai ni MBOWE na MBOWE ni Hai
πππππ
Kuna vichwa vingi ambavyo siyo vya wapiga kuraWaziri Mkuu Kasim Kajaliwa amebomoa Ngome ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mbunge anaye maliza muda wake Freeman Mbowe kwa kusema hai ilikosa Mbunge kwa muda wa miaka kumi na tano.
Ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la hai pamoja na kumwombea Kura Mgombea Urais wa CCM john Pombe Magufuli kura za ndio kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania kwa miaka mitano tena.
Majaliwa amewaambia wananchi wa hai waache ushabiki wa kuchagua viongozi wasio na uwezo Bali wachague mtu mwenye uwezo wa kutatua matatizo yao na kuwasikiliza wapiga kura wake na atakaye kaa jimboni.
Waziri Mkuu Majaliwa amesema hai imekosa maendeleo ya haraka kwa sababu mwakilishi wake akuwa na mipango ya kuleta maendeleo ya chap chap kama wabunge wengine.
Majaliwa amewaomba wananchi wa jimbo la hai kumchagua mgombea ubunge wa Ccm, Saasisha Elinikyo Mafuwe. ili aweze kuleta maendeleo hai kwani atapingana na serikali yake.
Amesema hai tumemtumia kijana msikivu Lengai Ole Sabaya kusimamia maendeleo kwa sababu Mbowe amekua akipinga kila kitu na kushindwa kuwa mwakilishi wa wananchi kwani mambo mengi wanapingana na serikali na kutoka nje ya bunge.
Kwa upande wake mgombea ubunge wa hai ameomba kura kwa kusema kwamba hatasimamia miradi yote ya maendeleo katika jimbo la hai ndani Siku mia moja ikiwemo miradi ya Maji Afya Elimu na miundo mbinu ya bara bara.
Amewaomba wananchi kumpa kura na kumpima kwa muda wa miaka mitano waone utendaji wake wa kuleta maendeleo kwa kushirikiana na madiwani wa halmashauri ya Hai.
Mgombea ubunge wa Siha Mollel amesema Mbowe hafai kuwa Mbunge tena kwa sababu amekuwa akitumia fedha za mfuko wa jimbo vibaya hivyo asichaguliwe na wananchi tena
Meya mstaafu wa jiji la Arusha kalisti Lazaro katika kampeni hizo amemwelezea mbowe kuwa ni kiongozi asiye jitambua hasa kupingana na serikali na kuwashawishi wabunge na madiwani wake kupinga maendeleo
Kalisti amesema alikua Chadema ameongoza baraza la madiwani kwa miaka mitano amekuwa akiambiwa apingane na serikali na hata muda mwingine avunje baraza iyo yote ni kuonyesha kupingana na serikali.
Kama hawataki kwenda wanaweza wasiende bila kubughudhiwa kwa sababu hakuna roll call paleWatumishi wanalazimishwa kwenda ktk kampeni za CCM. Hii sio sawa.